Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walimu sasa wapata msimamizi mahiri

BUNGE jana lilipitisha Muswada wa Sheria ya Tume ya Walimu, ambayo pamoja na mambo mengine itakuwa na kazi ya kusimamia utumishi wa walimu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Walimu wapata mkombozi

HATIMAYE serikali imekubali kuanzishwa kwa chombo maalumu kitakachokuwa kinashughulika na masuala ya walimu, ikiwemo nidhamu, ajira na mishahara. Hatua ya kuanzisha chombo hicho inatokana na ushauri wa muda mrefu waliokuwa...

 

9 years ago

Michuzi

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundu Mhe. Eng Stella Manyanya afungua mafunzo ya walimu mahiri wa masomo ya Hisabati, Kiingereza na Kiswahili Ruvuma.





 Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Eng Stella Manyanya akizungumza na washiriki wa mafunzo ya Walimu Wawezeshaji wa masomo ya Hisabati, Kiingereza na Kiswahili kutoka shule za msingi katika Halmashauri za Mkoa wa Ruvuma  na Halmashauri ya Ludewa Mkoa Njombe. Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Eng Stella Manyanya akishiriki katika darasa mojawapo la mafunzo ya Walimu Wawezeshaji wa masomo ya Hisabati, Kiingereza na Kiswahili kutoka shule za msingi katika...

 

10 years ago

Michuzi

SACCOS YA WALIMU MOSHI VIJIJINI WAPATA VIONGOZI WAPYA WA BODI

Mwenyekiti wa Bodi ya Saccos ya walimu wilaya ya Moshi vijijini,Godlisten Kombe akizungumza wakati wamkutano maalumu wa uchaguzi wa viongozi wa Saccos hiyo pamoja na wajumbe wa bodi.Baadhi ya wanachama wa Saccos ya walimu wilaya ya Moshi vijijini wakiwa katika mktano huo uliofanyika katika uwanja wa Chuo Kikuu cha Ushirika na Biashara (MUCO).
Secretariety ya mkutano huo wakihesabu kura kwa ajili ya kupata washindi katika uchaguzi huo ambapo Godlisten Kombe alifanikiwa kutetea kiti chake baada...

 

10 years ago

Mwananchi

Walimu EAC sasa ruksa kufundisha nchi wanachama

Baraza la Mawaziri la Afrika Mashariki (EAC), limekamilisha mpango unaolenga kumaliza uhaba wa walimu kwa kuwaruhusu kufanya kazi katika nchi yoyote mwanachama wa Jumuiya hiyo.

 

10 years ago

GPL

NUNUA HISA ZA BENKI TARAJIWA YA WALIMU KUPITIA VODACOM M-PESA SASA

Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Rosalynn Mworia (katikati),akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawamo pichani) wakati wa kutangaza ushirikiano wa kimkakati na Benki Tarajiwa ya Walimu (Mwalimu Commercial Bank in-formation) kurahisisha ununuaji hisa kupitia huduma ya M-Pesa pamoja na kampuni ya Maxcom Africa kupitia huduma yake ya Maxmalipo, Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo Ronald...

 

10 years ago

Mwananchi

Jinsi ya kumng’oa msimamizi wa mirathi

Uwanja wa Kambole leo unakupa fursa ya kusoma na kuelewa juu ya sheria za mirathi hasa kwenye kipengele cha kumpinga na kumuondoa msimamizi wa mirathi. Hata hivyo, unapaswa kufahamu kuwea kiuzoefu wasimamizi wengi wa mirathi ni wakorofi. Kwanza wakishachaguliwa wanaanza kutumia mali za marehemu kwa faida yao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sababu za kumuondoa msimamizi wa mirathi — 2

KWA wasomaji wapya,  wiki iliyopita nilizungumzia usimamizi wa mirathi  pamoja na wanaonufaika na mirathi. Sheria ya usimamizi wa mirathi sura ya 352 ya sheria za Tanzania, ndiyo nitakayoirejea katika kuzungumzia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sababu za kumuondoa msimamizi wa mirathi

LEO tutaangalia wajibu wa wasimamizi wa mirathi. Nitazungumzia juu ya usimamizi wa mirathi  pamoja na mambo muhimu  juu ya wanaonufaika na mirathi. Katika Mahakama za Mwanzo pamoja na  zile mahakama ...

 

9 years ago

Mwananchi

Mbunge amkaba msimamizi kudai hati yake

Ili kupata hati ya ushindi Mbunge Mteule wa jimbo la Serengeti Mkoa wa Mara Marwa Ryoba (Chadema)alilazimika kumkaba Msimamizi wa Uchaguzi jimbo hilo,baada ya kutomkabidhi hati yake ya ushindi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani