Ofisa JWTZ jela kwa kughushi
MWANAJESHI wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Meja Muhsin Kombo amehukumiwa kifungo cha miaka minne jela baada ya kupatikana na hatia ya kughushi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo07 Mar
Askari feki JWTZ jela miaka 3
MAHAKAMA ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara, imemhukumu kifungo cha miaka mitatu jela mwanamume aliyejifanya askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na kufanya utapeli.
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Muuguzi kortini kwa kughushi
11 years ago
Habarileo04 Apr
Wawili kortini kwa tuhuma za kughushi
WASHTAKIWA wawili, Salum Mkoko na Mustaph Kantelu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka matano ya kughushi, kutoa taarifa za uongo, matumizi mabaya ya madaraka na kukwepa kulipa kodi.
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Akamatwa kwa kughushi fomu za Bima ya Afya
10 years ago
Mwananchi05 May
Wanne kortini kwa kughushi muhuri wa IGP
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Mahakamani kwa kughushi tovuti feki kutumia majina ya Taasisi na wanasiasa
11 years ago
Mwananchi10 May
Wanachuo 212 wa Chuo cha Polisi Moshi wafukuzwa kwa kughushi vyeti
10 years ago
Habarileo03 Sep
Mbaroni kwa kujifanya ofisa usalama
MKAZI wa jijini Dar es Salaam, Gunner Meena (40), anashikiliwa na Polisi akituhumiwa kujifanya mtumishi wa Idara ya Usalama wa Taifa.
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Ofisa afya mbaroni kwa uchafu