SEREKALI YAONYA WANAOTOROSHA MADINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-mEdML1aFatE/VTjLR9ysxSI/AAAAAAAAOoU/_Pf2jROvUm0/s72-c/20150422_125128.jpg)
Mmoja wa wakurugenzi wa kampuni ya Tanzanite one Hussein Gonga akiwa anamuonyesha Waziri wa nishati na majini George Simbachawene madini ambayo yanachibwa na kampuni yao.
Na Woinde Shizza,Arusha Serikali imewataka wachimbaji na wanunuzi wa madini ya Tanzanite nchini, kuacha tabia ya Utoroshaji wa madini hayo nje ya nchi huku,ikiagizwa kuachwa kuuzwa madini ghafi.
Katika kudhibiti biashara hiyo, serikali kwa kushirikiana na kituo cha mikutano cha Arusha(AICC) inakusudia kuanzisha kituo cha...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog23 Apr
Serikali yaonya wanaotorosha madini
Mmoja wa wakurugenzi wa kampuni ya Tanzanite One, Hussein Gonga akiwa anamuonyesha Waziri wa Nishati na Madini, Mh. George Simbachawene madini ambayo yanachimbwa na kampuni yao. (Habari picha kwa hisani ya woindeshizza blog).
Na Woinde Shizza, Arusha
Serikali imewataka wachimbaji na wanunuzi wa madini ya Tanzanite nchini, kuacha tabia ya Utoroshaji wa madini hayo nje ya nchi huku,ikiagizwa kuachwa kuuzwa madini ghafi.
Katika kudhibiti biashara hiyo, serikali kwa kushirikiana na kituo cha...
10 years ago
Habarileo05 Apr
Wanaotorosha tumbaku kukiona
SERIKALI mkoani Tabora imesema itahakikisha inawadhibiti wakulima wanaotorosha tumbaku na kusababisha vyama vya ushirika vya msingi kuingia kwenye madeni makubwa ambayo hadi sasa yanawasumbua kuyalipa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e048PTLFYM9iAjt2*Ci0q3jDxzRT5Of7V7pUnEJ8-LucrT3pGczMCmSOEi6OnQ4NRGKw*tlX3IkQE9LCVyh*ubWDZv16VbsZ/breakingnews.gif)
MWANASHERIA MKUU WA SEREKALI, JAJI WEREMA AJIUZULU
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-oSdJSqVfrYo/VSgGUXKli8I/AAAAAAABrco/kYUQG2_RFb0/s72-c/459.jpg)
Balozi Seif Afungua Mkutano wa 31 Jumuiya ya Serekali za Mitaa Tanzania.
![](http://3.bp.blogspot.com/-oSdJSqVfrYo/VSgGUXKli8I/AAAAAAABrco/kYUQG2_RFb0/s640/459.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-onx9eP6ESJM/VSgGYR_5rwI/AAAAAAABrcw/juAH1Pjtyzc/s640/460.jpg)
10 years ago
MichuziSEREKALI YATAKIWA KUTOWAFUKUZA WATOTO WA KIKE WENYE UJAUZITO MASHULENI
Serikali imetakiwa kutazama upya uwezekano wa kubadili sheria inayomnyima haki ya kuendelea na masomo mwanafunzi wa kike pindi anapopata ujauzito akiwa shuleni.
Kauli hiyo imetolewa mwishoni mwa wiki na Afisa elimu taaluma ,mkoa wa Arusha,Kabesi katundu Kabeja wakati akifungua mkutano wa siku mbili wa umoja wa wakuu wa shule za msingi kutoka nchi ya Kenya uliofanyika katika hotel ya Leons iliyopo Sakina kwa Idi ,jijini hapa,ambapo walimu zaidi ya 1000...
10 years ago
MichuziSEREKALI YA MPONGEZA PROFESA MBWETE KWA KUANZISHA MAKTABA BINAFSI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7FSFx2brVXI/VBrPGqHWEbI/AAAAAAAGkQ8/y-GlMjFynOc/s72-c/unnamed%2B(75).jpg)
SERIKALI, MAKAMPUNI YA MADINI ‘KUWANOA’ WAZAWA KATIKA USHIRIKISHWAJI SEKTA YA MADINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-7FSFx2brVXI/VBrPGqHWEbI/AAAAAAAGkQ8/y-GlMjFynOc/s1600/unnamed%2B(75).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hPjaf_89fwI/VBrPCfElBeI/AAAAAAAGkQk/2vucvxi2qlk/s1600/unnamed%2B(76).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-d7v1cce0SPg/VHVi5vJB2sI/AAAAAAAGzdY/76ipg3Cvvs0/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
Kamishna wa Madini afungua mafunzo ya uongezaji thamani madini kwa wanawake.