Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge washangazwa na utoro wa mawaziri

WABUNGE jana walishangazwa na kitendo cha mawaziri na manaibu, kutohudhuria vikao vya Bunge, licha ya kuwepo kwa matukio muhimu kwa nchi yanayojadiliwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wabunge vinara wa utoro

Mwenyekiti wa bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta amewanyooshea kidole wabunge wa Bunge la Muungano kwamba wanaongoza kwa utoro kwenye vikao vya kamati.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Utoro wa wabunge umeathiri Bajeti ya Serikali

Bunge kwa siku kadhaa limekuwa likijadili Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2015/16. Jambo la kusikitisha ni kuwa, kinyume na mijadala ya bajeti kuu za Serikali iliyofanyika miaka ya nyuma, mjadala wa bajeti ya mwaka wa fedha ujao umekuwa na upungufu mkubwa kutokana na kuhusisha idadi ndogo sana ya wabunge.

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge wawalipua mawaziri

Bunge limeendelea kuwa moto kwa viongozi wakati wabunge wakiwalipua mawaziri, huku wakimtaka Waziri wa Fedha, Saada Mkuya kufukuzwa kutokana na kukiuka Katiba na kumrushia bomu Lazaro Nyalandu kuwa anazunguka nje ya nchi na msichana kwa madai ya kutangaza utalii.

 

10 years ago

Mwananchi

IPTL yazamisha mawaziri, AG, wabunge

Bunge limehitimisha mjadala wa Kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow kwa kupitisha maazimio manane, likiwamo la kuwawajibisha Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka.

 

11 years ago

Mwananchi

Faida ya wabunge kutokuwa mawaziri

Dodoma.  Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, John Chiligati amesema mabadiliko ya Katiba yatakayofuta haki ya mbunge kuwa Waziri, yataongeza uwajibikaji kwa umma.

 

11 years ago

Mwananchi

Lissu awalipua mawaziri, wabunge

>Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu jana amewalipua baadhi ya mawaziri na wabunge kwa kugeuka ombaomba katika mifuko ya hifadhi ya jamii.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Msigwa ataka wabunge, mawaziri wabanwe

MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (CHADEMA) ameitaka Serikali kupeleka muswada bungeni kwa ajili kutungwa sheria ya kuwabana wabunge na mawaziri ambao hawasomeshi watoto wao wala kutibiwa ndani ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge wa CCM wawakalia kooni mawaziri mizigo

Wabunge 160 wa CCM wamejiorodhesha kuomba kuitishwa kwa kikao cha Kamati ya Wabunge hao kwa lengo la kuwajadili mawaziri wanaotajwa kuwa mizigo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani