KOCHA WA SIMBA APEWA MASAA 24 KUONDOKA AU KUBAKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-ysmfnsPTZT4/VVJLAYcAwvI/AAAAAAAAWvc/torj41uSkDY/s72-c/kocha.jpg)
klabu ya Simba imempa masaa 24 kocha wao ,goran kama anataka kubaki au kuondoka kwa mujibu wa mwenyekiti wa ,amati ya usajili Hans pop kutokana timu yao kufanya vibaya mapato kiduchu pia klabu hiyo imeweafutia wachezaji 3 raia wa uganda pia.credit:Mzuka wa fungo
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-URh96cTKLAQ/VXP-0sR7BPI/AAAAAAAAB8o/DHtA8nO0Qyo/s72-c/Di.jpg)
MSIMAMO WA DI MARIA, KUBAKI AU KUONDOKA MANCHESTER UNITED..
![](http://2.bp.blogspot.com/-URh96cTKLAQ/VXP-0sR7BPI/AAAAAAAAB8o/DHtA8nO0Qyo/s400/Di.jpg)
Di Maria amekuwa kwenye wakati mgumu katika msimu wake wa kwanza baada ya kuonekana amecheza chini ya kiwango katika msimu ambao United imemaliza kwenye nafasi ya nne na kufanikiwa kufuzu michuano ya ligi ya mabingwa ambayo...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-1ECRro6Tlo0/VVuVvkJaC-I/AAAAAAAABj0/h47i6MPsZeE/s72-c/raheem-sterling-brendan-rodgers.jpg)
MAAMUZI YA RAHEEM STERLING KUHUSU KUBAKI AU KUONDOKA LIVERPOOL
![](http://1.bp.blogspot.com/-1ECRro6Tlo0/VVuVvkJaC-I/AAAAAAAABj0/h47i6MPsZeE/s400/raheem-sterling-brendan-rodgers.jpg)
Klabu ya Liverpool imepanga kuwa na mazungumzo mazito na winga wake, Raheem Sterling wiki hii baada ya mchezaji huyo kumtamkia kocha Brendan Rodgers kuwa anataka kuondoka.Sterling alifanya maungumzo binafsi na kocha wake Rodgers kabla ya mechi iliyoisha kwa sare ya 1-1 dhidi ya Chelsea na akaweka wazi hataki kuendelea kuichezea timu hiyo msimu ujao.
Lakini akakubali kukutana na klabu kwa mazungumzo ya mwisho kabla ya kufanya uamuzi rasmi wa kubaki, au kuondoka ndani ya klabu hiyo.Sterling...
11 years ago
Mwananchi13 Apr
Kocha wa Mgambo atishia kuondoka
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MlukZF2i55JhON3aefZjj07OFKhBPNWUEM1VIAMvKZ2Z20d4f5PsPOWPYcOSgusEJOEjCJjfzDGUtccXoBj2nXcjlTUHn5zL/HansVanderPluijm.jpg?width=650)
KOCHA MPYA YANGA APEWA MASHARTI
5 years ago
Bongo514 Feb
Simba yaendelea kubaki na pointi ilizopewa na kamati ya saa 72
Kamati ya katiba, Sheria na hadhi za wachezaji ya shirikisho la soka Tanzania (TFF) limemaliza kikao chake na klabu ya Simba usiku wa kuamkia leo na kuazimia Simba inaendelea kubaki na pointi ilizopewa na Kagera Sugar.
Katibu Mkuu wa TFF, Selestine Mwesigwa (kulia) akizungumza na Waandishi wa Habari baada ya kuahirisha kikao.
Katibu Mkuu wa TFF, Mwesigwa Celestine, amesema kamati hiyo itakaa tena na pamoja na mashahidi wengine kuhojiwa. “Kuna watu wanatakiwa kuhojiwa, na kamati itakaa wiki...
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Wachezaji watano ambao kama Jose Mourinho atakuwa kocha wa Man United watapenda kuondoka …
Headlines za Jose Mourinho kuhusishwa kukaribia kujiunga na klabu ya Manchester United bado zinazidi kushika kasi sehemu mbalimblia, kwa wapenzi na mashabiki wa soka duniani kote kwa sasa vijiwe vyao mara nyingi mada kuu ni Louis van Gaal na Jose Mourinho. December 25 Mtu wangu wa nguvu nimekutana na list kutoka sokka.com ya wachezaji watano wa […]
The post Wachezaji watano ambao kama Jose Mourinho atakuwa kocha wa Man United watapenda kuondoka … appeared first on...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NnMed0rJC6ZGY3biuupQ52VNuw0z0ZUG*J2sAJlObdYhrjnss03QSY4YBMVseqVlt0M94I1C6mC*xGNCTi-fSqu13asWfxMY/tambwe.jpg?width=650)
Tambwe atangaza kuondoka Simba
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Mosoti azuiwa kuondoka Simba
10 years ago
Mwananchi22 Mar
Sserunkuma: Sitaki kuondoka Simba hadi 2016