Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHINA YATILIANA SAINI UJENZI WA HOSPITALI YA ABDULLA MZEE PEMBA

Balozi Mdogo wa China Zanzibar Xie Yunliang (kushoto), akishuhudia utiaji saini makubaliano ya ujenzi wa Hospitali ya Abdulla Mzee Pemba kati ya Naibu Meneja wa kampuni ya JiangSu Provincial Construction Group Co. Ltd Dai Houxiang na Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dk. Mohammed Saleh Jidawi. Hafla hiyo imefanyika Wizara ya Afya Zanzibar. Naibu Meneja wa kampuni ya JiangSu Provincial Construction Group Co. Ltd Dai Houxiang akielezea mikakati ya ujenzi huo utakaoanza mwishoni mwa mwezi ujao...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

utiaji saini Mkataba wa uendelezaji wa Ujenzi wa Jengo la Upasuaji katika Hospitali ya Micheweni, pemba

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imejipanga kutoa ajira maalum kwa Watendaji wa Sekta ya Afya watakaotoa huduma za afya Kisiwani Pemba ili kujaribu kuondosha tatizo la uhaba wa watendaji wa sekta hiyo.  Alisema mpango huo utakuwa wazi na kutangazwa kwa watendaji wenye sifa za kufanya kazi hiyo watakuwa huru kuomba nafasi hizo na yule atakayeamua kutumia fursa hiyo kwakufanya ujanja wa kuchukuwa uhamisho kufanya kazi unguja atambue...

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA AFYA ZANZIBAR YATILIANA SAINI MAKUBALIANO YA UJENZI WA WODI YA WATOTO NA WAZAZI

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Dkt. Saleh M. Jidawi (wa kulia waliokaa) na Meneja wa Kampuni ya Simed International Services ya Uholanzi Nd. Michor Pleijzer wakitia saini mkataba wa uboreshwaji wa wodi ya wazazi na watoto Unguja na Pemba huku wakishuhudiwa na Waziri wa Afya Rashid Seif Suleiman na Balozi wa Uholanzi Nchini Tanzania Mr. Jaap Frederiks katika hafla iliyofanyika Wizara ya Afya Mjini Zanzibar. Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Dkt. Saleh M. Jidawi (kulia)na Meneja wa...

 

10 years ago

Vijimambo

Wizara ya Afya Zanzibar Yatiliana Saini ya Makubaliano ya Ujenzi Wodi ya Watoto na Wazazi.

Balozi wa Uholanzi Nchini Tanzania Mr. Jaap Frederiks akizungumza na baadhi ya watendaji wakuu wa Wizara ya Afya kabla ya utiaji saini makubaliano ya uboreshwaji wa wodi ya wazazi na watoto Unguja na Pemba, hafla hiyo imefanyika Wizara ya Afya Zanzibar.Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Dkt. Saleh M. Jidawi (wa kulia waliokaa) na Meneja wa Kampuni ya Simed International Services ya Uholanzi Nd. Michor Pleijzer wakitia saini mkataba wa uboreshwaji wa wodi ya wazazi na watoto Unguja na Pemba...

 

10 years ago

Vijimambo

DK. SHEIN AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA HOSPITALI YA ABDALLAH MZEE MKOANI PEMBA

Mchoro wa Majengo ya hospitali Mpya ya Abdallah Mzee Mkoani Pemba likiwa katika ujenzi wake kisiwani Pemba likiwa karibu asilimia 75 liko tayari na ujenzi wake.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Balozi Mdogo wa China Zanzibar Balozi Xie Yunliang, alipowasili katika viwanja vya hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani kwa ajili ya uwekaji wa jiwe la msingi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali, Mohamed Shein,...

 

11 years ago

Dewji Blog

Hati ya ujenzi wa Bagamoyo yatiwa saini China

Jakaya-Kikwete

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na taasisi mbili kubwa za kimataifa jana, Jumapili, Oktoba 26, 2014, zilitiliana saini Hati ya Makubaliano (MOU) ya kuendeleza kwa pamoja Eneo la Kiuchumi la Bagamoyo ambako pia itajengwa bandari kubwa ya Bagamoyo ambayo inatarajiwa kutoa mchango mkubwa kwa uchumi wa Tanzania.

Pande hizo tatu ambazo ni pamoja na Kampuni ya Uendeshaji Bandari ya China Merchant Holding...

 

11 years ago

Michuzi

ZANZIBAR NA CHINA ZATIA SAINI MAKUBALIANO YA UJENGWAJI WA ICU KATIKA HOSPITALI KUU YA MNAZI MMOJA

  Balozi Mdogo wa China Zanzibar Kie Yunliang (watatu kushoto) akitoa maelezo kwa baadhi ya viongozi wa Wizara ya Afya waliongozwa  na Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dk. Mohammed Jidawi kabla ya utiaji saini makubaliano ya ujengwaji wa ICU mpya ya kisasa itayojengwa Hospitali Kuu ya Mnazi mmoja.  Balozi Mdogo wa China Zanzibar Kie Yunliang (wakwanza kushoto) akishuhudia utiaji saini makubaliano ya ujenzi wa ICU,  kulia Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dk. Mohammed Jidawi na wakatikati ni Meneja...

 

11 years ago

Habarileo

Tanzania, China zatia saini mikataba minne

MIRADI minne ya maendeleo Tanzania itanufaika na mabilioni ya fedha, yatakayotolewa na China baada ya nchi hizo mbili kutiliana saini Hati za Makubaliano kwa ajili ya utekelezaji wa miradi hiyo itakayosaidia kuinua uchumi wa taifa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tanzania, Japan watiliana saini ujenzi wa kituo cha ufundi stadi Ileje

1

Signing the grant contract, witnessed by Hon. Janet Mbene, Deputy Minister of Industry and Trade, and Hon. Rosemary Senyamule, Ileje District Commissioner. Front line from the left: Mr. Mussa Otieno, District Executive Director, Mr. Simon Mwango’nda, Executire Director of the recipient organisation, Integrated Rural Development Organisation, Mr. Kazuyoshi Matsunaga, Chargé d’affaires of the Embassy of Japan.

Na Mwandishi wetu

MKATABA wa Ujenzi wa kituo cha mafunzo ya ufundi stadi katika...

 

11 years ago

GPL

UTIAJI SAINI WA MIKATABA KATI YA SERIKALI YA JAMHURI YA WATU WA CHINA NA TANZANIA

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenela Mukangara na Waziri wa Biashara wa Serikali ya Jamhuri ya watu wa China Bw. Li Jinzao wakitia saini Mikataba ya Muendelezo wa awamu ya Tatu ya Ujenzi wa Uwanja wa Taifa pamoja na Makabidhiano ya gari la kurushia matangazo (OB VAN)  leo Ikulu Jijini Dar es Salaam.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani