Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maxime amlalamikia mwamuzi

BAADA ya Mtibwa Sugar kupata kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Azam, Kocha Mecky Maxime amemlaumu mwamuzi wa mchezo huo akidai aliwabeba wapinzani wao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Simpson amlalamikia mkufunzi wake

Mwanariadha maarufu wa Jamaica, Sherone Simpson amekana kutumia dawa za kuongeza nguvu michezoni zilizopigwa marufuku

 

11 years ago

GPL

MAPEMBE HALI MBAYA, AMLALAMIKIA KITALE

Stori:  Musa Mateja MSANII wa vichekesho kutoka Kundi la Vituko Show, Ismail Makombe ‘Mapembe’, anadai kuingizwa mjini na staa mwenzake, Mussa Yusuf Kitale ‘Mkude Simba’ kwa kumuahidi kumchangishia pesa na mwisho kuingia mitini. Msanii wa vichekesho kutoka Kundi la Vituko Show, Ismail Makombe ‘Mapembe’. Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, Mapembe ambaye hali yake ni mbaya kiafya...

 

11 years ago

Habarileo

RC amlalamikia Jaji Mkuu ucheleweshaji kesi za ardhi

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, amemweleza Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Othman Chande, kuhusu ugumu wa utekelezaji wa baadhi ya uamuzi, unaotolewa na Mahakama katika utatuzi wa migogoro ya ardhi baina ya makundi mbalimbali mkoani humo.

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Mwananchi

Mkwassa, Maxime watambiana

Kocha msaidizi wa Yanga, Charles Boniface Mkwassa na mwenzake wa Mtibwa, Mecky Maxime wameanza kutambia kabla ya timu hizo kukutana kesho kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.

 

9 years ago

Mwananchi

Maxime atishia kuiondoa Mtibwa

Kocha wa Mtibwa Sugar, Mecky Maxime ametoa vitisho kwa waandaaji wa Kombe la Mapinduzi kuwa endapo kikosi chake kitaendelea kupokonywa ushindi kwa makosa ya waamuzi anaweza asikubali kuja na kikosi chake katika msimu ujao wa mashindano hayo.

 

11 years ago

Mwananchi

Maxime akwepa zigo la lawama Mtibwa

Kocha wa Mtibwa Sugar, Mecky Maxime amekwepa mzigo wa lawama kwa kusema wachezaji wake ndiyo wanayo majibu ya swali kwa nini mwenendo wa timu hiyo hauridhishi.

 

10 years ago

Habarileo

Maxime aahidi neema zaidi Mtibwa

KOCHA Mkuu wa Mtibwa Sugar, Mecky Maxime amesema ana matarajio makubwa ya kuendelea kushinda mechi nyingine za Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

10 years ago

Mwananchi

Maxime ataka kuweka rekodi Mtibwa Sugar

Kocha wa Mtibwa Sugar, Mecky Maxime amesema anasubiri kwa hamu kuweka rekodi ya kutwaa taji la Ligi Kuu Bara na timu hiyo akiwa kama kocha na mchezaji, rekodi ambayo haina mwenyewe hadi sasa klabuni hapo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani