Ni vigumu mno kumpata mgombea safi ndani ya CCM
Wakati muhula wa mwisho wa Rais Jakaya Kikwete ukiendelea kuyoyoma, tayari baadhi ya makada wa CCM wameshaanza kupasha misuli ya kumrithi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W-BK82a1GsuXCbGfOQAYXI4VslD0ocqMkC4gFvKM*pzffdurbMxZeWI5kWvm*djCj3PDvMGWW7ha-hefaX1AZOKHWKI0KQm0/IMG20150710WA0034.jpg)
10 years ago
Mwananchi15 Jul
Ugumu walioupata CCM kumpata mgombea urais
Kuna wimbo wa Bendi ya Marquiz du Zaire `unaosema ‘tulipoanza mimi na yeye’. Wimbo huu una maneno mengi yenye hisia yakiwamo: ‘Sikutegemea kama mambo yatakuwa mazuri eeeh, sababu mtu mwenyewe alikuwa maarufu sana aaaahaaa. Mvumilivu hula mbivu yeye, aahaaa iyooooooo.’ Wimbo huu ukamalizia kwa kibwagizo: Jamani leo ni kama ndoto, yuko mikononi mwangu eeeh.
10 years ago
Mwananchi13 Jul
MAONI: Pongezi CCM kumpata mgombea urais
>Hayawi, hayawi yamekuwa. Chama cha Mapinduzi (CCM), jana kilifanikiwa kumpata mgombea wake atakayepeperusha bendera yake katika kinyang’anyiro cha kugombea kiti cha urais katika Uchaguzi Mkuu ujao. Mgombea huyo, Dk John Magufuli alichaguliwa na Mkutano Mkuu jana naye alimteua Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea mwenza.
10 years ago
Raia Mwema08 Jul
Kanuni 5 bubu za kumpata mgombea urais wa CCM
HIVI karibuni, kipenga cha mchakato wa kuwania nafasi ya kuteuliwa na CCM kuwa mgombea urais kili
Mwandishi Wetu
10 years ago
GPLKINGUNGE: MCHAKATO WA KUMPATA MGOMBEA URAIS CCM ULIKUWA BATILI
Mzee Kingunge akiongea na vyombo vya habari. LEO Mzee Kingunge kaongea na vyombo vya habari, ameanza kwa kupinga mfumo uliotumika kuwachuja wagombea wa urais kupitia CCM.
Kingunge amesema "Kamati ya Maadili huko nyuma ilikuwa ni chombo cha kuandaa taarifa ili kuisadia Kamati Kuu katika kuwajadili wagombea"
Amesema Kamati ya Maadili ya safari hii imefanya kazi… ...
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Warioba: CCM ina kazi ngumu kumpata mgombea urais
Waziri Mkuu wa zamani, Jaji Joseph Warioba amesema CCM inakabiliwa na kazi ngumu ya kupata mgombea wa urais atakayepeperusha bendera ya chama hicho kwenye uchaguzi wa mwaka huu, akionya kuwa makundi ya urais yasipomalizwa yanaweza kufika hadi ngazi ya kata.
10 years ago
GPL11 Jul
10 years ago
Habarileo13 Oct
CCM Iringa wataka mgombea safi wa Urais
WANACHAMA na wafuasi wa CCM mkoani Iringa wameutaka uongozi wa juu wa chama hicho kuteua mgombea urais aliyemsafi ili kukifanya chama hicho kisitumie nguvu kumnadi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/h2SvCI1KJvM-hUylLVlZF5yyNdjJ5WEphH4Nn0Tsm2qRGPKio8YbyV6dyKTf*jrva1*NLH8b1rv5x*kyFrb-ATmjJAUxEG48/Nape.jpg)
NAPE AELEZEA UTARATIBU WA KUMPATA MGOMBEA URAIS
Na waandishi wetu. Yafuatayo ni maswali na majibu kati ya mwandishi wetu Elvan Stambuli na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Nape Nnauye katika mazungumzo yaliyofanyika nyumbani kwake jijijini Dar es Salaam Jumamosi iliyopita.  Nape Nnauye akihojiwa na waandishi wa Gazeti la Uwazi pamoja na Global TV.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania