Mbunge amkaba msimamizi kudai hati yake
Ili kupata hati ya ushindi Mbunge Mteule wa jimbo la Serengeti Mkoa wa Mara Marwa Ryoba (Chadema)alilazimika kumkaba Msimamizi wa Uchaguzi jimbo hilo,baada ya kutomkabidhi hati yake ya ushindi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ad0lY0Jq92w/UydBypkF6DI/AAAAAAACcvw/yupsnnH79cY/s72-c/unnamed.jpg)
GODFREY MGIMWA AKABIDHIWA HATI YAKE YA KUWA MBUNGE
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ad0lY0Jq92w/UydBypkF6DI/AAAAAAACcvw/yupsnnH79cY/s1600/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YjUnv2pkNwM/UydBwUNmiMI/AAAAAAACcvo/x2KWFTgA_uA/s1600/IMG-20140317-WA0001.jpg)
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Ongezeko la ajali za barabarani, madhara yake kiuchumi na haki ya kudai fidia
Ajali za barabarani zimekuwa ni janga kubwa kwa taifa letu. Ajali hizi kwa muda wa hivi karibuni zimeongezeka sana na kusababisha watu kufariki dunia, kupotelewa mali, kupata majeraha, kupata ulemavu wa kudumu na watu wengi wamejikuta maskini kwa sababu ya ajali za barabarani. Wengine wanafia njiani wakihangaika kupata haki zao.
11 years ago
Tanzania Daima02 Mar
Mnyika amkaba Dk. Magufuli
SIKU moja baada ya Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli kuiamuru Kampuni ya Strabag kufungua barabara ya Morogoro na za mchepuko ambazo zimekamilika, Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemtaka...
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Kikwembe: Mbunge mahiri anayekumbatia taaluma yake
Miongoni mwa wabunge yumo Dk Pudenciana Kikwembe Viti Maalumu (CCM). Hili si jina geni masikioni mwa wengi kutokana na michango na uwezo wake wa kujenga hoja bungeni.
10 years ago
GPLTANZIA: MBUNGE WA KINONDONI AFIWA NA KAKA YAKE
Mbunge wa Kinondoni (CCM), Idd Mohamed Azzan . Mbunge wa Kinondoni, Mheshimiwa Idd Mohamed Azzan anasikitika kutangaza kifo cha kaka yake, Azzan Mohamed kilichotokea usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Kinondoni (Kwa Dr. Mvungi). Msiba upo Magomeni Makuti, Mtaa wa Somanga na mazishi yatafanyika leo saa saba mchana katika makaburi ya Kisutu. Inna Lillahi wa inna illah… ...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-muxvh66Y_Bw/VngJSs5Z0NI/AAAAAAAINsg/tpj-NUgAPTE/s72-c/IMG-20151218-WA0062.jpg)
MBUNGE WA MLALO ATIMIZA AHADI YAKE KWA WANAMLALO
![](http://3.bp.blogspot.com/-muxvh66Y_Bw/VngJSs5Z0NI/AAAAAAAINsg/tpj-NUgAPTE/s640/IMG-20151218-WA0062.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-U-X6y9D40JI/VngJS6mFlPI/AAAAAAAINs4/e-uAEUgakew/s640/IMG-20151218-WA0064.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6jwNOllOjTM/VngJS_cyY5I/AAAAAAAINsk/I1IbgVSpXwc/s640/IMG-20151218-WA0063.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/q_bdzhEEess/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UIbIDw33gI0/VPggwjGeIGI/AAAAAAAAIjA/uJcp1QnrQg4/s72-c/Kibaha%2B1.jpg)
Katibu wa Mbunge awashukuru walioshirikiana naye msiba wa mama yake
![](http://3.bp.blogspot.com/-UIbIDw33gI0/VPggwjGeIGI/AAAAAAAAIjA/uJcp1QnrQg4/s1600/Kibaha%2B1.jpg)
"Nashukuru Watanzania wote walioshiriki kwa namna moja ama nyingine kufanikisha msiba na mazishi ya mama yetu kwa kutufanyia mambo mengi yenye kuleta ushirikiano kwa jamii kwa rambimbari zilizoonyesha kuguswa na msiba huu. Familia haina cha kuwalipa, isipokuwa kwa...
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Jinsi ya kumng’oa msimamizi wa mirathi
Uwanja wa Kambole leo unakupa fursa ya kusoma na kuelewa juu ya sheria za mirathi hasa kwenye kipengele cha kumpinga na kumuondoa msimamizi wa mirathi. Hata hivyo, unapaswa kufahamu kuwea kiuzoefu wasimamizi wengi wa mirathi ni wakorofi. Kwanza wakishachaguliwa wanaanza kutumia mali za marehemu kwa faida yao.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania