Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Frank atema nyongo

Kama ulidhani Frank alichukulia poa baada ya kuharibiwa safari yake ya kwenda kuigiza filamu jijini London, Uingereza mwaka jana, basi tambua kwamba alikuwa na nyongo ambayo mwaka huu ameamua kuitema.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Frank Atema Nyongo,Anasema majungu na chembechembe za ubinafsi vinaimaliza Bongo Movie

Kama ulidhani Frank alichukulia poa baada ya kuharibiwa safari yake ya kwenda kuigiza filamu jijini London, Uingereza mwaka jana, basi tambua kwamba alikuwa na nyongo ambayo mwaka huu ameamua kuitema.

Akizungumza na Gazeti la Mwananchi, muigizaji huyo ambaye jina lake halisi ni Mohamed Mwikongi, alisema suala hilo lilimfanya ajisikie vibaya sambamba na kumjengea picha mbaya na hasa katika umoja uliokuwepo katika klabu ya Bongo Movie na aliyemfanyia hayo alikuwa mmoja wa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Frank Atema Nyongo, Asema majungu na chembechembe za ubinafsi vinaimaliza Bongo Movie

Kama ulidhani Frank alichukulia poa baada ya kuharibiwa safari yake ya kwenda kuigiza filamu jijini London, Uingereza mwaka jana, basi tambua kwamba alikuwa na nyongo ambayo mwaka huu ameamua kuitema.

Akizungumza na Gazeti la Mwananchi, muigizaji huyo ambaye jina lake halisi ni Mohamed Mwikongi, alisema suala hilo lilimfanya ajisikie vibaya sambamba na kumjengea picha mbaya na hasa katika umoja uliokuwepo katika klabu ya Bongo Movie na aliyemfanyia hayo alikuwa mmoja wa...

 

9 years ago

Habarileo

Mbunge wa zamani atema nyongo

MBUNGE wa Mpwapwa aliyemaliza muda wake na kushindwa katika kura za maoni alipoomba ridhaa ya wanachama wa CCM kuwania tena ubunge wa jimbo hilo, Gregory Teu, amesema hatakuwa tayari kumuunga mkono mgombea aliyepitishwa na chama hicho tawala kuwania katika uchaguzi mkuu ujao, akidai ushindi huo alioupata ni wa mizegwe.

 

10 years ago

Mtanzania

Casillas atema nyongo Simba

NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM

KIPA wa timu ya Simba, Hussein Shariff ‘Casillas’, amesema hayupo tayari kutolewa kwa mkopo kwenda timu nyingine, huku akidai bora aache kabisa kuitumikia timu  hiyo na kuwa mchezaji huru.

Cassilas amekuwa majeruhi kwa muda mrefu baada ya kuumia goti walipokuwa kambini nchini Afrika Kusini mwaka jana, hali iliyopelekea kukaa muda mrefu bila kucheza, ambapo inadaiwa uongozi wake unataka kumtoa kwa mkopo.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Cassilas alisema yupo...

 

10 years ago

Vijimambo

Mr and Mrs Nyongo!

                      Beautiful picture of Mr and Mrs Nyongo all the way from Sydney, Australia!
                                                 Usiwaonee wivu ni bahati...

 

10 years ago

Vijimambo

Happy Birthday Aidan Nyongo

 
Happy birthday Mr. Aidan Nyongo. Nifuraha ilioje kushare siku yako ya kuzaliwa na watu uwapendao. Aidan amezaliwa leo tarehe 23rd March, kipenzi chake, mkewe aliye pendezwa naye amezaliwa 19th of March,  kijana wake mpendwa pamoja na binti yake mpendwa wote wamezaliwa 14th of March! Pia marehemu  baba mkwe wa Aidan (R.I.P) alizaliwa tarehe 19th of March!
                          Happy birthday to you all, the Nyongo’s family. Mbarikiwe...

 

11 years ago

BBCSwahili

Matumaini ya Arsenal yatumbukia nyongo

Arsenal imeyaaga michuano ya kuwania kombe la klabu bingwa barani Ulaya licha ya kutoka sare na Bayern Munich

 

5 years ago

Michuzi

Nyongo Migogoro ya Wachimbaji Hutatuliwa Kisheria


  Naibu Waziri wa Madini Stanslaus Nyongo mwenye Koti akimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa vikundi 14 Kwahemu Daudi Elia akitoa maelezo ya uchimbaji kwenye eneo la machimbo wilayani Chamwino mkoani Dodoma.  Naibu Waziri wa Madini Stanslaus Nyongo na timu yake wakiwa kwenye maeneo ya Kwahemu akikagua maeneo yanayochimbwa madini kabla ya kuanza kusikiliza mgogoro uliopo. Naibu Waziri wa Madini Stanslaus Nyongo akitoa maelezo na kusisitiza kuhusu utaratibu wa umiliki wa leseni kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

JK atema mawaziri 60

Panga pangua ya saba ya Baraza la Mawaziri iliyofanyika juzi imefikisha mawaziri 61 waliotemwa, kujiuzulu au kufariki dunia tangu Rais Jakaya Kikwete aingie madarakani mwaka 2005, huku mawaziri 16 wakihimili mawimbi hayo hadi sasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani