Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mnyika: Vigogo wa ujangili waanikwe

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), ameitaka serikali kuyaweka wazi majina ya vigogo wanaotuhumiwa kujihusisha na matukio ya ujangili wa kuua tembo na faru kwenye hifadhi za taifa kabla ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mnyika atishia kuwataja vigogo

Wakati huohuo, Waziri Kivuli wa Nishati na Madini, John Mnyika ametishia kuwataja kwa majina vigogo wa Serikali na CCM aliosema wako nyuma ya ‘kashfa’ kuhusu mgogoro huo ili waweze kuhojiwa kwa umma iwapo Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo hatajitokeza kufafanua kauli alizozitoa bungeni kutuhumu IPTL.

 

10 years ago

Michuzi

Vita ya ujangili yaungwa mkono,Kikosi cha kupambana na Ujangili chapata zana za kisasa

Kikosi cha kupambana na ujangili nchini kimepata vitendea kazi kutoka kwa wadau wa sekta ya utalii vitakavyowezesha kukabiliana na matukio ya ujangili yaliyoshika kasi nchini na kuhatarisha kutoweka baadhi ya wanyama.
Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni magari matano aina ya Land Cruser yenye thamani ya Sh 750 milioni,bunduki za kivita 50 aina ya Ak 47 na risasi 10,000 na Magazini 20 ambazo thamani haikutajwa kwa kwasababu za kiusalama.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu baada ya...

 

11 years ago

Habarileo

Nape amwakia Mnyika

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, amemwashia moto mbunge wa Ubungo John Mnyika (Chadema) pamoja na wabunge wengine wa upinzani bungeni, kwa kitendo cha kudai hati za muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyika amkaba Dk. Magufuli

SIKU moja baada ya Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli kuiamuru Kampuni ya Strabag kufungua barabara ya Morogoro na za mchepuko ambazo zimekamilika, Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemtaka...

 

10 years ago

Habarileo

Mnyika atishia kushtaki

MBUNGE wa Ubungo John Mnyika amemtaka Waziri Mkuu ambaye ni Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utaokafanyika Desemba mwaka huu, kufanya marekebisho ya kanuni za uchaguzi kwa kuwa zina upungufu mwingi, la sivyo atafungua kesi mahakamani kupinga kanuni hizo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyika ambana mkandarasi

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemtaka mkandarasi aliyeingia mkataba wa mradi mkubwa wa maji kutoka Mlandizi hadi kwenye matenki ya Kimara na Mtaa wa Kwembe, aharakishe na kuukamilisha kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Sitta- Mnyika kanitukana

MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta amelieleza Bunge hilo kuwa, Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (Chadema), aliamua kumtukana yeye na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi, Andrew Chenge. “Bwana mmoja Mnyika ameamua kututukana mimi na Chenge…ametuita maharamia mbele ya mkutano wa hadhara huko Mwanza.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mnyika amlipua Muhongo

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemlipua Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo, kwamba ni muongo kwani ameshalidanganya Bunge zaidi ya mara tatu. Mbunge huyo ambaye pia ni...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mnyika awafunda wanawake Ubungo

NAIBU Katibu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bara, John Mnyika, amesema ushindi mkubwa wa chama hicho katika uchaguzi wa serikali za mitaa, utawapa nguvu madiwani na wabunge kutetea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani