Dk Bilal ataka sheria kufuatwa mipango miji
MAKAMU wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal, ametaka sheria zifuatwe katika upangaji wa miji na majiji nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Simbachawene alia na mipango miji
11 years ago
Mwananchi24 Oct
Wamaasai wagomea mipango miji
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Mipango miji wapiga hodi Jangwani
HATIMAYE wajumbe wa Baraza la Madiwani Manispaa ya Ilala jana walifanya ziara ya uhakiki wa eneo la Jangwani ambalo linamilikiwa na Klabu ya Yanga, mitaa ya Twiga na Jangwani, jijini...
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Bodi Mipango Miji yaja na mkakati uboreshaji
5 years ago
Michuzi
JIJI LA DODOMA LAKABIDHI MAGARI YENYE THAMANI YA SH MILIONI 345 KWA WATAALAMU WAKE WA MIPANGO MIJI
HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma limekabidhi magari matatu kwa Idara ya Mipango Miji kwa ajili ya kurahisisha shughuli za wataalamu wake katika kudhibiti ujenzi holela kwenye jiji hilo.
Hayo yamefanyika ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu, Mhe Kassim Majaliwa la kusimamia utekelezaji wa mpango kabambe wa Jiji la Dodoma.
Akizungumza wakati wa kukabidhi magari hayo, Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi amesema magari hayo yamegharimu kiasi cha Sh...
10 years ago
MichuziIDARA YA MIPANGO MIJI NA VIJIJI ZANZIBAR YAANDAA MRADI WA KUBORESHA MAENEO MATANO YA WAZI YA MJI WA ZANZIBAR CHINI YA UFADHILI WA SHIRIKA LA SDC LA SWITZERLAND.
11 years ago
Mwananchi12 Feb
Sumaye ataka mipango kuimarisha uchumi
11 years ago
Dewji Blog16 Oct
RC Singida ataka mipango madhubuti kulinda raslimali maji
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizungumza kwenye ufunguaji wa warsha ya wadau kujadili rasimu ya mwisho ya taarifa ya mpango wa usimamizi na uendelezaji wa pamoja wa rasilimali za maji wa bodi ya maji ya bonde la kati, liyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Aquar Vitae hotel mjini Singida.
Na Nathaniel Limu, Singida
MKUU wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone ametoa wito kwa Wizara ya Maji na taasisi zake, kuhakikisha ngazi zote za jamii zinapata taarifa sahihi juu ya umuhimu wa...