Picha: Muamuzi aliyesababisha wachezaji wasahau mechi na wabaki kumkodolea macho
Brazil ni moja ya nchi zilizobarikiwa na warembo matata. Wiki hii katika mechi iliyochezwa na klabu ya Desire dhidi ya Sporting katika mchezo ambao usio na ligi,lilikuwa kwa mshika kibendera wa kike ambaye alikuwa anachezesha mechi hiyo.
Mrembo Denise Bueno ambaye alishika kibendera katika mchezo huo kama muamuzi namba mbili aliwafanya wachezaji washindwe kucheza mpira na muda mwingi kuchukuliwa wakimshangaa yeye huku mpira unaendelea.
Tukio hilo lilitokea baada ya muamuzi huyo kunywa maji...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi01 Dec
‘Changa la macho’ hadi kwa wachezaji!
10 years ago
Bongo Movies22 Mar
Picha: Safisha Macho na Hizi za Shishi Bybee Zilizopendwa na Wengi
Picha hizi za staa na mrembo kutoka Bongo Movies, Shilole ‘Shishi bybee’ alizozibandika leo kwenye ukursa wake mtandaoni zimewapagawisha wengi na kuzua mzozo huku wengine wakimmwagia sifa mwanamama huyu wa watoto wawili , kuwa anaonekana kama ni mdada wa miaka 20+ na wengine kuvuka mpaka na kusema mwacheni Mziwanda ambae ni mchumba wake aendelee kung’ang’ania hata kama anapewa kichapo mara kwa mara kwani Shishi bybee ni mtamuu zaidi ya mcharoo.
Kiukweli Shishi ametokelezea,jionee hapo...
10 years ago
Bongo Movies24 Mar
Picha:Safisha Macho na Hizi za ‘Bethidei’ Pati ya Meneja wa Wema, Martin Kadinda Hapo Jana
Siku ya jana ilifanyika bonge la sherehe ndani ya MOG bar &restaurants zamani nyumbani lounge, ilikuwa ni meneja wa staa Wema Sepetu, Martin Kadinda alikuwa akisherekea siku yake ya kuzaliwa, Mastaa na watu wake wakaribu walikuwepo ndani ya nyumba.
Jionee baadhi ya picha za tukio zima hapo juu.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-WP6iF2F-vss/VPdgFLJ9KFI/AAAAAAABnDE/hLJqJw_HNF0/s72-c/1036.jpg)
Madaktari wa Macho kutoka Shirika la Specsavers Watowa Huduma ya Macho kwa Wananchi Skuli ya Kiembesamaki Zanzibar
![](http://3.bp.blogspot.com/-WP6iF2F-vss/VPdgFLJ9KFI/AAAAAAABnDE/hLJqJw_HNF0/s640/1036.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-V1UQiJ_mNtc/VPdgJn3vryI/AAAAAAABnDM/zPWV8-VZLwQ/s640/1031.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-RMNp-NXmTOY/VPdgKSJSpbI/AAAAAAABnDU/hEyIWj4H6do/s640/1005.jpg)
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Watoto waliookolewa wasahau majina yao
9 years ago
Bongo505 Oct
Picha: Rihanna, Kendall Jenner na Gigi Hadid washuhudia mechi ya PSG vs Marseille
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Video ya maamuzi waliofanya ZFA kuhusu muamuzi wa pembeni aliyekataa goli la Mtibwa dhidi ya Azam FC …
January 3 ndio siku ambayo Kombe la Mapinduzi lilianza visiwani Zanzibar kwa michezo miwili kupigwa kwa nyakati mbili tofauti katika uwanja Amaan, ila mchezo wa pili wa Kundi B uliozikutanisha timu za Azam FC dhidi ya Mtibwa Sugar na kumalizika kwa sare ya goli 1-1, uliingia kwenye headlines baada ya muamuzi wa pembeni Dalila Jaffar Mtwana kunyoosha […]
The post Video ya maamuzi waliofanya ZFA kuhusu muamuzi wa pembeni aliyekataa goli la Mtibwa dhidi ya Azam FC … appeared first on...
10 years ago
Mtanzania11 Jun
Kidbwoy: Wasanii wasio wabunifu wasahau mafanikio
NA FARAJA MASINDE
MTANGAZAJI na mtayarishaji wa muziki nchini kupitia studio ya Tetemesha records, Sandu George ‘Kidbwoy’, amesema endapo wasanii wanataka kuwa na mafanikio katika kazi zao lazima wawe wabunifu.
Kidbwoy ambaye ndiye meneja wa msanii chipukizi, Barack De Prince, alisema muziki wa Tanzania unashindwa kufika anga la kimataifa kwa kuwa wasanii wengi si wabunifu na ni wavivu wa kufikiri.
“Wasanii wachanga ndio wanaonyesha kuzidi kubuni vitu vipya lakini wasanii wakongwe...