Kampuni ya Bhakresa Group wakabidhiwa funguo za fuso 8 mpya

Meneja wa Usafirishaji wa Kampuni ya Azam,Bw. Omari Said (kushoto) akipokea funguo za Fuso mpya kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Diamond Motors,Bw. Vikram Verma wakati wa hafla ya makabidhiano iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana.anayeshuhudia Katikati ni Meneja Mkuu wa Diamond Motors,Bw. Martin Laurian.
Sehemu ya Fuso hizo.
Kampuni ya Bakhresa Group - maarufu kwa jina la Azam – ni kampuni ya kwanza ya wateja wa muda mrefu wa Diamond Motors (Hansa) kuthibitisha kuagiza Fuso...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLSALASALA VISION GROUP WAKABIDHIWA HATI ZA HEKARI 250 HUKO FUKAYOSI BAGAMOYO
10 years ago
Dewji Blog12 Jul
Salasala Vision Group wakabidhiwa hati za hekari 250 huko Fukayosi Bagamoyo na kuzindua tovuti
Afisa Mtendaji Mkuu EAG Group, Iman Kajula Wa Pili (kushoto) akipokea hati ya Kimila ya eneo walilonunua bagamoyo kwajili ya Jumuiya hiyo.
Jumuiya iliyoasisiwa na wakazi wa Kilima hewa Salasala jijini Dar es salaam likiwa na malengo ya kijamii na kiuchumi. Tangu kuasisisiwa SVG imetekeleza miradi Mingi kwenye eneo la Salasala ikiwemo kupanda miti zaidi ya 5,000, kutengeneza barabara, kutengeneza viwanja vya michezo na kulinda maeneo ya wazi, Ulinzi, kutengeneza gari la polisi na misaada ya...
10 years ago
MichuziSALASALA VISION GROUP WAKABIDHIWA HATI ZA HEKARI 250 HUKO FUKAYOSI BAGAMOYO PIA YAZINDUA TOVUTI
10 years ago
Michuzi
Diamond Motors rolls out the new Fuso FZ in ‘Ndiyo Fuso niFaida’ campaign

10 years ago
Dewji Blog20 Aug
Diamond Motors rolls out the new Fuso FZ in ‘Ndiyo Fuso ni Faida’ campaign

Transport sector is an important component of the economy and a common tool used for development because of its intensive use of infrastructures.
This is even more so in Tanzania’s economy where economic opportunities are increasingly related to the mobility of people, goods and service. It is with this factors in mind that Diamond
Motors (Hansa Group) has introduced NewFuso heavy-duty truck range of Fuso FZ which offers more benefits in terms of efficiency, operation...
10 years ago
MichuziORIGINO KOMEDI WAKABIDHIWA MATREKTA YA KILIMO NA KAMPUNI YA FARM EQUIP TANZANIA JIJINI DAR LEO.
Hayo yamesemwa na kundi la waigizaji wa Origino Komedi wakati wa kukabidhiwa Matrekta ya Kilimo aina ya Sonalika kutoka kampuni ya Farm Equip Tanzania jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa kampuni ya Farm Equip Tanzania,Arif Sheink amesema kuwa vijana wameamua...
11 years ago
Habarileo27 May
Kampuni ya Simon Group yawaangukia wabunge
KAMPUNI ya Simon Group inayoendesha Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), imewaomba radhi wabunge wa Dar es Salaam akiwemo Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA) kutokana na habari zilizoandikwa kwamba Mwenyekiti wake, Robert Kisena aliwatuhumu wabunge hao kuhongwa ili kuihujumu UDA.
10 years ago
Michuzi
makala mpya ya sheria: MILIKI KAMPUNI , JIFUNZE NAMNA YA KUUNDA KAMPUNI

Si rahisi kufanikiwa katika biashara bila kuifanya biashara yako katika mtindo wa kampuni.
Hata iwe ndogo ya kuuza mayai au kufuga kuku mafanikio zaidi ni pale...
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
Kampuni ya matangazo ya Right Here nchini yapata mwekezaji mpya na kuingia ubia na kampuni kubwa ya kimataifa
Mshauri Mkuu wa kampuni ya RIGHT HERE TANZANIA, Gerard Govaerts akizungumza na baadhi ya waandishi wa habari katika Ukumbi wa mikutano katika Hoteli ya Double Tree jijini Dar es Salaam leo, Kushoto ni Mkuu wa Hati Miliki wa kampuni ya RIGHT HERE TANZANIA, Asnath Heriel na kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa RIGHT HERE TANZANIA Jenny Woodier.
Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria katika mkutano wa kampuni ya RIGHT HERE TANZANIA uliofanyika katika hoteli ya Double Tree jijini Dar es...