Picha: Safisha Macho na Hizi za Shishi Bybee Zilizopendwa na Wengi
Picha hizi za staa na mrembo kutoka Bongo Movies, Shilole ‘Shishi bybee’ alizozibandika leo kwenye ukursa wake mtandaoni zimewapagawisha wengi na kuzua mzozo huku wengine wakimmwagia sifa mwanamama huyu wa watoto wawili , kuwa anaonekana kama ni mdada wa miaka 20+ na wengine kuvuka mpaka na kusema mwacheni Mziwanda ambae ni mchumba wake aendelee kung’ang’ania hata kama anapewa kichapo mara kwa mara kwani Shishi bybee ni mtamuu zaidi ya mcharoo.
Kiukweli Shishi ametokelezea,jionee hapo...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies24 Mar
Picha:Safisha Macho na Hizi za ‘Bethidei’ Pati ya Meneja wa Wema, Martin Kadinda Hapo Jana
Siku ya jana ilifanyika bonge la sherehe ndani ya MOG bar &restaurants zamani nyumbani lounge, ilikuwa ni meneja wa staa Wema Sepetu, Martin Kadinda alikuwa akisherekea siku yake ya kuzaliwa, Mastaa na watu wake wakaribu walikuwepo ndani ya nyumba.
Jionee baadhi ya picha za tukio zima hapo juu.
10 years ago
Bongo Movies09 Apr
Picha:Siku ya Leo Hizi za Kidoti Zimependwa na Wengi
Picha za mrembo anaefanya vitu vingi hapa mjini kuanzia mitindo, utangazaji,ujasiliamali hadi uimbaji wa muziki, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ alizozitupia leo kwenye ukurasa wake wa mtandaoni zimepokea’ LIKES’ na COMMENTS kutoka kwa wadau na mashabiki wa kike na wakiume huu kila mmoja akisema lake juu ya picha hizo.
Yote kwa yote Kidoti hapo ametokelezea ile sana, kwa upande wetu hizi za Kidoti ndio picha bomba zaidi kwa siku ya leo kati ya za mastaa wote wa Bongo Movies.
Tupia mtazamo wako...
10 years ago
Bongo Movies31 Dec
PICHA:Wolper Afunga Mwaka Kwa Kuachia Hizi Zilizowachanganya Wengi!!
Ikiwa zimebaki saa chache tu tuuage mwaka 2014 na tuupokee mwaka 2015, mrembo na mwigizaji wa filamu mwenye mvuto wa namna yake, ameacha gumzo mtandaoni baada ya kutupia picha hizi na kuwatakia kheri ya mwaka mpya mashabiki wake.
Picha hizi ambao alizitupia moja moja tangu jana zimeleta gumzo kubwa miongoni mwamashabiki wale ‘kindakindaki’ wa mwanadada huyu, kwani wengi hasa vidume wameoneka kuchanganywa kabisa na picha hizi na wengi wao wamejikuta wakiachia "comment" za kumsifia hadi...
10 years ago
Vijimambo01 Oct
PICHA ZINAZOSEMA AINA YA KIONGOZI TUNAYEMUHITAJI,PICHA HIZI ZINAZUNGUMZA MENGI SANA.
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-9/10426171_289961904539378_3950919716198159061_n.jpg?oh=881eaf04db744756c5d1baaeb81b20cf&oe=54CF422F&__gda__=1422876055_a731588f163ffa9be575db29a5cd682e)
![](https://fbcdn-sphotos-f-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/10370351_708920049161822_672977126855962506_n.jpg?oh=0164c1a19321226f66a5becc325bcada&oe=54D068E7&__gda__=1420972974_554da57f239a0d29f91e8f1bd94847ed)
![](https://scontent-a-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/1966847_708922799161547_3745377763552786263_n.jpg?oh=e4a260f98d743b6b462c04de459ed80d&oe=5484CA9A)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/v/t1.0-9/10421154_297784523757116_3841041684266685019_n.jpg?oh=e5f1aee5019e1cfdc1d1d2c19120a894&oe=54CEBB58&__gda__=1418246510_9917f2e3993fe3fc0c78b02dc168de21)
![](https://fbcdn-sphotos-f-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-9/1525244_297187963816772_1840951361995500260_n.jpg?oh=eb4fdede0a4793ec34351912dabd0c46&oe=54C55FD3&__gda__=1421110766_92ea34b613e58b00530e648af275ec25)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/10606408_297784037090498_2469290746865829578_n.jpg?oh=de7728875867bb0db94cfcc0f6f8f6d5&oe=54C9E13D&__gda__=1417987252_d8fde1c883d802f2b496bf8b5d84e495)
![](https://fbcdn-sphotos-e-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/10635815_297187920483443_6799336518551112566_n.jpg?oh=4589901056a4b843e600c931c617337e&oe=5482FCCC&__gda__=1422835728_b003ee15bbde43f02f147e2780d3ddc6)
![](https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/10670115_297188040483431_7030630794709207357_n.jpg?oh=be8ce1fefaefc9a08d649c3f6afb9226&oe=54C8B12E&__gda__=1417987826_7566075eb1215044645e3882e3ef1979)
![](https://scontent-a-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10420041_276267639242138_1706817427871385090_n.jpg?oh=36deb4a47bc4a059876b8f1f2b421ce5&oe=54CCA059)
![](https://scontent-b-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/10411278_253138758221693_8438807295919895765_n.jpg?oh=988c7a3889e13484cc4f1838529699f1&oe=54BFAC07)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-9/10245541_241262216076014_3897404221853706429_n.jpg?oh=b6ba2bcb31c8047092891aa919a9329a&oe=54CF0BD1&__gda__=1417947241_7925d7e69bb582ed1282fbfcd85963a4)
10 years ago
Bongo Movies11 Feb
PICHA: Mh!! Wema Ana Mimba?!!! Hebu Jionee Picha Hizi Zinazosambaa Mtandaoni!!!
Hizi ni picha za mwigizaji Wema Sepetu ambazo zinasamabaa kwa kasi huko Instagram zikionyesha watu wakiwa wamemshika tumbo kwa nyataki tofauti huku wote sura zao zikiwa hazionekani.
Moja kati ya akaunti kwenye mtandao huo inayoendeshwa na shabiki mkubwa wa Wema, inayokwenda kwa jina la WEMADAILY, ilizitupia picha hizi na kuandika mameno “NITOBOEEE” kuachilia kuwa anataka aseme jambo nakum “tag”Wema.
Baada ya muda kidogo akaibuka tena na kutupia picha nyingine nakusema ameambiwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-sQz0jxSRF8E/VToKVAQTuGI/AAAAAAAAsiA/Zqy4QvTuJQY/s72-c/wema%2Bsepetu990.jpg)
PICHA YA WEMA SEPETU AKIWA HOSPITALI YASHUA WENGI. WENGI WAULIZA KAMA NDO AMEANZA MATIBABU YA KUPATA MTOTO
![](http://api.ning.com/files/nBD8FQWarq-4R4WFf5QoJ*rzQSw0U9KUDL31XKiP1mNjS1erGKSqtvZe1mZJKHS51JEut23QP6TvboUuWotlUSMi6vmJn78e/wemasepetu.jpg)
The socialite, The Actress kutoka kiwanda cha filamu Tanzania Bongo Movie Wema Sepetu, baada ya kutangaza kuwa anatatizo la kutozaa kwa muda mrefu na angetamani siku moja kupata mtoto wamejitokeza madakatari wengi na kutaka kumtibu.Lakini kabla ya kuanza kumtibu amewapa angalizo kwamba wakati anaanza kutiwa akawa na mwenza wake kabisa ambae wwatukuwa wamekubaliana pale tatizo litakapokuwa limeisha tu basi mara moja waweze kupata mtoto..Hilo ndilo angalizo la Wema Sepetu ambae anatamani sana...
10 years ago
Bongo Movies26 Dec
Picha: Una Zungumziaje Picha Hizi za Wema na Aunty Ezekiel Wakiwa na Rafiki Yao Nice Chande
Boxing Day Moments: Baada ya hapo jana kuwa kwenye pilikapilika za siku kuu leo wengi wetu tumepumzika na kupiga stori za hapa na pale na jamaa zetu.Turudi kwenye mada.
Leo nilipoziona picha hizi za wadada hawa, Wema Sepetu, Aunty Ezekiel na rafiki yao Nice Chande wakiwa wamejilaza kitandani namna hii kwa haraka haraka nikahisi huu utakuwa ni uchovu wa siku kukuu kwani wanaonekana kama wapo “Cool” sana.Ila nilipotulia kidogo nikaona kitu ambacho ndicho kilichonifanya hizilete hapa picha...
10 years ago
Bongo Movies09 Jul
Picha: Monalisa Amewakumbusha Wengi kwa Picha Hii
2003…..Ubatizo wa mtoto wangu wa kwanza Sonia kanisani hapo KKKT USharika wa Yombo Dovya pembeni nipo na baba mtoto aliyekuwa mume wangu ambae sasa ni marehemu George Tyson.
Hii nimependeza jamani msicheke basi.
Monalisa on instagram
5 years ago
Bongo514 Feb
Picha: Muamuzi aliyesababisha wachezaji wasahau mechi na wabaki kumkodolea macho
Brazil ni moja ya nchi zilizobarikiwa na warembo matata. Wiki hii katika mechi iliyochezwa na klabu ya Desire dhidi ya Sporting katika mchezo ambao usio na ligi,lilikuwa kwa mshika kibendera wa kike ambaye alikuwa anachezesha mechi hiyo.
Mrembo Denise Bueno ambaye alishika kibendera katika mchezo huo kama muamuzi namba mbili aliwafanya wachezaji washindwe kucheza mpira na muda mwingi kuchukuliwa wakimshangaa yeye huku mpira unaendelea.
Tukio hilo lilitokea baada ya muamuzi huyo kunywa maji...