Yanga yashindwa kuikamata Azam
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
TIMU ya Yanga jana ilishindwa kuwakamata vinara wa Ligi Kuu ya Vodacom, Azam FC walio kileleni kwenye msimamo baada ya kulazimishwa sare ya bila kufungana na Ndanda ya Mtwara, mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Sare hiyo imeifanya Yanga kufikisha jumla ya pointi 19 ikizidiwa pointi mbili na vinara Azam, Mtibwa Sugar ni ya tatu ikiwa na pointi 18 sawa na Polisi Morogoro na JKT Ruvu zilizo nafasi ya nne na tano, Simba yenyewe ipo nafasi ya saba...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RU4vSr8EU-Q/VM5CDnvXYMI/AAAAAAAHAqo/I5LpwIby6DQ/s72-c/MMGM0297.jpg)
Yanga yashindwa kufutukuta mbele ya Ndanda,zatoka suluhu kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-RU4vSr8EU-Q/VM5CDnvXYMI/AAAAAAAHAqo/I5LpwIby6DQ/s1600/MMGM0297.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dD1xNFTyW2I/VM5CJisit9I/AAAAAAAHArA/jkrNgFRP9dQ/s1600/MMGM0399.jpg)
9 years ago
MillardAyo26 Dec
Picha kutoka chimbo la Alikiba na watu wake wakijiandaa kuikamata stage Escape 1 December 26
Mwaka 2015 unaisha huku staa wa Bongofleva akiandika rekodi nzuri na ya nguvu kabisa, ni rekodi ya kurudi kwenye game na kuachia ngoma nyingi ambazo zote zimepokelewa kwa mikono miwili. December 26 2015 stage ya Escape One, Mikocheni Dar es Salaam itashuhudia Alikiba akidondosha burudani ya nguvu kama shukrani kwa watu wake waliompokea vizuri kwenye […]
The post Picha kutoka chimbo la Alikiba na watu wake wakijiandaa kuikamata stage Escape 1 December 26 appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Habarileo03 Nov
Ni Yanga na Azam
MBIO za kukalia kiti cha uongozi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, sasa zimebaki kuwa za timu mbili za Yanga na Azam FC, ambao wamekuwa wakibadilishana katika nafasi ya kwanza na pili.
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Yanga waikataa Azam Tv
9 years ago
Habarileo22 Aug
Yanga, Azam usihadithiwe
AZAM FC ina kibarua kigumu cha kufuta uteja kwa Yanga katika mechi za Ngao ya Jamii wakati zitakapomenyana leo katika mechi ya kufungua msimu wa 2015-16 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/udqKvOQQNZzoefi8APyM5Pvhz8EeqHprCm3F7PrKgz9BNqO3j6RPZei4abn3TeTSNp8GgGcKkZvy7-StP6Mf-pg-v1925RKh/yanga.gif?width=650)
Yanga yaivurugia Azam
9 years ago
TheCitizen23 Aug
Yanga down Azam on penalties