FRANK: RIYAMA ANANIZIBIA!
![](http://api.ning.com:80/files/9nG191KtIdio-d2kTvwCl7IQ7hGkHwwpL2nRb0Kq*tE10a1k-X-csnxRR0NRQsHdZDKyl79sCx9-JWdmGxOO3e8wcMGBXxi5/frank1.jpg?width=650)
Nyota wa filamu za Kibongo, Mohammed Mwikongi maarufu kama Frank. Stori: Hamida Hassan na Shani Ramadhani NYOTA wa filamu za Kibongo, Mohammed Mwikongi maarufu kama Frank, amedai kuwa msanii mwenzie Riyama Ally anamzibia riziki kiasi kwamba sasa anamsaka ili amweleze kitu gani aliwahi kumkosea. Akizungumza jijini hivi karibuni, Frank alisema anamtafuta Riyama ili aweze kumwambia ni kwa nini inakuwa hivyo kwa sababu katika...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies07 Jan
Frank Amshushia Lawama Riyama kwa Kumzibia Riziki
Mwigizaji mkongwe wa filamu za hapa Bongo, Mohammed Mwikongi maarufu kama Frank, amedai kuwa mwigizaji mwenzie Riyama Ally anamzibia riziki kiasi kwamba sasa anamsaka ili amweleze kitu gani aliwahi kumkosea.
Akizungumza jijini hivi karibuni, Frank alisema anamtafuta Riyama ili aweze kumwambia ni kwa nini inakuwa hivyo kwa sababu katika filamu zote ambazo yeye anatakiwa kucheza, mwenzake huyo huwepo na ndiye anayependekeza watu watakaohusika na filamu hiyo.
“Tukiacha ile filamu...
9 years ago
Bongo Movies28 Sep
Frank Kustaafu Filamu
Staa mkongwe wa bongo Movies, Mohammed Mwikongwi ‘Frank’ amesema atastaafu fani ya uchezaji wa filamu endapo atashinda kiti cha ubunge cha jimbo la Segerea, Dar es Salaam katika muchaguzi mkuu wa mwezi ujao.
‘Frank’ ambaye anagombea kiti hicho kwa tiketi ya ACT alisema akishinda hatojihusisha na filamu kwani hatowezakufanya mambo mawilikwa wakati mmoja.
Frank ni mmoja wa wasanii wawili wa filamu wanaogombea Ubunge akiwemo ‘Kingwendu’ anayewania ubunge kwa tiketi ya CUF huko...
10 years ago
Mwananchi12 Jan
Frank atema nyongo
9 years ago
Bongo Movies25 Aug
Frank: Soko la Filamu Linatisha
Msanii mahiri katika tasnia ya uigizaji, Mohammed Mwikongi ‘Frank’, amesema anapenda sana kufanya kazi ya uigizaji lakini soko la Tanzania linamkatisha tamaa ya kufanya kazi hiyo.
Frank alisema, amekuwa kimya kwasababu ya soko la uzambazaji kuharibiwa na baadhi ya wadau na wasambazaji wa filamu Tanzania.
Alisema mpaka sasa ameshaandaa muvi tano lakini anashidwa kuzitoa kutokana na kutoridhishwa na soko la uuzaji wa filamu .
“Kazi ya sanaa ndio kazi yangu ninayoitegemea kuendesha familia...
11 years ago
BBCSwahili03 Jun
Frank Lampard kuaga Chelsea
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7JAc5CeHqZ2ADe91aNIcnh1YkhMbYTDSbejCa1w28uDcYIf*eZ*cS-WWXRtcQRf23OxylFbZpbWkugjbLhjo35jSitJ2QZSi/BREAKINGNEWS.gif)
FRANK AFIWA NA MWANAYE WA KIUME
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U8LSueg-IYrXaN4bhrO76GYZKVFZXlBNE2OIgpponWVKModwgx717v*ymdIrs2E*OLiLUPvYfBB3KhgLwinacGoFVtwvQbyI/FRANK.jpg?width=650)
CLOUD AKANA KUMFITINI FRANK
9 years ago
Mtanzania17 Oct
FRANK KIKUNGWE kuachia albamu kesho
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MWANAMUZIKI wa muziki wa Injili nchini, Frank Kikungwe anatarajia kuachia albamu yake ya kwanza inayoitwa ‘Nimeuona Mkono wa Bwana’ kesho katika Kanisa la KKKT, Usharika wa Kimara, jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na Swaggaz, Kikungwe alisema, albamu hiyo ina jumla ya nyimbo nane za kumsifu na kumuabudu Mungu ambazo zimejaa mafundisho katika maisha ya wanadamu.
“Baada ya misa ya kwanza kumalizika ndipo onyesho la uzinduzi litakapoanza, watu wote wanakaribishwa...
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Frank Lampard afunga ndoa London
Frank Lampard akimbusu mke wake Christine Bleakley baada ya kufunga ndoa jana Jumapili London.
Christine Bleakley akiwapungia mkono marafiki zake (hawapo pichani) baada ya kufika kanisani.