Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kidbwoy: Wasanii wasio wabunifu wasahau mafanikio

sanduNA FARAJA MASINDE

MTANGAZAJI na mtayarishaji wa muziki nchini kupitia studio ya Tetemesha records, Sandu George ‘Kidbwoy’, amesema endapo wasanii wanataka kuwa na mafanikio katika kazi zao lazima wawe wabunifu.
Kidbwoy ambaye ndiye meneja wa msanii chipukizi, Barack De Prince, alisema muziki wa Tanzania unashindwa kufika anga la kimataifa kwa kuwa wasanii wengi si wabunifu na ni wavivu wa kufikiri.

“Wasanii wachanga ndio wanaonyesha kuzidi kubuni vitu vipya lakini wasanii wakongwe...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

hafla ya ugawaji wa Mirabaha kwa Wabunifu na wasanii Zanzibar - Balozi Seif aonya walaghai wa kazi za wasanii

Othman Khamis Ame, OMPR -  ZNZ
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alionya kwamba wananchi wanalazimika kujenga utamaduni wa kuthamini kazi za wabunifu na wasanii kwa kuona fahari kuzilipia bila ya shuruti pale wanapozitumia jambo ambalo ni uungwana na kinyume chake inahesabika kuwa ni wizi. Alisema Serikali kupitia Ofisi ya Hakimiliki, Bodi ya Hakimiliki na Jumuiya ya Hakimiliki Zanzibar { COSOZA } itaendelea kusimamia kazi za wabunifu na wasanii ili kuona kuwa maslahi,...

 

9 years ago

Bongo5

TID anaamini teknolojia inawabeba wasanii wasio na vipaji

11910076_889874394433938_1177708504_n

Hitmaker wa Zeze, Nyota Yako na ngoma zingine, TID amesema mabadiliko ya teknolojia yamewafanya wasanii wasio na vipaji kupata nafasi ya kufanya vizuri.

11910076_889874394433938_1177708504_n

Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha EATV jana, TID alisema kwa kipaji alichonacho alitakiwa kuwa tajiri kuliko wasanii wote.

“Sasa hivi tumeamua kuwa pamoja zaidi kuboresha yale ambayo tulianzisha. Nafikiri sisi wakati tumeanza tulitumia nguvu nyingi sana,” alisema.

“Sasa hivi teknolojia inawabeba hawa watoto, wasanii wajinga,...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS DKT. SHEIN AZUNGUMZA NA WASANII NA WABUNIFU ZANZIBAR.

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Wasanii mbalimbali wa Unguja na Pemba katika mkutano wake uliofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar leo 12-3-2020.(Picha na Ikulu)
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) alipokuwa akizungumza na wasanii mbalimbali wa Zanzibar katika mkutano uliofanyika leo ukumbi wa Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Mjini Zanzibar katika...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AZUNGUMZA NA WASANII NA WABUNIFU ZANZIBAR


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akimsalimia Msanii Mkongwe Zanzibar wa michezo ya kuigiza Bi.Mwema Khamis ( maarufu Bi Njiwa ) baada ya hafla ya kumalizika kwa  mkutano wake na Wasanii na Wabunifu Zanzibar, uliofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni  Jijini Zanzibar,(kulia kwa Rais) Mshauri wa Rais Masuala ya Utamaduni na Sanaa.Mhe. Chembeni Kheri.(Picha na Ikulu)

 

10 years ago

Mwananchi

Ushirikiano kwa wasanii nguzo ya mafanikio

“Narudi nyumba ooh” ni miongoni mwa nyimbo za marehemu Remy Ongala zilizotamba miaka ya 1980 na mpaka sasa wimbo huo bado unavuma.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watoto waliookolewa wasahau majina yao

Takriban watoto 80 waliookolewa katika kambi ya kundi la Boko Haram nchini Cameroon hawawezi kukumbuka majina yao

 

5 years ago

Bongo5

Picha: Muamuzi aliyesababisha wachezaji wasahau mechi na wabaki kumkodolea macho

Brazil ni moja ya nchi zilizobarikiwa na warembo matata. Wiki hii katika mechi iliyochezwa na klabu ya Desire dhidi ya Sporting katika mchezo ambao usio na ligi,lilikuwa kwa mshika kibendera wa kike ambaye alikuwa anachezesha mechi hiyo.

Mrembo Denise Bueno ambaye alishika kibendera katika mchezo huo kama muamuzi namba mbili aliwafanya wachezaji washindwe kucheza mpira na muda mwingi kuchukuliwa wakimshangaa yeye huku mpira unaendelea.

Tukio hilo lilitokea baada ya muamuzi huyo kunywa maji...

 

5 years ago

Michuzi

RPC TANGA AWAONYA WEZI,AWAAMBIA WATAKAOKAMATWA WATAFINYANGWA FINYANGWA WASAHAU WALIPOTOKEA



KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Tanga Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi (ACP)Blasius Chatanda akiwaonyesha waandishi wa habari vitu ambavyo
vimekamatwa wakati wa opeseheni hiyo.
Camera ambazo pia zimekatwa wakati wa operesheni hiyo.

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Tanga Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi (ACP)
Blasius Chatanda akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali
 KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Tanga Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi (ACP)
Blasius Chatanda ametoa onyo kali kwa wezi...

 

9 years ago

Mwananchi

MBINU ZA MAFANIKIO : Jinsi ya kutawala mafanikio yako - 2

Katika mada hii ya namna ya kudumisha mafanikio yako, wiki iliyopita nilielezea juu ya dondoo za jinsi ya kutawala biashara yako ili isitetereke na kurudi nyuma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani