Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muuguzi atishia kuvunja karantini

Muuguzi aliyewekwa chini ya karantini alipowasili Marekani baada ya kuwatibu wagonjwa wa Ebola nchini Sierra Leone ametishia kutoka nyumbani kwake alikozuiliwa iwapo masharti ya kumzuilia hayataondolewa.

Kaci Hickox, ambaye hadi kufikia sasa amekuwa akishirikiana na maafisa wa afya wa jimbo la Maine, anasema kuwa yeye ni mzima kabisa na hana dalili zo zote za maradhi hayo.

Hali yake imemulika tofauti kubwa zilizopo kati ya idara za afya za Serikali ya Taifa na Serikali za majimbo katika...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Muuguzi atishia kuvunja karantini

Muuguzi aliyewekwa chini ya karantini alipotoka kuwatibu wagonjwa nchini Sierra Leone ametishia kutoka nyumbani kwake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola Marekani:Muuguzi apinga karantini

Muuguzi wa Marekani, ambaye alikuwa akihudumia wagonjwa wa Ebola nchini Sierra Leone, amepinga kuwekwa karantini

 

10 years ago

Habarileo

RC atishia kukwamisha bajeti

MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magesa MulongoMKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo ametishia kutopitisha bajeti ya halmashauri ya wilaya ya Magu, iwapo kijiji cha Kahangara hakitakuwemo kwenye bajeti ya kuvutiwa maji ya bomba.

 

10 years ago

Habarileo

Mnyika atishia kushtaki

MBUNGE wa Ubungo John Mnyika amemtaka Waziri Mkuu ambaye ni Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utaokafanyika Desemba mwaka huu, kufanya marekebisho ya kanuni za uchaguzi kwa kuwa zina upungufu mwingi, la sivyo atafungua kesi mahakamani kupinga kanuni hizo.

 

9 years ago

Mwananchi

Muuguzi kortini kwa kughushi

Muuguzi Anjelina Maswi (32) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka matatu likiwamo la kughushi kadi ya kliniki na kujipatia Sh497,538.     

 

9 years ago

Habarileo

Muuguzi ahimiza uzazi wa mpango

JAMII ya watu wenye ulemavu nchini, imeombwa kujiunga na huduma za uzazi wa mpango ili wawe na uwezo wa kujikimu katika maisha na kuondokana na dhana kuwa hawastahili kujiunga na huduma hizo.

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha wa Mgambo atishia kuondoka

Kocha wa Mgambo Shooting, Bakari Shime amesema kwamba atajiengua kuinoa timu hiyo baada ya kumalizika kwa Ligi Kuu msimu huu.

 

9 years ago

Mwananchi

Maxime atishia kuiondoa Mtibwa

Kocha wa Mtibwa Sugar, Mecky Maxime ametoa vitisho kwa waandaaji wa Kombe la Mapinduzi kuwa endapo kikosi chake kitaendelea kupokonywa ushindi kwa makosa ya waamuzi anaweza asikubali kuja na kikosi chake katika msimu ujao wa mashindano hayo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge CCM atishia kujiuzulu

MBUNGE wa Nyang’hwale mkoani Geita, Hussein Amar (CCM), ametishia kujiuzulu ikiwa serikali haitawawajibisha watendaji wa Wizara ya Maji, na wale wa halmashauri ya wilaya hiyo wanaotuhumiwa kuhujumu mamilioni ya fedha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani