SALASALA VISION GROUP WAKABIDHIWA HATI ZA HEKARI 250 HUKO FUKAYOSI BAGAMOYO PIA YAZINDUA TOVUTI
Afisa Mtendaji Mkuu EAG Group Iman Kajula (wa pili kulia) akipokea hati ya Kimila ya eneo walilolonunua eneo la Fukayosi, Bagamoyo, kwa ajili ya Jumuiya hiyo iliyoasisiwa na wakazi wa Kilimahewa Salasala jijini Dar es salaam likiwa na malengo ya kijamii na kiuchumi. Tangu kuasisisiwa SVG imetekeleza miradi Mingi kwenye eneo la Salasala ikiwemo kupanda miti zaidi ya 5,000, kutengeneza barabara, kutengeneza viwanja vya michezo na kulinda maeneo ya wazi, Ulinzi, kutengeneza gari la polisi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog12 Jul
Salasala Vision Group wakabidhiwa hati za hekari 250 huko Fukayosi Bagamoyo na kuzindua tovuti
Afisa Mtendaji Mkuu EAG Group, Iman Kajula Wa Pili (kushoto) akipokea hati ya Kimila ya eneo walilonunua bagamoyo kwajili ya Jumuiya hiyo.
Jumuiya iliyoasisiwa na wakazi wa Kilima hewa Salasala jijini Dar es salaam likiwa na malengo ya kijamii na kiuchumi. Tangu kuasisisiwa SVG imetekeleza miradi Mingi kwenye eneo la Salasala ikiwemo kupanda miti zaidi ya 5,000, kutengeneza barabara, kutengeneza viwanja vya michezo na kulinda maeneo ya wazi, Ulinzi, kutengeneza gari la polisi na misaada ya...
10 years ago
GPLSALASALA VISION GROUP WAKABIDHIWA HATI ZA HEKARI 250 HUKO FUKAYOSI BAGAMOYO
10 years ago
GPLFACEBOOK YAZINDUA TOVUTI YA MESSENGER
10 years ago
VijimamboTIMU YA SIMBA YAZINDUA TOVUTI YAKE
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-unuHmCOI5hg/Ux__IqpYlwI/AAAAAAAFTAQ/_TbzZ1eUtp4/s72-c/key+hand+over+2.jpg)
Kampuni ya Bhakresa Group wakabidhiwa funguo za fuso 8 mpya
![](http://2.bp.blogspot.com/-unuHmCOI5hg/Ux__IqpYlwI/AAAAAAAFTAQ/_TbzZ1eUtp4/s1600/key+hand+over+2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-J2IUjNhOODo/Ux__SxjYGGI/AAAAAAAFTAg/t1r6GG17WX0/s1600/8+trucks.jpg)
Kampuni ya Bakhresa Group - maarufu kwa jina la Azam – ni kampuni ya kwanza ya wateja wa muda mrefu wa Diamond Motors (Hansa) kuthibitisha kuagiza Fuso...
10 years ago
TheCitizen24 Mar
South Sudan rebel group frees 250 child soldiers: UN
10 years ago
GPLBAYPORT FINANCIAL SERVICES YAZINDUA TOVUTI YA MIKOPO YA HARAKA
10 years ago
Vijimambo16 Mar
Royal Women Group wakabidhi msaada wa madawati 50 na vitabu 250 kwa Shule ya Msingi Bombambili
![](http://www.jukwaahuru.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG-20150314-WA0006-1200x545_c.jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Oct
Hati ya ujenzi wa Bagamoyo yatiwa saini China
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na taasisi mbili kubwa za kimataifa jana, Jumapili, Oktoba 26, 2014, zilitiliana saini Hati ya Makubaliano (MOU) ya kuendeleza kwa pamoja Eneo la Kiuchumi la Bagamoyo ambako pia itajengwa bandari kubwa ya Bagamoyo ambayo inatarajiwa kutoa mchango mkubwa kwa uchumi wa Tanzania.
Pande hizo tatu ambazo ni pamoja na Kampuni ya Uendeshaji Bandari ya China Merchant Holding...