Frank atema nyongo
Kama ulidhani Frank alichukulia poa baada ya kuharibiwa safari yake ya kwenda kuigiza filamu jijini London, Uingereza mwaka jana, basi tambua kwamba alikuwa na nyongo ambayo mwaka huu ameamua kuitema.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies13 Jan
Frank Atema Nyongo,Anasema majungu na chembechembe za ubinafsi vinaimaliza Bongo Movie
Kama ulidhani Frank alichukulia poa baada ya kuharibiwa safari yake ya kwenda kuigiza filamu jijini London, Uingereza mwaka jana, basi tambua kwamba alikuwa na nyongo ambayo mwaka huu ameamua kuitema.
Akizungumza na Gazeti la Mwananchi, muigizaji huyo ambaye jina lake halisi ni Mohamed Mwikongi, alisema suala hilo lilimfanya ajisikie vibaya sambamba na kumjengea picha mbaya na hasa katika umoja uliokuwepo katika klabu ya Bongo Movie na aliyemfanyia hayo alikuwa mmoja wa...
10 years ago
Bongo Movies13 Jan
Frank Atema Nyongo, Asema majungu na chembechembe za ubinafsi vinaimaliza Bongo Movie
Kama ulidhani Frank alichukulia poa baada ya kuharibiwa safari yake ya kwenda kuigiza filamu jijini London, Uingereza mwaka jana, basi tambua kwamba alikuwa na nyongo ambayo mwaka huu ameamua kuitema.
Akizungumza na Gazeti la Mwananchi, muigizaji huyo ambaye jina lake halisi ni Mohamed Mwikongi, alisema suala hilo lilimfanya ajisikie vibaya sambamba na kumjengea picha mbaya na hasa katika umoja uliokuwepo katika klabu ya Bongo Movie na aliyemfanyia hayo alikuwa mmoja wa...
9 years ago
Habarileo19 Aug
Mbunge wa zamani atema nyongo
MBUNGE wa Mpwapwa aliyemaliza muda wake na kushindwa katika kura za maoni alipoomba ridhaa ya wanachama wa CCM kuwania tena ubunge wa jimbo hilo, Gregory Teu, amesema hatakuwa tayari kumuunga mkono mgombea aliyepitishwa na chama hicho tawala kuwania katika uchaguzi mkuu ujao, akidai ushindi huo alioupata ni wa mizegwe.
10 years ago
Mtanzania02 Jun
Casillas atema nyongo Simba
NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
KIPA wa timu ya Simba, Hussein Shariff ‘Casillas’, amesema hayupo tayari kutolewa kwa mkopo kwenda timu nyingine, huku akidai bora aache kabisa kuitumikia timu hiyo na kuwa mchezaji huru.
Cassilas amekuwa majeruhi kwa muda mrefu baada ya kuumia goti walipokuwa kambini nchini Afrika Kusini mwaka jana, hali iliyopelekea kukaa muda mrefu bila kucheza, ambapo inadaiwa uongozi wake unataka kumtoa kwa mkopo.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Cassilas alisema yupo...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Aimw-LserD8/VbUuX7LvFEI/AAAAAAAACek/K85QQQTj1kY/s72-c/2015-07-26-10.54.35.jpg)
Mr and Mrs Nyongo!
![](http://2.bp.blogspot.com/-Aimw-LserD8/VbUuX7LvFEI/AAAAAAAACek/K85QQQTj1kY/s400/2015-07-26-10.54.35.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-AmKZFAQlJLc/VbUuusg72xI/AAAAAAAACes/4Io9bVGdCKE/s400/2015-07-26-10.54.05.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-oRh63vS-zIE/VRCVIP6mPxI/AAAAAAAAAGw/iBOTn4QXMKU/s72-c/Aidan.jpg)
Happy Birthday Aidan Nyongo
![](http://3.bp.blogspot.com/-oRh63vS-zIE/VRCVIP6mPxI/AAAAAAAAAGw/iBOTn4QXMKU/s1600/Aidan.jpg)
Happy birthday Mr. Aidan Nyongo. Nifuraha ilioje kushare siku yako ya kuzaliwa na watu uwapendao. Aidan amezaliwa leo tarehe 23rd March, kipenzi chake, mkewe aliye pendezwa naye amezaliwa 19th of March, kijana wake mpendwa pamoja na binti yake mpendwa wote wamezaliwa 14th of March! Pia marehemu baba mkwe wa Aidan (R.I.P) alizaliwa tarehe 19th of March!
![](http://1.bp.blogspot.com/-_RJ63hGNPoc/VRCXpw0e2iI/AAAAAAAAAG4/j9rnAy-y2gs/s1600/Fina2.jpg)
11 years ago
BBCSwahili12 Mar
Matumaini ya Arsenal yatumbukia nyongo
5 years ago
MichuziNyongo Migogoro ya Wachimbaji Hutatuliwa Kisheria
10 years ago
Mwananchi26 Jan
JK atema mawaziri 60