Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NDOA YA MAIMARTHA YANUSURIKA KUVUNJIKA

Stori: Imelda Mtema NDOA ya mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse imenusurika kuvunjika baada ya kidudu mtu kutumia jina lake kwa kuwatukana watu, kusambaza umbea hadi kwa mumewe. Mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse. Akielezea kwa undani sakata hilo, Maimartha alisema mtu huyo ameeneza umbea kuwa (Maimartha) ana uhusiano nje ya ndoa. “Nina wakati mgumu sana, huyu msichana anatumia jina langu mpaka kwenye...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

NDOA YA DIDA KUVUNJIKA;

Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah SIKU chache baada ya kuvunjika kwa ndoa ya Khadija Shaibu ‘Dida’, aliyekuwa mumewe, Mtangazaji wa TV1, Ezden Jumanne ameibuka na kutoa sababu kuu tatu za kutengena kwao, Risasi Mchanganyiko linakupa zaidi. Khadija Shaibu ‘Dida’ na Mtangazaji wa TV1, Ezden Jumanne wakipozi. Akizungumza na waandishi wetu katika nyumba aliyohamia kwa sasa, Kijitonyama, Dar,...

 

10 years ago

GPL

NDOA SASA YAMZEESHA MAIMARTHA

Stori: Hamida Hassan
Mtangazaji Maimartha Jesse ‘Mai’ ameibuka na kusema kuwa kitendo cha yeye kuingia kwenye maisha ya ndoa kimemsababisha sasa aonekane kama aliyezeeka kwani mambo mengi ya kisichana ameyaacha. Mtangazaji Maimartha Jesse ‘Mai’. Akizungumzia maisha anayoishi Mai alisema, zamani alikuwa ikifika wikiendi anafikiria akajirushe wapi lakini sasa hivi imebaki historia kiasi cha baadhi ya...

 

10 years ago

GPL

TATIZO LA KUWAHI KUFIKA KILELENI NA KUVUNJIKA KWA NDOA!

JAMBO hili la kuwahi kufika kileleni limeshakuwa ni tatizo kubwa sana ndani ya jamii na linakuwa na madhara makubwa sana kwenye familia zetu, mara nyingi husababisha kuvunjika kwa ndoa. Kama tulivyozungumza katika makala iliyopita kwenye upande wa dalili na visababishi basi ni vema kabisa ukiwa na dalili zifuatazo ukawahi mapema matibabu ili kujenga familia iliyo bora kabisa:
Tatizo lenyewe kuwahi kufika kileleni ni dalili ya...

 

10 years ago

GPL

TATIZO LA KUWAHI KUFIKA KILELENI NA KUVUNJIKA KWA NDOA-2

Wiki iliyoipita tuliishia katika  kipengele cha tatu cha tatizo la kisaikolojia.
Tuendelee… Ndoa nyingi zimekua zikivunjika kwa sababu mbali mbali lakini sababu kubwa na imekua ikitokea kwa watu wengi sana ni sababu ya kutokushiriki vizuri tendo la ndoa na mara nyingi inapotokea kwa wanaume. Kuwahi kufika kileleni limekua ni tatizo kubwa sana ambalo linawasumbua watu wengi sana na husababisha ndoa nyingi sana...

 

11 years ago

CloudsFM

NAAZIZ AANIKA CHANZO CHA KUVUNJIKA KWA NDOA YAKE

First Lady wa The East African Bashment Crew, kundi linaloundwa na wasanii kutoka nchi za Uganda, Bebe Cool na Kenya, Wyre na Naaziz ambaye hivi karibuni alidondoka bongo kwa ajili ya Listening Party ya album ya Mzee Mnyama Tid, 255 ya clouds fm ilipata nafasi ya kuzungumza naye japo anakuaga mgumu wa kutiririka mambo yake, 255 ilimshawishi mwanadada huyu ambaye mwishoni mwa mwaka jana ndoa yao ilitangazwa kuvunjika, chanzo kilikua nini naaziz.

Aidha miezi kadhaa iliyopita habari zilizagaa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ivory Coast yanusurika

Mchezaji Max Gradel wa Ivory Coast alifunga bao la dakika za mwisho dhidi ya Mali na hivyobasi kuimarisha matumaini yao

 

10 years ago

BBCSwahili

UN yanusurika shambulizi Somalia

Mlipuko mkubwa umetokea katika mji wa Mogadishu nchini Somalia karibu na uwanja wa ndege.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani