Kampuni ya Simon Group yawaangukia wabunge
KAMPUNI ya Simon Group inayoendesha Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), imewaomba radhi wabunge wa Dar es Salaam akiwemo Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA) kutokana na habari zilizoandikwa kwamba Mwenyekiti wake, Robert Kisena aliwatuhumu wabunge hao kuhongwa ili kuihujumu UDA.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo19 May
Simon Group washangazwa na Mnyika
MWENYEKITI Mtendaji wa Kampuni ya Simon Group inayoendesha Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), Robert Kisena ameeleza kushangazwa na upotoshaji uliofanywa na Mbunge wa Ubungo, John Mnyika juu ya uhalali wa umiliki wa hisa za shirika hilo.
11 years ago
TheCitizen19 May
Simon Group: Powerful clique out to grab UDA
10 years ago
MichuziDCB YASHIRIKI MAONYESHO YA KAMPUNI YA EAG GROUP
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9N-UvlcSCPs/U7F9C_xIfLI/AAAAAAAFtqs/Smnucll6C14/s72-c/unnamed+(33).jpg)
JK akutana na makamu wa Rais wa Kampuni ya Viettel group ya Vietnam
![](http://2.bp.blogspot.com/-9N-UvlcSCPs/U7F9C_xIfLI/AAAAAAAFtqs/Smnucll6C14/s1600/unnamed+(33).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-KH09UlywMuo/U7F9DzntDcI/AAAAAAAFtq0/_WjoF7WOrVE/s1600/unnamed+(34).jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Mar
Pinda akutana na uongozi wa kampuni ya China Merchant Group
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimwonyesha Mwenyekiti wa Kampuni ya China Merchants, Group, Bw. Li Xiaopeng jarida linaloonyesha fursa za uwekezaji nchi lililotolewa na Kituo cha Uwekezaji Tanzania katika mazungumzo yao yaliyofanyika Ofisini kwa Wazri Mkuu jijini Dar es salaam Machi 2015. Kampuni hiyo Inatarajiwa kuanza ujenzi wa bandari ya Bagamoyo hivi karibuni. (Picha bna Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Rais wa Burundi Pierr Nkurunzinza katika chakula cha...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-unuHmCOI5hg/Ux__IqpYlwI/AAAAAAAFTAQ/_TbzZ1eUtp4/s72-c/key+hand+over+2.jpg)
Kampuni ya Bhakresa Group wakabidhiwa funguo za fuso 8 mpya
![](http://2.bp.blogspot.com/-unuHmCOI5hg/Ux__IqpYlwI/AAAAAAAFTAQ/_TbzZ1eUtp4/s1600/key+hand+over+2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-J2IUjNhOODo/Ux__SxjYGGI/AAAAAAAFTAg/t1r6GG17WX0/s1600/8+trucks.jpg)
Kampuni ya Bakhresa Group - maarufu kwa jina la Azam – ni kampuni ya kwanza ya wateja wa muda mrefu wa Diamond Motors (Hansa) kuthibitisha kuagiza Fuso...
10 years ago
Dewji Blog19 Jan
Matukio ya picha hafla ya wanahabari na kampuni ya Afrika Internet Group
![Meneja wa Kampuni ya Lamudi nchini Tanzania, Godlove Nyagawa akizungumza na wageni waalikwa wanahabari na wadau wengine wa kampuni hiyo kwenye hafla ya kufahamiana iliyoandaliwa na Afrika Internet Holding.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/01/IMG_0016.jpg)
Meneja wa Kampuni ya Lamudi nchini Tanzania, Godlove Nyagawa akizungumza na wageni waalikwa wanahabari na wadau wengine wa kampuni hiyo kwenye hafla ya kufahamiana iliyoandaliwa na Afrika Internet Group mwishoni mwa juma.
![Meneja wa Kampuni ya Kaymu.com nchini Tanzania, Erfam Mosgani (kushoto) akizungumza na baadhi ya wageni waalikwa katika hafla ya kufahamiana na kubadilishana uzoefu na wanahabari iliyoandaliwa na kampuni ya Afrika Internet Holding.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/01/IMG_0039.jpg)
Meneja wa Kampuni ya Kaymu.com nchini Tanzania, Erfam Mosgani (kushoto) akizungumza na baadhi ya wageni waalikwa katika hafla ya kufahamiana na kubadilishana uzoefu na wanahabari iliyoandaliwa na kampuni ya Afrika Internet Group.
![Kutoka kushoto ni Meneja wa Kampuni ya Kaymu.com nchini Tanzania, Erfam Mosgani (kushoto), Meneja Mwendeshaji wa Mo Blog, Mr. Zainul M. na Mkuu wa Kitengo cha Biashara na Mahusiano Kaymu.com, Angaza Nkurlu wakibadilishana uzoefu katika hafla ya kufahamiana iliyoandaliwa na kampuni ya Afrika Internet Holding.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/01/IMG_0036.jpg)
Kutoka kushoto ni Meneja wa Kampuni ya...
11 years ago
Dewji Blog04 Aug
Star Oils kampuni dada ya MeTL GROUP yapata mkopo wa bilioni 100 kutoka NBC
Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, Bi. Mizinga Melu akizungumza kwenye hafla ya utiliaji saini wa mkopo wa bilioni 100 za kitanzania baina ya benki yake na kampuni ya MeTL mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.
.MetTL yajipanga kupanua soko lake la mafuta Afrika Mashariki na Kusini
Na Mwandishi wetu
KAMPUNI ya Mohammed Enterpries Tanzania Limited (MeTL GROUP) kupitia kampuni yake dada ya kuingiza, kuhifadhi na kusambaza mafuta nchini ya Star Oils Ltd. imepata mkopo wa bilioni 100 kutoka kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nnsbzwZ6dyM/UvzEmwBTRrI/AAAAAAAFM6k/7kLfxA-xx7I/s72-c/unnamed+(9).jpg)
pinda akutana na viongozi wa kampuni ya AVIC Group China Civil Aviation inayotaka kuwekeza ATCL
![](http://4.bp.blogspot.com/-nnsbzwZ6dyM/UvzEmwBTRrI/AAAAAAAFM6k/7kLfxA-xx7I/s1600/unnamed+(9).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xEz29Tl7NhI/UvzEpgxIQ7I/AAAAAAAFM6s/P5C5wRvljrw/s1600/unnamed+(8).jpg)