CATHY: MIAKA 13 YA NDOA NIACHIKE, MH!
![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXzkx6t6RlTHPTH8b529GBWb-3daH7Vhpco-V3C-MjatNaDkfAHA-g*qVceSt3-Ewc*zMQaxb94gTNEojTxKkTpO/CATHY.jpg?width=650)
Stori: GLADNESS MALLYA MSANII mkongwe kunako gemu la filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amefunguka kuwa hawezi kuachika kwenye ndoa yake iliyodumu kwa miaka 13 na wanaosubiri aachwe, watasubiri sana. Msanii mkongwe kunako gemu la filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’. Akizungumza na paparazi wetu juzi Cathy alisema kuwa, amekuwa akizushiwa kwamba anatoka nje ya ndoa na wasanii tofauti lakini hayo ni...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*XYMiYVii2v6sduZtvuNsosvIrhErYbAAZaDIqb8f-mvM5FSoS02SP3tOZJoPMMbS5gI5WXXjrrRPM29aUOtBKX/mainda.jpg?width=650)
NDOA YA CATHY YACHOKONELEWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/w3eiFFRDzzfFANOeWbWOckzM4Va*Ya3qjg*x8cyt92Kywt1S2kznStLXpDh0anPt1NfeFWF2o17DYXGnP1SFeFQCsZaWj4NA/cathy.jpg)
MAWIFI WAITIKISA NDOA YA CATHY
10 years ago
Vijimambo10 May
DJ GULU RAMADHANI NANJI ATIMIZA MIAKA 19 YA NDOA YAKE, VIJIMAMBO BLOG INAKUTAKIA MIAKA AMANI NAFURAHA ZAIDI KATIKA NDOA YAKO.
![](https://scontent-iad.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/p240x240/11200587_909761035753767_7843757387391072959_n.jpg?oh=4ca697f286dccbefbfa5b80acd7b4563&oe=55C83211)
Oooh Allah Naona Kama Naota Vile Kama Siamini Vile...Asante Sana Mungu Kwa Pumzi Unayotupa Hadi Leo Tarehe 10 May Twafikisha Miaka 19 Ya Ndoa Yetu Mimi Na Mke Wangu Kipenzi Bi Khadija Gulu...Asante Sana Bi Wife Kwa Kustahmili Mengi Kutwa Nipo Katika Mihangaiko,Safarini Kikazi Lakini Mungu Amekujaalia Upendo,Subra,imani Na Moyo Wa Kipekee Wa Kijasiri Sijapata Kuona Wa Kuweza Kukaa Na Familia Kama Mume Nipo Nyumbani Wakati Wote,Wewe Kweli Ni Mke Bora...Wakati Twafunga Ndoa Wengi Walidiriki...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FsV0PLw632pMjQP5EjC2lpZnJdefY7Yn*B3uxIWkE9hKwpS8DGrNDqYpUuh0LKypVy8QFc5kuOjue*9PMuavjdBpZERWr6JF/4.jpg?width=650)
CATHY: USTAA KWENYE NDOA NI TATIZO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNSMpvg2WArH6XtR7-XyFdgm8hDXLX5COM*9QZaj3HH7d3XsJ6nyw5jOmGBijGGrhYFFcoe8wWfgjsL9epPwF9px/CATHY.jpg)
CATHY AFUNGUKA MCHEPUKO KATIKA NDOA
9 years ago
Bongo Movies21 Sep
Cathy Akataa Ndoa Yake Kuwa ‘Action And Cut’
Mambo ya ndoa! Mwigizaji wa kitambo ambaye ni zao la kundi la zamani la Nyota Ensembels lililokuwa likirusha michezo yake kupitia Runinga ya ITV, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amefunguka kuwa yeye ni msanii lakini maisha ya kisanii hayapeleki kwenye ndoa yake kwani ndoa siyo mambo ya ‘action and cut’ kama wanavyofanya lokesheni.
Cathy ameliambia Ijumaa Wikienda kwamba, ndoa nyingi za mastaa huwa hazidumu kwa sababu huchukua maisha ya nje ya ndoa na kuyapeleka kwenye ndoa ndipo wanapojikuta...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3oumJFYFk4qVwIEWvAjp2inBOnT85kyCpoQq6AppEfXZFjJHx9S4Ms1kUKD59APJ1qf5SYBVBrbvFWQ*ZLoM7eB0KoKi2meC/gfhshj.jpg?width=650)
CATHY AKATAA NDOA YAKE KUWA ‘ACTION AND CUT’
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-YNJIxBK9LWE/VcUi7MoS1hI/AAAAAAAD2nQ/U2qA9vAm_0k/s72-c/d7294837205993625d733277b2cb10a6.jpg)
KHERI YA MIAKA 11 YA NDOA
![](http://3.bp.blogspot.com/-YNJIxBK9LWE/VcUi7MoS1hI/AAAAAAAD2nQ/U2qA9vAm_0k/s640/d7294837205993625d733277b2cb10a6.jpg)
10 years ago
Habarileo03 Sep
Anayetaka uraia ni miaka 15 baada ya ndoa
KAMATI Namba Tatu ya Bunge Maalumu la Katiba imependekeza mtuyeyote anayetaka uraia wa kuandikishwa baada ya kufunga ndoa na Mtanzania, asipewe uraia huo mpaka adumu katika ndoa husika kwa miaka 15.