9 wauawa kwenye shambulizi Somalia
Shambulizi la kujitoa mhanga kusini mwa Somalia limewaua takriban watu 9 katika kituo kimoja cha kutoa mafunzo ya kijeshi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili19 Aug
13 wauawa kwenye shambulizi Syria
Mshambuliaji wa kujitoa mhanga ameshambulia vikosi vya jeshi la wakurdi kaskazini mashariki mwa Syria na kuwaua takriban watu 13
11 years ago
BBCSwahili13 May
UN yalaaani shambulizi Somalia
Umoja wa Mataifa umelaani shambulizi baya sana la kujitoa mhanga ambalo lilitokea eneo la Kati mwa Somalia.
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
UN yanusurika shambulizi Somalia
Mlipuko mkubwa umetokea katika mji wa Mogadishu nchini Somalia karibu na uwanja wa ndege.
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Wanajeshi watibua shambulizi Somalia
Vikosi vya usalama nchini Somalia vinasema kuwa vimetibua jaribio la mlipuaji wa kujitoa muhanga dhidi ya mkutano wa wanasiasa katikati ya taifa hilo.
11 years ago
BBCSwahili15 Jul
50 wauawa katika shambulizi Afghanistan
Ripoti zinasema kuwa takriban watu 50 wameuawa katika shambulizi la bomu lililotokea katika soko moja mashariki mwa Afghanistan
11 years ago
BBCSwahili17 May
40 wauawa kwa shambulizi Benghazi
Wizara ya afya ya Libya imesema zaidi ya watu 40 wameuwawa mjini Benghazi siku Ijumaa katika mashambulizi ya anga na nchi kavu.
10 years ago
Vijimambo15 Apr
17 wauawa katika shambulizi la Al Shabaab
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/28/150328014047_somalia_hotel_attack_2_624x351_afp.jpg)
Watu 17 wameripotiwa kuuawa na wengine 20 kujeruhiwa vibaya wakati wanamgambo wa Kiislamu wa Al Shaabab waliposhambulia majengo ya wizara ya elimu mjini Mogadishu,Somalia.
Mwandishi wa BBC Mohammed Moalimu,amesema kuwa wavamizi hao walilipua bomu lililotegwa ndani ya gari kwenye ukuta wa jengo hilo
Kulingana na msemaji wa idara ya usalama wa ndani Mohammed Yusuf...
10 years ago
BBCSwahili26 Jul
14 wauawa katika shambulizi Cameroon.
Watu 14 wameuawa jana usiku katika shambulizi la bomu lililofanyika kwenye jumba moja la starehe katika mji wa Maroua Kaskazini mwa Cameroon.
11 years ago
BBCSwahili23 Apr
4 wauawa katika shambulizi Kenya
Watu 4 wanahofiwa kufariki katika shambulizi la bomu lililokuwa limetegwa katika gari moja karibu na kituo cha polisi mjini Nairobi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania