Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FRANK: RIYAMA ANANIZIBIA!

Nyota wa filamu za Kibongo, Mohammed Mwikongi maarufu kama Frank. Stori: Hamida Hassan na Shani Ramadhani
NYOTA wa filamu za Kibongo, Mohammed Mwikongi maarufu kama Frank, amedai kuwa msanii mwenzie Riyama Ally anamzibia riziki kiasi kwamba sasa anamsaka ili amweleze kitu gani aliwahi kumkosea. Akizungumza jijini hivi karibuni, Frank alisema anamtafuta Riyama ili aweze kumwambia ni kwa nini inakuwa hivyo kwa sababu katika...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Frank Amshushia Lawama Riyama kwa Kumzibia Riziki

Mwigizaji  mkongwe wa filamu za hapa Bongo, Mohammed Mwikongi maarufu kama Frank, amedai kuwa mwigizaji mwenzie Riyama Ally anamzibia riziki kiasi kwamba sasa anamsaka ili amweleze kitu gani aliwahi kumkosea.

Akizungumza jijini hivi karibuni, Frank alisema anamtafuta Riyama ili aweze kumwambia ni kwa nini inakuwa hivyo kwa sababu katika filamu zote ambazo yeye anatakiwa kucheza, mwenzake huyo huwepo na ndiye anayependekeza watu watakaohusika na filamu hiyo.

“Tukiacha ile filamu...

 

9 years ago

Bongo Movies

Frank Kustaafu Filamu

Staa mkongwe wa bongo Movies, Mohammed Mwikongwi ‘Frank’ amesema atastaafu fani ya uchezaji wa filamu endapo atashinda kiti cha ubunge cha jimbo la Segerea, Dar es Salaam katika muchaguzi mkuu wa mwezi ujao.

‘Frank’ ambaye anagombea kiti hicho kwa tiketi ya ACT alisema akishinda hatojihusisha  na filamu kwani hatowezakufanya mambo mawilikwa wakati mmoja.

Frank ni mmoja wa wasanii wawili wa filamu wanaogombea Ubunge akiwemo ‘Kingwendu’ anayewania ubunge kwa tiketi ya CUF huko...

 

10 years ago

Mwananchi

Frank atema nyongo

Kama ulidhani Frank alichukulia poa baada ya kuharibiwa safari yake ya kwenda kuigiza filamu jijini London, Uingereza mwaka jana, basi tambua kwamba alikuwa na nyongo ambayo mwaka huu ameamua kuitema.

 

9 years ago

Bongo Movies

Frank: Soko la Filamu Linatisha

Msanii mahiri katika tasnia ya uigizaji, Mohammed Mwikongi ‘Frank’, amesema anapenda sana kufanya kazi ya uigizaji lakini soko la Tanzania linamkatisha tamaa ya kufanya kazi hiyo.

Frank alisema, amekuwa kimya kwasababu ya soko la uzambazaji kuharibiwa na baadhi ya wadau na wasambazaji wa filamu Tanzania.

Alisema mpaka sasa ameshaandaa muvi tano lakini anashidwa kuzitoa kutokana na kutoridhishwa na soko la uuzaji wa filamu .

“Kazi ya sanaa ndio kazi yangu ninayoitegemea kuendesha familia...

 

11 years ago

BBCSwahili

Frank Lampard kuaga Chelsea

Kiungo cha kati,Frank Lampard kuondoka Chelsea baada ya kuichezea kwa miaka 13.

 

10 years ago

GPL

FRANK AFIWA NA MWANAYE WA KIUME

Mohammed Mwikongi ‘Frank’. MUIGIZAJI wa filamu za Kibongo, Mohammed Mwikongi ‘Frank’ amefiwa na mwanaye mchanga wa kiume aliyekuwa akitibiwa katika Hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam…

 

10 years ago

GPL

CLOUD AKANA KUMFITINI FRANK

Stori: Mayasa Mariwata na Chande Abdallah
MSANII mkongwe wa filamu Bongo Issa Musa ‘Cloud’ amekana tuhuma zinazosambazwa mtandaoni kuwa alimfitini muigizaji mwenzake, Mohammed Mwikongi ‘Frank’ ili kumzuia asisafiri kuelekea Uingereza miezi michache iliyopita. Msanii mkongwe wa filamu Bongo Issa Musa ‘Cloud’. “Mimi sikumfitini Frank, yule mtu alinifuata mwenyewe kwa makubaliano ya...

 

9 years ago

Mtanzania

FRANK KIKUNGWE kuachia albamu kesho

NA CHRISTOPHER MSEKENA

MWANAMUZIKI wa muziki wa Injili nchini, Frank Kikungwe anatarajia kuachia albamu yake ya kwanza inayoitwa ‘Nimeuona Mkono wa Bwana’ kesho katika Kanisa la KKKT, Usharika wa Kimara, jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na Swaggaz, Kikungwe alisema, albamu hiyo ina jumla ya nyimbo nane za kumsifu na kumuabudu Mungu ambazo zimejaa mafundisho katika maisha ya wanadamu.

“Baada ya misa ya kwanza kumalizika ndipo onyesho la uzinduzi litakapoanza, watu wote wanakaribishwa...

 

9 years ago

Global Publishers

Frank Lampard afunga ndoa London

2F8903DD00000578-3367957-image-a-80_1450636450422Frank Lampard akimbusu mke wake Christine Bleakley baada ya kufunga ndoa jana Jumapili London.

2F888FD700000578-3367957-image-a-33_1450634348042Christine Bleakley akiwapungia mkono marafiki zake (hawapo pichani) baada ya kufika kanisani.

 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani