Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nape amwakia Mnyika

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, amemwashia moto mbunge wa Ubungo John Mnyika (Chadema) pamoja na wabunge wengine wa upinzani bungeni, kwa kitendo cha kudai hati za muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyika amkaba Dk. Magufuli

SIKU moja baada ya Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli kuiamuru Kampuni ya Strabag kufungua barabara ya Morogoro na za mchepuko ambazo zimekamilika, Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemtaka...

 

10 years ago

Habarileo

Mnyika atishia kushtaki

MBUNGE wa Ubungo John Mnyika amemtaka Waziri Mkuu ambaye ni Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utaokafanyika Desemba mwaka huu, kufanya marekebisho ya kanuni za uchaguzi kwa kuwa zina upungufu mwingi, la sivyo atafungua kesi mahakamani kupinga kanuni hizo.

 

10 years ago

Habarileo

Sitta- Mnyika kanitukana

MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta amelieleza Bunge hilo kuwa, Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (Chadema), aliamua kumtukana yeye na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi, Andrew Chenge. “Bwana mmoja Mnyika ameamua kututukana mimi na Chenge…ametuita maharamia mbele ya mkutano wa hadhara huko Mwanza.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mnyika amlipua Muhongo

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemlipua Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo, kwamba ni muongo kwani ameshalidanganya Bunge zaidi ya mara tatu. Mbunge huyo ambaye pia ni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyika ambana mkandarasi

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemtaka mkandarasi aliyeingia mkataba wa mradi mkubwa wa maji kutoka Mlandizi hadi kwenye matenki ya Kimara na Mtaa wa Kwembe, aharakishe na kuukamilisha kwa...

 

11 years ago

Habarileo

Simon Group washangazwa na Mnyika

MWENYEKITI Mtendaji wa Kampuni ya Simon Group inayoendesha Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), Robert Kisena ameeleza kushangazwa na upotoshaji uliofanywa na Mbunge wa Ubungo, John Mnyika juu ya uhalali wa umiliki wa hisa za shirika hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyika: Vigogo wa ujangili waanikwe

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), ameitaka serikali kuyaweka wazi majina ya vigogo wanaotuhumiwa kujihusisha na matukio ya ujangili wa kuua tembo na faru kwenye hifadhi za taifa kabla ya...

 

11 years ago

Habarileo

Mnyika akumbushia fidia Mloganzila

MBUNGE wa Ubungo John Mnyika amemuomba Rais Jakaya Kikwete kuingilia kati na kutoa kauli kwa umma kuhusu fidia ya ardhi kwa wananchi wa Kata ya Mwembe eneo la Mloganzila kama ilivyoahidiwa kwa nyakati mbalimbali kati ya mwaka 2009 na 2010.

 

11 years ago

Mwananchi

Mnyika aponda Rasimu ya Kanuni

Mbunge wa Ubungo kupitia tiketi ya Chadema, John Mnyika amesema Rasimu ya Kanuni za Bunge Maalumu la Katiba ina vifungu vinavyompa madaraka makubwa Mwenyekiti wa Bunge hilo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani