AIRTEL YASHIRIKIANA NA MBUNIFU MAHIRI AFRIKA
![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnVXMCcJ55d-YLLhHu3Zt3-77Un*gnNsvmVq1If0DqrNqXcgrHaFo5UmGSYRJdppPcl3l89Vih*T46A4sR8HOHfk/DSC_06971.jpg?width=650)
Mbunifu nguli wa mitindo Afrika, Mustafa Hassanali akizungumza na wageni waalikwa kuhusiana na huduma mpya ya kuwa karibu naye kwa mashabiki wa mitindo kupata taarifa zake kupitia simu zao za mkononi kwa kupiga *148*82# na moja kwa moja utakuwa umeunganishwa na huduma hiyo na kutozwa shilingi 90 za kitanzania kwa siku. Kampuni ya simu ya mkononi ya Airtel inayotoa huduma nafuu na yenye wigo mpana zaidi wa mawasiliano,...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ro93ZZ9vlEs/U-nqz0mireI/AAAAAAAF-4s/C2ipjceq4XA/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
Airtel yazindua huduma mpya ya mitindo kwa njia ya simu kwa kushirikiana na Mbunifu Mahiri Afrika Mustafa hassanali.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ro93ZZ9vlEs/U-nqz0mireI/AAAAAAAF-4s/C2ipjceq4XA/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DQXFg1d20W5POhodeSJhNvfbYyx4AmJsznCPtb1rOKeQ-m1nW7HdJpKqFZytR*kE40G4JB0rCD70FMIDMDY00vW/Picture3.jpg?width=650)
AIRTEL YASHIRIKIANA NA FINCA KUTOA HUDUMA ZA KIFEDHA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-AAFJihuya9M/VNSvU25I4dI/AAAAAAAHCMw/2UgrRGns-f0/s72-c/1.jpg)
Airtel yashirikiana na Kitengo cha damu salama cha taifa kuokoa maisha
![](http://1.bp.blogspot.com/-AAFJihuya9M/VNSvU25I4dI/AAAAAAAHCMw/2UgrRGns-f0/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hpxlqy25LdY/VNSvU-6xkFI/AAAAAAAHCMs/FNx5DRKoQzk/s1600/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-H8T6zkn_zYY/VEOEXo1BKFI/AAAAAAAGr5o/rdUR8o3Fdjg/s72-c/download.jpg)
Airtel yazindua huduma ya kutuma na kutoa pesa Afrika Mashariki kupitia Airtel money
![](http://2.bp.blogspot.com/-H8T6zkn_zYY/VEOEXo1BKFI/AAAAAAAGr5o/rdUR8o3Fdjg/s1600/download.jpg)
Huduma hii ya kwanza barani Afrika itamwezesha Mteja wa Airtel kutuma , kupokea na kutoa pesa kutoka kwenye salio lake la Airtel Money Hatua ya awali ya huduma hii inategemea kuanza tarehe 1 November 2014 kwa kushirikisha nchi za Kenya, Uganda, Tanzania na Rwanda ambapo huduma hii itaweza kupatikana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/afJNJUtdOc4kNP5awLbK8uK4bE6sNTfmTgdK-75WSmPvvRtJMKYqR-aPBI2W5ljzSkGnJQT0r9Qtgnbkh*M1MM-dgO0FAj8U/VITABUSHIGONGO2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vlKUFPodnGUt*Tkt0ldXIm1ikG8efQ0Pp*vfn-7JN-zEDnceOrKi265y*pLLTv2bmf*OYgFi0yTiTPfLbul3BESk50YtDduD/SHIGONGONEW.jpg?width=650)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eAkQ2xyNfS4G4e3aHP0LdlRuGZZ5oeDmp0a*9MuIPUz6OIXWB*MqU9alCe6lawYjffMk2jdwxeCh-czvkgNaiP*u9DqB8TD2/IMG20150429WA0005.jpg?width=750)
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
Mbunifu Sheria Ngowi afunika katika maonyesho ya mavazi ya ‘Mercedes Benz Fashion Week Africa 2014′ nchini Afrika Kusini
Na Mwandishi wetu
Mbunifu wa kimataifa wa mavazi kutoka Tanzania, Sheria Ngowi amedhihirisha kuwa yeye ni nguli katika ubunifu baada ya kufinika katika onyesho la mavazi la kimataifa lijulikanalo kama Mercedes Benz Fashion Week Africa 2014 lililofanyika juzi Ijumaa mjini Johannesburg, Afrika Kusini.
Ngowi alionyesha mkusanyiko wa mavazi aliyoyaita ‘PRIDE’ yaani kujivunia, kama moja ya njia za kumuenzi Baba wa Taifa, Mwl. Julius Nyerere pamoja na viongozi mashuhuri waliopigania uhuru...
10 years ago
Vijimambo03 Nov
MBUNIFU WA MAVAZI WA KIMATAIFA SHERIA NGOWI AFUNIKA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI YA 'MERCEDES BENZ FASHION WEEK AFRICA 2014' NCHINI AFRIKA KUSINI