Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muuguzi kortini kwa kughushi

Muuguzi Anjelina Maswi (32) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka matatu likiwamo la kughushi kadi ya kliniki na kujipatia Sh497,538.     

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wawili kortini kwa tuhuma za kughushi

WASHTAKIWA wawili, Salum Mkoko na Mustaph Kantelu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka matano ya kughushi, kutoa taarifa za uongo, matumizi mabaya ya madaraka na kukwepa kulipa kodi.

 

10 years ago

Mwananchi

Wanne kortini kwa kughushi muhuri wa IGP

Raia watatu wa Ugiriki na Mtanzania mmoja wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shtaka la kughushi  muhuri wa Mkuu wa Jeshi Polisi Nchini (IGP).

 

11 years ago

Habarileo

Ofisa JWTZ jela kwa kughushi

MWANAJESHI wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Meja Muhsin Kombo amehukumiwa kifungo cha miaka minne jela baada ya kupatikana na hatia ya kughushi.

 

10 years ago

Mwananchi

Akamatwa kwa kughushi fomu za Bima ya Afya

Mtu mmoja aliyejifanya kuwa ni mfanyakazi wa Taasisi ya IMTU, Bakari Ramadhani amekamatwa na maofisa wa Shirika la Taifa la Bima ya Afya (NHIF), akiwa na fomu zao za kughushi za kuchukulia dawa zikiwa zimegongwa mihuri inayoonyesha ni ya Hospitali ya Rufaa ya Temeke.

 

9 years ago

Mwananchi

Mahakamani kwa kughushi tovuti feki kutumia majina ya Taasisi na wanasiasa

Watu wawili, Patrick Natala na Maxmillian Msacky  wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka 10  yakiwamo ya kughushi, kutengeneza tovuti feki na mifumo ya mtandao  kwa kutumia majina ya  Taasisi, viongozi na wanasiasa.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanachuo 212 wa Chuo cha Polisi Moshi wafukuzwa kwa kughushi vyeti

>Jeshi la Polisi limewafukuza chuo wanafunzi wa mafunzo ya uaskari 212 wa Chuo Cha Taaluma Moshi baada ya wanafunzi hao kubainika kughushi vyeti vya elimu ya sekondari.

 

9 years ago

Mwananchi

Muuguzi mbaroni kwa kuiba dawa za Serikali

Muuguzi mmoja wa Kituo cha Afya cha Kata ya Kambarage, Manispaa ya Shinyanga mkoani hapa, ametiwa mbaroni kwa tuhuma za wizi wa dawa mali ya Serikali.

 

11 years ago

Mwananchi

Sista Theopista: Muuguzi anayefanya kazi akiwa kipofu kwa miaka 28

>Ni harufu ya dawa, damu,  mandhari iliyotawaliwa na bomba za sindano, dripu na mavazi meupe.

 

9 years ago

Michuzi

DC AAGIZA MUUGUZI ALIYEKAMATWA KWA WIZI WA DAWA SHINYANGA ASIMAMISHWE KAZI MARA MOJA

  Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro amefanya ziara ya kushtukiza katika kituo cha afya Kambarage mjini Shinyanga ili kujionea hali halisi jinsi huduma zinavyotolewa kwa wananchi siku moja tu baada ya muuguzi wa kituo hicho kukamatwa kwa tuhuma ya kuiba dawa za serikali.Pichani ni mkuu wa wilaya Josephine Matiro na katibu tawala wa wilaya ya Shinyanga wakiwa katika chumba cha kuhifadhia dawa wakiwa wamepigwa butwaa baada ya kuona chumba kimesheheni dawa wakati mara kwa mara...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani