Kocha wa Mgambo atishia kuondoka
Kocha wa Mgambo Shooting, Bakari Shime amesema kwamba atajiengua kuinoa timu hiyo baada ya kumalizika kwa Ligi Kuu msimu huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo505 Dec
Lil Wayne atishia kuondoka YMCMB, awalaumu kwa kuzuia kutoa album yake
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Baada ya kudhibitiwa na Mgambo Dec 12, Yanga yafanikiwa kuondoka na point 3 dhidi ya African Sports
Jumatano ya December 16 Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea kwa mchezo mmoja kupigwa katika dimba la Mkwakwani Tanga. Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania bara klabu ya Dar Es Salaam Young African walikuwa wageni wa klabu ya African Sports ya Tanga. Yanga ambao waliambulia sare ya bila kufungana katika dimba la Mkwakwani December 12 […]
The post Baada ya kudhibitiwa na Mgambo Dec 12, Yanga yafanikiwa kuondoka na point 3 dhidi ya African Sports appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Kocha Mgambo JKT aongezewa mkataba
KOCHA wa timu ya Mgambo Shooting ya Tanga, Bakari Shime, amekubali kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuinoa timu hiyo kwa msimu ujao wa Ligi Kuu Bara. Shime aliyeichukua timu hiyo...
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Kocha wa Mgambo aelezea jinsi alivyoifunga Simba
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ysmfnsPTZT4/VVJLAYcAwvI/AAAAAAAAWvc/torj41uSkDY/s72-c/kocha.jpg)
KOCHA WA SIMBA APEWA MASAA 24 KUONDOKA AU KUBAKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-ysmfnsPTZT4/VVJLAYcAwvI/AAAAAAAAWvc/torj41uSkDY/s640/kocha.jpg)
klabu ya Simba imempa masaa 24 kocha wao ,goran kama anataka kubaki au kuondoka kwa mujibu wa mwenyekiti wa ,amati ya usajili Hans pop kutokana timu yao kufanya vibaya mapato kiduchu pia klabu hiyo imeweafutia wachezaji 3 raia wa uganda pia.credit:Mzuka wa fungo
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Wachezaji watano ambao kama Jose Mourinho atakuwa kocha wa Man United watapenda kuondoka …
Headlines za Jose Mourinho kuhusishwa kukaribia kujiunga na klabu ya Manchester United bado zinazidi kushika kasi sehemu mbalimblia, kwa wapenzi na mashabiki wa soka duniani kote kwa sasa vijiwe vyao mara nyingi mada kuu ni Louis van Gaal na Jose Mourinho. December 25 Mtu wangu wa nguvu nimekutana na list kutoka sokka.com ya wachezaji watano wa […]
The post Wachezaji watano ambao kama Jose Mourinho atakuwa kocha wa Man United watapenda kuondoka … appeared first on...
10 years ago
Vijimambo09 Mar
KOCHA WA YANGA AGOMA KUMPA MKONO KOCHA MWENZIE
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/kocha-640x360.jpg)
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/kochaa-640x360.jpg)
10 years ago
Habarileo28 Oct
Mnyika atishia kushtaki
MBUNGE wa Ubungo John Mnyika amemtaka Waziri Mkuu ambaye ni Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utaokafanyika Desemba mwaka huu, kufanya marekebisho ya kanuni za uchaguzi kwa kuwa zina upungufu mwingi, la sivyo atafungua kesi mahakamani kupinga kanuni hizo.