Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lipumba- Ni vigumu kuiondoa CCM madarakani

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimekiri kwamba ni vigumu kuondoa Chama Cha Mapinduzi (CCM) maradakani bila kuwa na umoja na mshikamano baina ya wanachama na viongozi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ni vigumu mno kumpata mgombea safi ndani ya CCM

Wakati muhula wa mwisho wa Rais Jakaya Kikwete ukiendelea kuyoyoma, tayari baadhi ya makada wa CCM wameshaanza kupasha misuli ya kumrithi.

 

9 years ago

Habarileo

CCM ikiingia madarakani bodaboda kurasimishwa

ILANI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya awamu ya tano, imebainisha kuwa itarasimisha huduma za bodaboda na pikipiki za matairi matatu (bajaj), ili huduma hizo zitambulike kisheria.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa watamba ‘mseto’ kuing’oa CCM madarakani

Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika amesema mchanganyiko wa viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) katika ngazi ya Serikali za Mitaa ni dalili tosha ya kuking’oa madarakani Chama cha Mapinduzi.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwambulukutu: CCM itakaa madarakani miaka mingine 50 ijayo

Je, Chama cha Mapinduzi, CCM, kilipoamua kuruhusu mfumo wa vyama vingi kilikuwa na wazo kwamba Chama kingine kinaweza kukiangusha?  Je  sasa kinaweza kukubali kushindwa kwenye chaguzi zinazoendelea nchini?

 

11 years ago

Mwananchi

UKWELI UTAKUWEKA HURU: Kwa ishara hizi umefika mwisho wa CCM kuwa madarakani

>Wahenga walisema, ‘kila kitu  chenye mwanzo pia kina mwisho wake.’ Usemi huu una ukweli ndani yake ingawa katika baadhi ya nyakati  unapuuzwa na watu hasa wenye upeo  mdogo wa kufikiri au wale waliochanganyikiwa.

 

9 years ago

Vijimambo

Serikali ya CCM Yaahidi Kuweka Umeme Vijiji Vyote Tanzania Ndani ya Miaka Miwili Madarakani


Mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wanachama wa CCM pamoja na wananchi wa Jimbo la Kilindi kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni Mkoa wa Tanga. Miongoni mwa ahadi aliyoitoa kwa wanaKilindi ni kulishughulikia suala la upatikanaji wa huduma za maji safi na salama pamoja na ujenzi wa barabara ya kuingia na kutoka katika Wilaya hiyo.
Baadhi ya wananchi na wanachama wa CCM Kijiji cha Kwediboma wakiwa wamesimamisha msafara wa...

 

9 years ago

GPL

LIPUMBA SASA RASMI CCM

Richard Manyota na Oscar Ndauka SIKU chache baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Haruna Lipumba kujiuzulu wadhifa wake huo, sasa mwanasiasa huyo mtaalamu wa mambo ya uchumi ametajwa waziwazi kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM), Uwazi Mizengwe ya Uchaguzi limedokezwa....Soma zaidi====>http://bit.ly/1UH6HT2

 

11 years ago

Mwananchi

Lipumba adai JK alitishwa CCM

Ziara ya siku 12 ya viongozi wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) nje ya Bunge, imeibua mengi kuhusu Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba unaendelea nchini.

 

10 years ago

TheCitizen

Lipumba: I haven’t taken bribe from CCM

The former Civic United Front (CUF) national chairman, Prof Ibrahim Lipumba, said on Saturday that together with NCCR-Mageuzi presidential aspirant, Dr George Kahangwa, they agreed to let Dr Willibrod Slaa, be Ukawa presidential front man before the former premier, Edward Lowassa came into the picture.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani