Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mnyika amkaba Dk. Magufuli

SIKU moja baada ya Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli kuiamuru Kampuni ya Strabag kufungua barabara ya Morogoro na za mchepuko ambazo zimekamilika, Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemtaka...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyika alia na Magufuli barabara Tangi bovu

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemtaka Waziri wa Ujenzi Dk. John Magufuli kuchukua hatua za haraka kuharakisha ujenzi wa barabara ya Tangi Bovu Goba kama alivyoahidi bungeni hivi karibuni....

 

9 years ago

Mtanzania

Mnyika amkumbusha Magufuli ufisadi DART, bomba la Mchina

Pg 4NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM

MBUNGE wa Kibamba, John Mnyika amemuomba Rais Dk.John Magufuli kuingilia kati mradi wa maji wa Ruvu Chini maarufu ‘Bomba la Mchina’ pamoja na  wa Mabasi Yaendayo Kasi (DART) kuwa ni majipu sugu yanayotafuna fedha za walipa kodi.

Akizungumza   Dar es Salaam jana, Mnyika alisema siku 32 za Rais Magufuli kukaa Ikulu ametumbua vipele na si majipu kama   inavyoelezwa.

Alisema tatizo la maji nchini ni kubwa ambako awali kulikuwa na nyumba inazuia mradi wa...

 

9 years ago

CHADEMA Blog

Mnyika amkumbusha Magufuli ufisadi DART, bomba la Mchina

MBUNGE wa Kibamba, John Mnyika amemuomba Rais Dk.John Magufuli kuingilia kati mradi wa maji wa Ruvu Chini maarufu ‘Bomba la Mchina’ pamoja na wa Mabasi Yaendayo Kasi (DART) kuwa ni majipu sugu yanayotafuna fedha za walipa kodi.Akizungumza Dar es Salaam jana, Mnyika alisema siku 32 za Rais Magufuli kukaa Ikulu ametumbua vipele na si majipu kama inavyoelezwa.Alisema tatizo la maji nchini ni kubwa

 

9 years ago

Mwananchi

Mbunge amkaba msimamizi kudai hati yake

Ili kupata hati ya ushindi Mbunge Mteule wa jimbo la Serengeti Mkoa wa Mara Marwa Ryoba (Chadema)alilazimika kumkaba Msimamizi wa Uchaguzi jimbo hilo,baada ya kutomkabidhi hati yake ya ushindi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mnyika amlipua Muhongo

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemlipua Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo, kwamba ni muongo kwani ameshalidanganya Bunge zaidi ya mara tatu. Mbunge huyo ambaye pia ni...

 

11 years ago

Habarileo

Nape amwakia Mnyika

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, amemwashia moto mbunge wa Ubungo John Mnyika (Chadema) pamoja na wabunge wengine wa upinzani bungeni, kwa kitendo cha kudai hati za muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

 

10 years ago

Habarileo

Sitta- Mnyika kanitukana

MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta amelieleza Bunge hilo kuwa, Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (Chadema), aliamua kumtukana yeye na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi, Andrew Chenge. “Bwana mmoja Mnyika ameamua kututukana mimi na Chenge…ametuita maharamia mbele ya mkutano wa hadhara huko Mwanza.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyika ambana mkandarasi

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemtaka mkandarasi aliyeingia mkataba wa mradi mkubwa wa maji kutoka Mlandizi hadi kwenye matenki ya Kimara na Mtaa wa Kwembe, aharakishe na kuukamilisha kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Mnyika atishia kushtaki

MBUNGE wa Ubungo John Mnyika amemtaka Waziri Mkuu ambaye ni Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utaokafanyika Desemba mwaka huu, kufanya marekebisho ya kanuni za uchaguzi kwa kuwa zina upungufu mwingi, la sivyo atafungua kesi mahakamani kupinga kanuni hizo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani