Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mnyika atishia kuwataja vigogo

Wakati huohuo, Waziri Kivuli wa Nishati na Madini, John Mnyika ametishia kuwataja kwa majina vigogo wa Serikali na CCM aliosema wako nyuma ya ‘kashfa’ kuhusu mgogoro huo ili waweze kuhojiwa kwa umma iwapo Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo hatajitokeza kufafanua kauli alizozitoa bungeni kutuhumu IPTL.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mnyika atishia kushtaki

MBUNGE wa Ubungo John Mnyika amemtaka Waziri Mkuu ambaye ni Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utaokafanyika Desemba mwaka huu, kufanya marekebisho ya kanuni za uchaguzi kwa kuwa zina upungufu mwingi, la sivyo atafungua kesi mahakamani kupinga kanuni hizo.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Masaburi atishia ubunge wa Mnyika

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Didas Masaburi, ametamba kuwa ana uwezo wa kupambana na kumng’oa Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (Chadema) kwenye Uchaguzi Mkuu ujao.

Akizungumza katika mkutano na wanafunzo wa vyuo vikuu mbalimbali jijini Dar es Salaam jana, Dk. Masaburi ambaye ni Meya wa Jiji la Dar es Salaam aanayemaliza muda wake alisema amefanya utafiti wa kutosha na kugundua kuwa anakubalika na anaweza kulibadili jimbo hilo.

Jimbo la Ubungo kwa miaka mitano iliyopita...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyika: Vigogo wa ujangili waanikwe

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), ameitaka serikali kuyaweka wazi majina ya vigogo wanaotuhumiwa kujihusisha na matukio ya ujangili wa kuua tembo na faru kwenye hifadhi za taifa kabla ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi yashindwa kuwataja waliomjeruhi Kitange

JESHI la Polisi jijini Dar es Salaam limeendelea kupata kigugumizi cha kutaja hadharani majina ya askari wake wanaotuhumiwa kumpiga na kumvunja mikono Kulwa Kitange (40) mkazi wa Kigamboni wakimtuhumu kwa...

 

11 years ago

Habarileo

SMZ yatafakari sheria kuwataja wauza ‘unga’

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema bado inatafakari kuhusu kuwepo kwa sheria ya kuwataja watu wanaojishughulisha na dawa za kulevya hadharani kama ilivyo Tanzania Bara.

 

11 years ago

GPL

STEVE NYERERE AGOMA KUWATAJA MASHOGA BONGO MOVIE

Na Shakoor Jongo MWENYEKITI wa Klabu ya Bongo Movie, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amekataa katakata kuwataja wanachama wanaodaiwa ni mashoga ndani ya klabu hiyo ya jijini Dar. Pichani ni baadhi ya wasanii wa Bongo Muvi. Akizungumza na Amani juzikati jijini Dar baada ya kuombwa kuwataja wadaiwa hao, Steve alisema hashindwi kuyaanika majina yao, bali uongozi wake kwenye chama hicho si kuingilia mambo binafsi bali...

 

10 years ago

Mwananchi

JWTZ kuwataja waliouawa DRC miili yao itakapowasili nyumbani

>Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ), limesema majina ya wapiganaji wa Tanzania waliofariki dunia kwa kushambuliwa na waasi wa ADF huko Jamhuri ya Demokrasia ya Congo (DRC) yatatajwa baada ya miili hiyo kuwasili nchini.

 

10 years ago

Habarileo

RC atishia kukwamisha bajeti

MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magesa MulongoMKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo ametishia kutopitisha bajeti ya halmashauri ya wilaya ya Magu, iwapo kijiji cha Kahangara hakitakuwemo kwenye bajeti ya kuvutiwa maji ya bomba.

 

10 years ago

Vijimambo

Muuguzi atishia kuvunja karantini

Muuguzi aliyewekwa chini ya karantini alipowasili Marekani baada ya kuwatibu wagonjwa wa Ebola nchini Sierra Leone ametishia kutoka nyumbani kwake alikozuiliwa iwapo masharti ya kumzuilia hayataondolewa.

Kaci Hickox, ambaye hadi kufikia sasa amekuwa akishirikiana na maafisa wa afya wa jimbo la Maine, anasema kuwa yeye ni mzima kabisa na hana dalili zo zote za maradhi hayo.

Hali yake imemulika tofauti kubwa zilizopo kati ya idara za afya za Serikali ya Taifa na Serikali za majimbo katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani