Kidbwoy: Wasanii wasio wabunifu wasahau mafanikio
NA FARAJA MASINDE
MTANGAZAJI na mtayarishaji wa muziki nchini kupitia studio ya Tetemesha records, Sandu George ‘Kidbwoy’, amesema endapo wasanii wanataka kuwa na mafanikio katika kazi zao lazima wawe wabunifu.
Kidbwoy ambaye ndiye meneja wa msanii chipukizi, Barack De Prince, alisema muziki wa Tanzania unashindwa kufika anga la kimataifa kwa kuwa wasanii wengi si wabunifu na ni wavivu wa kufikiri.
“Wasanii wachanga ndio wanaonyesha kuzidi kubuni vitu vipya lakini wasanii wakongwe...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RR-aBPwVDU8/VTJgSBJABBI/AAAAAAAHR1I/Ny3HiJeP8IE/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
hafla ya ugawaji wa Mirabaha kwa Wabunifu na wasanii Zanzibar - Balozi Seif aonya walaghai wa kazi za wasanii
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alionya kwamba wananchi wanalazimika kujenga utamaduni wa kuthamini kazi za wabunifu na wasanii kwa kuona fahari kuzilipia bila ya shuruti pale wanapozitumia jambo ambalo ni uungwana na kinyume chake inahesabika kuwa ni wizi. Alisema Serikali kupitia Ofisi ya Hakimiliki, Bodi ya Hakimiliki na Jumuiya ya Hakimiliki Zanzibar { COSOZA } itaendelea kusimamia kazi za wabunifu na wasanii ili kuona kuwa maslahi,...
9 years ago
Bongo517 Nov
TID anaamini teknolojia inawabeba wasanii wasio na vipaji
![11910076_889874394433938_1177708504_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11910076_889874394433938_1177708504_n-300x194.jpg)
Hitmaker wa Zeze, Nyota Yako na ngoma zingine, TID amesema mabadiliko ya teknolojia yamewafanya wasanii wasio na vipaji kupata nafasi ya kufanya vizuri.
Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha EATV jana, TID alisema kwa kipaji alichonacho alitakiwa kuwa tajiri kuliko wasanii wote.
“Sasa hivi tumeamua kuwa pamoja zaidi kuboresha yale ambayo tulianzisha. Nafikiri sisi wakati tumeanza tulitumia nguvu nyingi sana,” alisema.
“Sasa hivi teknolojia inawabeba hawa watoto, wasanii wajinga,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nQvkfBGDgYs/XmpuJ9LfWII/AAAAAAAC8U0/p8vWwHI3HIcWrA8gJPXWN3eMiHh9JDZUACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DKT. SHEIN AZUNGUMZA NA WASANII NA WABUNIFU ZANZIBAR.
![](https://1.bp.blogspot.com/-nQvkfBGDgYs/XmpuJ9LfWII/AAAAAAAC8U0/p8vWwHI3HIcWrA8gJPXWN3eMiHh9JDZUACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-dQsx-MZOCuI/XmpvoVXRLSI/AAAAAAAC8V8/DFCOb28zszQLkreCuupndRk0kKufWRQFgCLcBGAsYHQ/s640/7.jpg)
5 years ago
CCM BlogRAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AZUNGUMZA NA WASANII NA WABUNIFU ZANZIBAR
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Ushirikiano kwa wasanii nguzo ya mafanikio
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Watoto waliookolewa wasahau majina yao
5 years ago
Bongo514 Feb
Picha: Muamuzi aliyesababisha wachezaji wasahau mechi na wabaki kumkodolea macho
Brazil ni moja ya nchi zilizobarikiwa na warembo matata. Wiki hii katika mechi iliyochezwa na klabu ya Desire dhidi ya Sporting katika mchezo ambao usio na ligi,lilikuwa kwa mshika kibendera wa kike ambaye alikuwa anachezesha mechi hiyo.
Mrembo Denise Bueno ambaye alishika kibendera katika mchezo huo kama muamuzi namba mbili aliwafanya wachezaji washindwe kucheza mpira na muda mwingi kuchukuliwa wakimshangaa yeye huku mpira unaendelea.
Tukio hilo lilitokea baada ya muamuzi huyo kunywa maji...
5 years ago
MichuziRPC TANGA AWAONYA WEZI,AWAAMBIA WATAKAOKAMATWA WATAFINYANGWA FINYANGWA WASAHAU WALIPOTOKEA
KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Tanga Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi (ACP)Blasius Chatanda akiwaonyesha waandishi wa habari vitu ambavyo
vimekamatwa wakati wa opeseheni hiyo.
Camera ambazo pia zimekatwa wakati wa operesheni hiyo.
KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Tanga Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi (ACP)
Blasius Chatanda akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali
KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Tanga Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi (ACP)
Blasius Chatanda ametoa onyo kali kwa wezi...
9 years ago
Mwananchi10 Sep
MBINU ZA MAFANIKIO : Jinsi ya kutawala mafanikio yako - 2