Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simon Group washangazwa na Mnyika

MWENYEKITI Mtendaji wa Kampuni ya Simon Group inayoendesha Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), Robert Kisena ameeleza kushangazwa na upotoshaji uliofanywa na Mbunge wa Ubungo, John Mnyika juu ya uhalali wa umiliki wa hisa za shirika hilo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Kampuni ya Simon Group yawaangukia wabunge

KAMPUNI ya Simon Group inayoendesha Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), imewaomba radhi wabunge wa Dar es Salaam akiwemo Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA) kutokana na habari zilizoandikwa kwamba Mwenyekiti wake, Robert Kisena aliwatuhumu wabunge hao kuhongwa ili kuihujumu UDA.

 

11 years ago

TheCitizen

Simon Group: Powerful clique out to grab UDA

>Simon Group Ltd, which claims to have a 76 per cent stake in Dar es Salaam commuter transport company Uda, says powerful forces are out to grab the bus firm.

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge washangazwa na utoro wa mawaziri

WABUNGE jana walishangazwa na kitendo cha mawaziri na manaibu, kutohudhuria vikao vya Bunge, licha ya kuwepo kwa matukio muhimu kwa nchi yanayojadiliwa.

 

9 years ago

Habarileo

Wenye magari washangazwa na madereva

MUUNGANO wa wamiliki wa vyombo vya usafirishaji nchini, umeelezea kushangazwa na tishio la mgomo wa madereva wakati madai yao yote yamekwisha tatuliwa, ikiwa ni pamoja na kuandaliwa mikataba mipya.

 

9 years ago

Mtanzania

Sauti Sol washangazwa na mashabiki Marekani

SAUTI SOLNEW YORK, MAREKANI

KUNDI la Sauti Sol kutoka nchini Kenya, juzi lilijikuta likishangazwa na idadi kubwa ya watu katika jiji la New York nchini Marekani, kabla ya onyesho lao katika ukumbi wa Central Park nchini humo.

Sauti Sol wako nchini Marekani kwa ajili ya tamasha la kimataifa la Global Citizen linalowakutanisha wasanii mbalimbali ambapo watu zaidi ya 60,000 wanakadiriwa walihudhuria tamasha hilo.

Tamasha hilo limeandaliwa kwa ajili ya kukuza elimu, kutetea haki za wakimbizi na kujadili...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mameneja washangazwa na kufutwa kwa Mourinho

Mameneja wa klabu za Ligi Kuu ya Uingereza wameeleza kushangazwa kwao na hatua ya Chelsea kumfuta kazi meneja Jose Mourinho.

 

9 years ago

Habarileo

Kenya washangazwa kwa utulivu wa Watanzania

WAANGALIZI kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wameelezea kushangazwa na amani na utulivu uliokuwepo wakati wa kupiga kura. Kiongozi wa Timu ya Waangalizi wa Uchaguzi Mkuu kutoka EAC, Moody Awori, ambaye pia ni Makamu wa Rais mstaafu wa Kenya amemueleza hayo Rais Jakaya Kikwete alipofika Ikulu jana mchana.

 

10 years ago

CloudsFM

MAREKANI WASHANGAZWA NA STORI ZA T.I KUHUSU TANZANIA, AKANUSHA KUWEPO KWA EBOLA

STAA wa Hip Hop kutoka nchini Marekani T.I Jumamosi iliyopita alipafomu kwenye tamasha la serengeti fiesta kinondoni, leaders club, ikiwa ni siku mbili tu kabla ya kuachia album yake iitwayo ‘’paper work’’, na ilikuwa ni katika kipindi ambacho Wamarekani wengi walikuwa wanaamini Afrika nzima inakabiliwa na gonjwa la Ebola.
Baada ya kurudi Marekani msanii huyo amekuwa akiulizwa mara nyingi kuhusu ishu hiyo ya Ebola na yeye amekuwa balozi mzuri wa Tanzania kwa kukanusha uvumi ambao huenda...

 

5 years ago

Michuzi

MAKATIBU WAKUU NA MANAIBU WA WIZARA MBALIMBALI WASHANGAZWA KASI YA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA (SGR)


Na Avila Kakingo-Michuzi Blog
MAKATIBU wakuu na Manaibu  wa Wizara mbalimbali katika serikali ya awamu ya Tano ya Dkt. John Pombe Magufuli wameshangazwa na maendeleo ya Mradi wa Ujenzi wa reli ya kisasa ya Umeme (SGR).

Akizungumza na waandishi wa habari, Katibu Mkuu wizara ya Katiba na Sheria, Profesa Sifuni Mchome wakati wa ziara ya kutembelea ujenzi wa Mradi wa reli ya Kisasa kutoka Dar es Salaam mpaka Dodoma, amesema kuwa kwakuwa mradi huu unazungumzwa katika vikao vyao ndio mana leo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani