Hati ya ujenzi wa Bagamoyo yatiwa saini China
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na taasisi mbili kubwa za kimataifa jana, Jumapili, Oktoba 26, 2014, zilitiliana saini Hati ya Makubaliano (MOU) ya kuendeleza kwa pamoja Eneo la Kiuchumi la Bagamoyo ambako pia itajengwa bandari kubwa ya Bagamoyo ambayo inatarajiwa kutoa mchango mkubwa kwa uchumi wa Tanzania.
Pande hizo tatu ambazo ni pamoja na Kampuni ya Uendeshaji Bandari ya China Merchant Holding...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-06r-NlC07v0/U3-V457yesI/AAAAAAAFkpA/3FsmODoAht4/s72-c/unnamed+(2).jpg)
CHINA YATILIANA SAINI UJENZI WA HOSPITALI YA ABDULLA MZEE PEMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-06r-NlC07v0/U3-V457yesI/AAAAAAAFkpA/3FsmODoAht4/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-35cHDA50h1I/U3-V42MihBI/AAAAAAAFko0/3bTk794VSOw/s1600/unnamed+(3).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-igLyDRCeJmA/VhzExIHqXyI/AAAAAAAH_sQ/BWm_KXTAmFw/s72-c/No.%2B1B.jpg)
SERIKALI ZA UGANDA NA TANZANIA ZATIA SAINI HATI YA MAKUBALIANO JUU YA UTEKELEZAJI WA MRADI WA KUSAFIRISHA MAFUTA GHAFI
![](http://1.bp.blogspot.com/-igLyDRCeJmA/VhzExIHqXyI/AAAAAAAH_sQ/BWm_KXTAmFw/s640/No.%2B1B.jpg)
10 years ago
Habarileo25 Oct
Tanzania, China zatia saini mikataba minne
MIRADI minne ya maendeleo Tanzania itanufaika na mabilioni ya fedha, yatakayotolewa na China baada ya nchi hizo mbili kutiliana saini Hati za Makubaliano kwa ajili ya utekelezaji wa miradi hiyo itakayosaidia kuinua uchumi wa taifa.
10 years ago
Dewji Blog29 May
Zoezi la utiaji saini hati kwa wateja wa viwanja Lindi kwa Dar es Salaam lafikia tamati leo Mei 29
Afisa Ardhi wa Lindi, Mpoki Daimon (kushoto mwenhye t shit) akitoa maelezo kwa mteja aliyefika kutia saini hati ya katika zoezki hilo linalomalizika Ijumaa ya leo katika ofisi za UTT-PID, jijini Dar es Salaam.
Na Mwandishi Wetu
Zoezi la utiaji saini hati kwa wateja wa viwanja Lindi kwa Dar es Salaam kwa uratibu wa Manispaa ya Lindi kwa ushirikiano na Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyo chini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID), ambao ndio wawezeshaji wakuu wa mradi huo Ijumaa ya...
10 years ago
GPLSALASALA VISION GROUP WAKABIDHIWA HATI ZA HEKARI 250 HUKO FUKAYOSI BAGAMOYO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9gIm12qJN3M/VNvCF0kno7I/AAAAAAAHDKs/esIp1XYrKZs/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
WIZARA YA AFYA ZANZIBAR YATILIANA SAINI MAKUBALIANO YA UJENZI WA WODI YA WATOTO NA WAZAZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-9gIm12qJN3M/VNvCF0kno7I/AAAAAAAHDKs/esIp1XYrKZs/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cU2cyPaTb0g/VNvCGMvo2nI/AAAAAAAHDKw/zDk1b47bUcs/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-jOXWr92I2Zk/VNu3B1t0OCI/AAAAAAABk1c/uRXye228N2w/s72-c/1791.jpg)
Wizara ya Afya Zanzibar Yatiliana Saini ya Makubaliano ya Ujenzi Wodi ya Watoto na Wazazi.
![](http://2.bp.blogspot.com/-jOXWr92I2Zk/VNu3B1t0OCI/AAAAAAABk1c/uRXye228N2w/s640/1791.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fdtjk5s6EME/VNu3E6G_QGI/AAAAAAABk1k/0L6nWes_qo4/s640/1809.jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Mar
Tanzania, Japan watiliana saini ujenzi wa kituo cha ufundi stadi Ileje
Signing the grant contract, witnessed by Hon. Janet Mbene, Deputy Minister of Industry and Trade, and Hon. Rosemary Senyamule, Ileje District Commissioner. Front line from the left: Mr. Mussa Otieno, District Executive Director, Mr. Simon Mwango’nda, Executire Director of the recipient organisation, Integrated Rural Development Organisation, Mr. Kazuyoshi Matsunaga, Chargé d’affaires of the Embassy of Japan.
Na Mwandishi wetu
MKATABA wa Ujenzi wa kituo cha mafunzo ya ufundi stadi katika...
11 years ago
GPLUTIAJI SAINI WA MIKATABA KATI YA SERIKALI YA JAMHURI YA WATU WA CHINA NA TANZANIA