UN yanusurika shambulizi Somalia
Mlipuko mkubwa umetokea katika mji wa Mogadishu nchini Somalia karibu na uwanja wa ndege.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili13 May
UN yalaaani shambulizi Somalia
Umoja wa Mataifa umelaani shambulizi baya sana la kujitoa mhanga ambalo lilitokea eneo la Kati mwa Somalia.
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Wanajeshi watibua shambulizi Somalia
Vikosi vya usalama nchini Somalia vinasema kuwa vimetibua jaribio la mlipuaji wa kujitoa muhanga dhidi ya mkutano wa wanasiasa katikati ya taifa hilo.
9 years ago
BBCSwahili22 Aug
9 wauawa kwenye shambulizi Somalia
Shambulizi la kujitoa mhanga kusini mwa Somalia limewaua takriban watu 9 katika kituo kimoja cha kutoa mafunzo ya kijeshi.
10 years ago
BBCSwahili24 Jan
Ivory Coast yanusurika
Mchezaji Max Gradel wa Ivory Coast alifunga bao la dakika za mwisho dhidi ya Mali na hivyobasi kuimarisha matumaini yao
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj0vilvVKdJti74FO1l*IeXHX3E83QG0g8UvFi50WxWbGH8lnKAT1yE4sePUleH0sSJJzUHEODqfKdrhkj8PHxAz/maimatha.jpg?width=650)
NDOA YA MAIMARTHA YANUSURIKA KUVUNJIKA
Stori: Imelda Mtema NDOA ya mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse imenusurika kuvunjika baada ya kidudu mtu kutumia jina lake kwa kuwatukana watu, kusambaza umbea hadi kwa mumewe. Mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse. Akielezea kwa undani sakata hilo, Maimartha alisema mtu huyo ameeneza umbea kuwa (Maimartha) ana uhusiano nje ya ndoa. “Nina wakati mgumu sana, huyu msichana anatumia jina langu mpaka kwenye...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uLtK2PVjqXg/VnE04e6WTaI/AAAAAAAIMsI/cxZ_J47XECI/s72-c/20151216015227.jpg)
NEWS ALERT: MELI YA MV. ROYAL ILIYOKUWA IKITOKEA UNGUJA KUELEKEA PEMBA YANUSURIKA KUWAKA MOJA LEO
Meli ya Royal iliyokuwa ikitokea Unguja kuelekea Pemba, ilipata hitilafu iliyopelekea kuwakawa moto kwa moja ya Injini zake muda mfupi uliopita, kwa Bahati nzuri Meli ya Mv. Serengeti iliyokuwa ikitokea Pemba kwenda unguja ilifika eneo la tukio na kuikuta Meli hiyo na kuanza kutoa msaada wa kuwahamisha abiria waliokuwepo kwenye Meli hiyo na huku shughuli za uzimaji moto na uokozi ikifanyika.Globu ya Jamii inaendelea kufuatilia tukio hilo na tutaendelea kuwajuza hapa hapa.
Zoezi la Uokozi wa...
![](http://2.bp.blogspot.com/-uLtK2PVjqXg/VnE04e6WTaI/AAAAAAAIMsI/cxZ_J47XECI/s640/20151216015227.jpg)
9 years ago
BBCSwahili18 Aug
Shambulizi la Thailand lalaaniwa
Waziri mkuu wa Thailand ametaja shambulizi la bomu ambalo lilitokea mjini Bankok kisa kibaya zaidi kuwahi kutokea nchini humo
10 years ago
BBCSwahili16 Mar
Shambulizi laua 45 Nigeria
Wanawake na watoto wachanga zaidi ya 45 wameuawa katika shambulizi lililotekelezwa katika kijiji kimoja huko Egba katika jimbo la Benue Nigeria
10 years ago
BBCSwahili08 Apr
Walioshuhudia shambulizi la Garissa
Kufuatia shambulizi la chuo kikuu cha Garissa nchini Kenya baadhi ya wanafunzi waliweza kusema yale walioshuhudia.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania