Wanaotorosha tumbaku kukiona
SERIKALI mkoani Tabora imesema itahakikisha inawadhibiti wakulima wanaotorosha tumbaku na kusababisha vyama vya ushirika vya msingi kuingia kwenye madeni makubwa ambayo hadi sasa yanawasumbua kuyalipa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-mEdML1aFatE/VTjLR9ysxSI/AAAAAAAAOoU/_Pf2jROvUm0/s72-c/20150422_125128.jpg)
SEREKALI YAONYA WANAOTOROSHA MADINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-mEdML1aFatE/VTjLR9ysxSI/AAAAAAAAOoU/_Pf2jROvUm0/s640/20150422_125128.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-n_Ue-gGR_o8/VTjLbT0JFuI/AAAAAAAAOoc/HMqGbwj3wis/s640/20150422_125009.jpg)
Katika kudhibiti biashara hiyo, serikali kwa kushirikiana na kituo cha mikutano cha Arusha(AICC) inakusudia kuanzisha kituo cha...
10 years ago
Dewji Blog23 Apr
Serikali yaonya wanaotorosha madini
Mmoja wa wakurugenzi wa kampuni ya Tanzanite One, Hussein Gonga akiwa anamuonyesha Waziri wa Nishati na Madini, Mh. George Simbachawene madini ambayo yanachimbwa na kampuni yao. (Habari picha kwa hisani ya woindeshizza blog).
Na Woinde Shizza, Arusha
Serikali imewataka wachimbaji na wanunuzi wa madini ya Tanzanite nchini, kuacha tabia ya Utoroshaji wa madini hayo nje ya nchi huku,ikiagizwa kuachwa kuuzwa madini ghafi.
Katika kudhibiti biashara hiyo, serikali kwa kushirikiana na kituo cha...
11 years ago
BBCSwahili06 Jun
Vita dhidi ya Tumbaku
11 years ago
BBCSwahili30 May
Tumbaku 'dhahabu' ya Malawi
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-3vEYBGlbPrk/VeVz90NOOhI/AAAAAAAAgjI/nNmYs_z9uio/s72-c/Two.jpg)
WAZIMBABWE WAJIFUNZA TUMBAKU TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-3vEYBGlbPrk/VeVz90NOOhI/AAAAAAAAgjI/nNmYs_z9uio/s640/Two.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wm02VUwogOc/VeV0BNhEd1I/AAAAAAAAgjY/FjAUcA2hdfk/s640/One.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
Wakulima kuboresha zao la tumbaku
WAKULIMA wa zao la tumbaku nchini, wameahidi kuongeza juhudi za kulifanya liwe bora zaidi ikiwa ni pamoja na kulitunza, kulichambua na kuondoa uchafu kabla ya kuliuza, ili lifikie viwango vya...
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
Madiwani wakerwa uchakachuaji wa tumbaku
MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Uyui mkoani Tabora, wameelezea masikitiko yao kuhusu uchafuzi wa tumbaku unaofanywa na baadhi ya wakulima wasio waaminifu na kutaka itungwe sheria kukabiliana na uovu...
10 years ago
Mwananchi14 Nov
IGP akabidhiwa ripoti ubadhirifu wa tumbaku
10 years ago
Dewji Blog03 Jul
Makala ya madhara yatokanayo na matumizi ya Tumbaku
Ni Tumbaku ambayo imeshakaguliwa na wataalamu wa kilimo kutoka Bodi ya Tumbaku Tanzania ikikaguliwa na mgeni rasmi wakati wa ufunguzi wa soko la Tumbaku kwa kuanza kununuliwa na makampuni yanayonunua zao hilo.
Na Jumbe Ismailly, Singida
TUMBAKU ni zao pekee lenye madhara mengi ya kiafya kwa wakulima na wateja wake ambao nusu yao hupoteza maisha duniani kila baada ya sekunde nane,ambapo mtu hufariki kutokana na matumizi ya tumbaku.
Watu wanaotumia tumbaku katika umri mdogo vile vile...