Akamatwa kwa kughushi fomu za Bima ya Afya
Mtu mmoja aliyejifanya kuwa ni mfanyakazi wa Taasisi ya IMTU, Bakari Ramadhani amekamatwa na maofisa wa Shirika la Taifa la Bima ya Afya (NHIF), akiwa na fomu zao za kughushi za kuchukulia dawa zikiwa zimegongwa mihuri inayoonyesha ni ya Hospitali ya Rufaa ya Temeke.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLaf5Mvqu5oYa-Sld-Ljmi-Uc4UfmSD1ExIvJIrezxUZAoyrZ5cY1sMF2pzygAsErWx7GxnS2BNbIZ4nSg1xXJPvl/1.jpg?width=650)
5 years ago
MichuziMFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA KUHAMASISHA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO NCHINI KUJIUNGA KIFURUSHI CHA MACHINGA AFYA KWA SH.100,000
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya Nchini (NHIF) umeanzisha kifurushi cha 'Machinga Afya' kwa ajili ya wafanyabiashara ndogondogo maarufu kwa jina la Wamachinga ambacho gharama yake ni Sh.100,000 tu.
Kwa mujibu wa NHIF ni kifurushi hicho baada mwanachama kujiunga na kulipa fedha hizo atapata huduma ya matibabu ya afya nchi nzima na katika vituo vya afya zaidi ya 7,700.
Akizungumzia leo Juni 9,2020 jijini Dar es Salaam Meneja Masoko na Huduma kwa Wateja NHIF Hipoliti...
11 years ago
Mwananchi10 Aug
Bima ya Afya kutoa mikopo kwa hospitali
10 years ago
Mtanzania08 Jun
Kigwangalla aja na bima ya afya kwa kila mwananchi
NA RUTH MNKENI, DAR ES SALAAM
MBUNGE wa Nzega, Dk. Khamis Kigwangalla, ametangaza rasmi nia ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akitaja vipaumbele vikuu vitatu ikiwa ni pamoja na kuboresha huduma za afya.
Kigwangalla ambaye alitangaza nia yake hiyo jana kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Nzega mkoani Tabora, alisema ameamua kuchukua uamuzi huo kwani ana dhamira njema, hofu ya Mungu na anachukia rushwa.
Alisema Tanzania ya sasa inahitaji kuongozwa na vijana ambao wana...
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/1.Mwandishi-wa-Habari-kutoka-Kampuni-ya-Global-PublishersDenis-Mtimakulia-akionesha-kitambulisho-chake-cha-Bima-ya-Afya-kwa-wanahabari-pichani-hawapo..jpg)
NHIF YAKABIDHI KADI ZA BIMA YA AFYA KWA WANAHABARI
11 years ago
MichuziWaziri wa Afya atembelea Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya jijini Dar
11 years ago
Mwananchi01 Jul
AFYA: Hofu yatanda Mfuko Bima ya Afya
9 years ago
MichuziNHIF YAKABIDHI KADI ZA BIMA YA AFYA KWA WAVUVI LEO JIJINI DAR ES SALAAM