Polisi yashindwa kuwataja waliomjeruhi Kitange
JESHI la Polisi jijini Dar es Salaam limeendelea kupata kigugumizi cha kutaja hadharani majina ya askari wake wanaotuhumiwa kumpiga na kumvunja mikono Kulwa Kitange (40) mkazi wa Kigamboni wakimtuhumu kwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-c3y6OoNNacc/Xk1EikRxmlI/AAAAAAALeXA/6fk0FpKwg5ouyBo7h3mhclOR0kDUO1VqACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
MAHAKAMA YASHINDWA KUSOMA HUKUMU YA KESI YA KUZUIA POLISI KUFANYA KAZI INAYOMKABILI MKURUGENZI JAMII FORUMS
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa mara nyingine tena imeshindwa kusoma hukumu ya kesi ya kuzuia Jeshi la Polisi kufanya uchunguzi, inayomkabili, Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jamii Forums Maxence Melo na mwenzake Micke William kwa sababu Hakimu aliyesikiliza kesi hiyo leo amepata udhuru.
Kwa mara ya kwanza kesi hiyo ilipangwa kutolewa hukumu Novemba 26, mwaka 2019 lakini iliahirishwa kutokana na Hakimu kutomaliza kuandaa hukumu na kupanga...
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Mnyika atishia kuwataja vigogo
11 years ago
Habarileo17 Dec
SMZ yatafakari sheria kuwataja wauza ‘unga’
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema bado inatafakari kuhusu kuwepo kwa sheria ya kuwataja watu wanaojishughulisha na dawa za kulevya hadharani kama ilivyo Tanzania Bara.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oszb1oYwZCmOwBe3EYzSANXk8R-MYo-t-SG57qf0lZH4DPzx2WTFaFYuWKhrEkgYa-pwAwSamXvyGCa*3bSQkrAj-4Hxsfsk/2.jpg?width=650)
STEVE NYERERE AGOMA KUWATAJA MASHOGA BONGO MOVIE
10 years ago
Mwananchi08 May
JWTZ kuwataja waliouawa DRC miili yao itakapowasili nyumbani
11 years ago
BBCSwahili20 Feb
EU yashindwa na hali Ukraine
9 years ago
BBCSwahili22 Aug
Kenya yashindwa kwenye Marathon
10 years ago
BBCSwahili16 Sep
NASA yashindwa kubaini vimondo
10 years ago
Mtanzania02 Feb
Yanga yashindwa kuikamata Azam
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
TIMU ya Yanga jana ilishindwa kuwakamata vinara wa Ligi Kuu ya Vodacom, Azam FC walio kileleni kwenye msimamo baada ya kulazimishwa sare ya bila kufungana na Ndanda ya Mtwara, mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Sare hiyo imeifanya Yanga kufikisha jumla ya pointi 19 ikizidiwa pointi mbili na vinara Azam, Mtibwa Sugar ni ya tatu ikiwa na pointi 18 sawa na Polisi Morogoro na JKT Ruvu zilizo nafasi ya nne na tano, Simba yenyewe ipo nafasi ya saba...