Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge amkaba msimamizi kudai hati yake

Ili kupata hati ya ushindi Mbunge Mteule wa jimbo la Serengeti Mkoa wa Mara Marwa Ryoba (Chadema)alilazimika kumkaba Msimamizi wa Uchaguzi jimbo hilo,baada ya kutomkabidhi hati yake ya ushindi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

GODFREY MGIMWA AKABIDHIWA HATI YAKE YA KUWA MBUNGE

 mshindi wa jimbo la kalenga Godfrey Mgimwa akiwa na mke wake Robby Mgimwa wakifurahia hati aliyokabidhiwa ya kuwa mbunge.  Godfrey Mgimwa akiwa anafurahia ushindi katikati Mwenyekiti wa ccm mkoa wa Iringa Jesca Msambatavangu na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Iringa vijiji mama Mtavilalo.

 

11 years ago

Mwananchi

Ongezeko la ajali za barabarani, madhara yake kiuchumi na haki ya kudai fidia

Ajali za barabarani zimekuwa ni janga kubwa kwa taifa letu. Ajali hizi kwa muda wa hivi karibuni zimeongezeka sana na kusababisha watu kufariki dunia, kupotelewa mali, kupata majeraha, kupata ulemavu wa kudumu na watu wengi wamejikuta maskini kwa sababu ya ajali za barabarani. Wengine wanafia njiani wakihangaika kupata haki zao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyika amkaba Dk. Magufuli

SIKU moja baada ya Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli kuiamuru Kampuni ya Strabag kufungua barabara ya Morogoro na za mchepuko ambazo zimekamilika, Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemtaka...

 

11 years ago

Mwananchi

Kikwembe: Mbunge mahiri anayekumbatia taaluma yake

Miongoni mwa wabunge yumo Dk Pudenciana Kikwembe Viti Maalumu (CCM). Hili si jina geni masikioni mwa wengi kutokana na michango na uwezo wake wa kujenga hoja bungeni.

 

10 years ago

GPL

TANZIA: MBUNGE WA KINONDONI AFIWA NA KAKA YAKE

Mbunge wa Kinondoni (CCM), Idd Mohamed Azzan . Mbunge wa Kinondoni, Mheshimiwa Idd Mohamed Azzan anasikitika kutangaza kifo cha kaka yake, Azzan Mohamed kilichotokea usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Kinondoni (Kwa Dr. Mvungi). Msiba upo Magomeni Makuti, Mtaa wa Somanga na mazishi yatafanyika leo saa saba mchana katika makaburi ya Kisutu. Inna Lillahi wa inna illah… ...

 

9 years ago

Michuzi

MBUNGE WA MLALO ATIMIZA AHADI YAKE KWA WANAMLALO

 Katika utekelezaji wa ahadi zake Mbunge wa jimbo la Mlalo Rashid Shangazi amekabidhi mabati 40 ya geji 28 kwa wanajimbo la Mlalo  kwaajili ya  kwa ajili ya jengo la Maabara shule ya Sekondari Mtae pamoja na Mifuko 10 ya sementi kwaajili ya kwa ajili ya ukarabati msikiti mkuu wa makose. Alikabidhi vitu hivyo mwishoni mwa wiki mkoani Tanga.Wana Mlalo wakishusha Mifuko ya Sementi 10  kwa ajili ya ukarabati msikiti mkuu wa makose, kutoka kwenye gari pamoja na Mabati 40 kwa shule ya Mtae wishoni...

 

10 years ago

Michuzi

Katibu wa Mbunge awashukuru walioshirikiana naye msiba wa mama yake

Katibu wa Mbunge wa Viti Maalum, Al Sheimar Kweigyir (Semeni Kingaru) mwenye shati la mikono mirefu, akiwa kwenye mazishi ya mama yake mzazi Bi Kibibi Haji Pembe, aliyezikwa Machi 3, kijiji cha Misugusugu, Kibaha, mkoani Pwani.
"Nashukuru Watanzania wote walioshiriki kwa namna moja ama nyingine kufanikisha msiba na mazishi ya mama yetu kwa kutufanyia mambo mengi yenye kuleta ushirikiano kwa jamii kwa rambimbari zilizoonyesha kuguswa na msiba huu. Familia haina cha kuwalipa, isipokuwa kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Jinsi ya kumng’oa msimamizi wa mirathi

Uwanja wa Kambole leo unakupa fursa ya kusoma na kuelewa juu ya sheria za mirathi hasa kwenye kipengele cha kumpinga na kumuondoa msimamizi wa mirathi. Hata hivyo, unapaswa kufahamu kuwea kiuzoefu wasimamizi wengi wa mirathi ni wakorofi. Kwanza wakishachaguliwa wanaanza kutumia mali za marehemu kwa faida yao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani