Muuguzi atishia kuvunja karantini
Muuguzi aliyewekwa chini ya karantini alipowasili Marekani baada ya kuwatibu wagonjwa wa Ebola nchini Sierra Leone ametishia kutoka nyumbani kwake alikozuiliwa iwapo masharti ya kumzuilia hayataondolewa.
Kaci Hickox, ambaye hadi kufikia sasa amekuwa akishirikiana na maafisa wa afya wa jimbo la Maine, anasema kuwa yeye ni mzima kabisa na hana dalili zo zote za maradhi hayo.
Hali yake imemulika tofauti kubwa zilizopo kati ya idara za afya za Serikali ya Taifa na Serikali za majimbo katika...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Ebola:Muuguzi atishia kuvunja karantini
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Ebola Marekani:Muuguzi apinga karantini
10 years ago
Habarileo05 Feb
RC atishia kukwamisha bajeti
MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo ametishia kutopitisha bajeti ya halmashauri ya wilaya ya Magu, iwapo kijiji cha Kahangara hakitakuwemo kwenye bajeti ya kuvutiwa maji ya bomba.
10 years ago
Habarileo28 Oct
Mnyika atishia kushtaki
MBUNGE wa Ubungo John Mnyika amemtaka Waziri Mkuu ambaye ni Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utaokafanyika Desemba mwaka huu, kufanya marekebisho ya kanuni za uchaguzi kwa kuwa zina upungufu mwingi, la sivyo atafungua kesi mahakamani kupinga kanuni hizo.
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Muuguzi kortini kwa kughushi
9 years ago
Habarileo05 Dec
Muuguzi ahimiza uzazi wa mpango
JAMII ya watu wenye ulemavu nchini, imeombwa kujiunga na huduma za uzazi wa mpango ili wawe na uwezo wa kujikimu katika maisha na kuondokana na dhana kuwa hawastahili kujiunga na huduma hizo.
11 years ago
Mwananchi13 Apr
Kocha wa Mgambo atishia kuondoka
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Maxime atishia kuiondoa Mtibwa
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Mbunge CCM atishia kujiuzulu
MBUNGE wa Nyang’hwale mkoani Geita, Hussein Amar (CCM), ametishia kujiuzulu ikiwa serikali haitawawajibisha watendaji wa Wizara ya Maji, na wale wa halmashauri ya wilaya hiyo wanaotuhumiwa kuhujumu mamilioni ya fedha...