Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maxime atishia kuiondoa Mtibwa

Kocha wa Mtibwa Sugar, Mecky Maxime ametoa vitisho kwa waandaaji wa Kombe la Mapinduzi kuwa endapo kikosi chake kitaendelea kupokonywa ushindi kwa makosa ya waamuzi anaweza asikubali kuja na kikosi chake katika msimu ujao wa mashindano hayo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Maxime aahidi neema zaidi Mtibwa

KOCHA Mkuu wa Mtibwa Sugar, Mecky Maxime amesema ana matarajio makubwa ya kuendelea kushinda mechi nyingine za Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

11 years ago

Mwananchi

Maxime akwepa zigo la lawama Mtibwa

Kocha wa Mtibwa Sugar, Mecky Maxime amekwepa mzigo wa lawama kwa kusema wachezaji wake ndiyo wanayo majibu ya swali kwa nini mwenendo wa timu hiyo hauridhishi.

 

9 years ago

Mwananchi

Maxime ataka kuweka rekodi Mtibwa Sugar

Kocha wa Mtibwa Sugar, Mecky Maxime amesema anasubiri kwa hamu kuweka rekodi ya kutwaa taji la Ligi Kuu Bara na timu hiyo akiwa kama kocha na mchezaji, rekodi ambayo haina mwenyewe hadi sasa klabuni hapo.

 

9 years ago

MillardAyo

Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa

Mchezo wa pili wa Kundi B wa michuano ya Mapinduzi 2016 ulichezwa usiku wa January 3 kwa kuzikutanisha klabu za Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC. Huu ni mchezo ambao ulimalizika kwa sare ya goli 1-1, baada ya Azam FC kusawazisha goli, lakini pia kuna goli lilifungwa na Mtibwa Sugar lilikataliwa na muamuzi na kuleta […]

The post Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Mwananchi

Mkwassa, Maxime watambiana

Kocha msaidizi wa Yanga, Charles Boniface Mkwassa na mwenzake wa Mtibwa, Mecky Maxime wameanza kutambia kabla ya timu hizo kukutana kesho kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.

 

9 years ago

Habarileo

Maxime amlalamikia mwamuzi

BAADA ya Mtibwa Sugar kupata kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Azam, Kocha Mecky Maxime amemlaumu mwamuzi wa mchezo huo akidai aliwabeba wapinzani wao.

 

11 years ago

Mwananchi

Hati ya Muungano haijawahi kuiondoa Tanganyika

Wajumbe waliowachache wa Bunge la Katiba jana waliendelea kuitetea iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Jaji Joseph Warioba kuwa haijavunja hati ya Muungano na kueleza, hati hiyo haijaifuta Serikali ya Tanganyika na hakuna kifungu ambacho kinapendekeza Muundo wa Serikali mbili.

 

10 years ago

Habarileo

Lipumba- Ni vigumu kuiondoa CCM madarakani

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimekiri kwamba ni vigumu kuondoa Chama Cha Mapinduzi (CCM) maradakani bila kuwa na umoja na mshikamano baina ya wanachama na viongozi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani