Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyongo Migogoro ya Wachimbaji Hutatuliwa Kisheria


  Naibu Waziri wa Madini Stanslaus Nyongo mwenye Koti akimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa vikundi 14 Kwahemu Daudi Elia akitoa maelezo ya uchimbaji kwenye eneo la machimbo wilayani Chamwino mkoani Dodoma.  Naibu Waziri wa Madini Stanslaus Nyongo na timu yake wakiwa kwenye maeneo ya Kwahemu akikagua maeneo yanayochimbwa madini kabla ya kuanza kusikiliza mgogoro uliopo. Naibu Waziri wa Madini Stanslaus Nyongo akitoa maelezo na kusisitiza kuhusu utaratibu wa umiliki wa leseni kwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Naibu Waziri Nyongo awataka viongozi wa vijiji kushiriki kutoa elimu ya uwekezaji sekta ya madini kupunguza migogoro


Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo akiwa ameambatana na Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Juma Sweda (shati ya draft) nyuma yao ni Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Fredy Mahobe na wajumbe wengine wakitoka kukagua jengo lililoandaliwa kwa ajili ya kufungua soko la madini la wilaya hiyo. (Picha na Wizara ya Madini).
.Mkurugenzi wa Kampuni ya Busolwa Mining LTD, Baraka Ezekiel akielezea jambo kwa ujumbe ulioambatana na Naibu Waziri Nyongo wakati wa ziara ya kukagua kusikiliza na...

 

11 years ago

Michuzi

Kairuki: Wananchi tumieni wasaidizi wa kisheria kutatua migogoro

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angellah Jasmine Kairuki akiongea na waandishi wa habari katika mkutano wa majumuisho ya ziara yake ya siku tano katika taasisi zinazotoa msaada wa kisheria jijini Dar es Salaam. Ziara hiyo imemalizika leo (Ijumaa, Julai 18, 2014). Wengine ni Wajumbe wa Bodi ya Sekretarieti ya Msaada wa Kisheria (LAS) Dkt. Hellen Kijo-Bisimba (kulia) na Bi. Theodosia Muhulo.Kupata taarifa kamili BOFYA HAPA

 

10 years ago

Vijimambo

Mr and Mrs Nyongo!

                      Beautiful picture of Mr and Mrs Nyongo all the way from Sydney, Australia!
                                                 Usiwaonee wivu ni bahati...

 

10 years ago

Mwananchi

Frank atema nyongo

Kama ulidhani Frank alichukulia poa baada ya kuharibiwa safari yake ya kwenda kuigiza filamu jijini London, Uingereza mwaka jana, basi tambua kwamba alikuwa na nyongo ambayo mwaka huu ameamua kuitema.

 

11 years ago

BBCSwahili

Matumaini ya Arsenal yatumbukia nyongo

Arsenal imeyaaga michuano ya kuwania kombe la klabu bingwa barani Ulaya licha ya kutoka sare na Bayern Munich

 

10 years ago

Mtanzania

Casillas atema nyongo Simba

NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM

KIPA wa timu ya Simba, Hussein Shariff ‘Casillas’, amesema hayupo tayari kutolewa kwa mkopo kwenda timu nyingine, huku akidai bora aache kabisa kuitumikia timu  hiyo na kuwa mchezaji huru.

Cassilas amekuwa majeruhi kwa muda mrefu baada ya kuumia goti walipokuwa kambini nchini Afrika Kusini mwaka jana, hali iliyopelekea kukaa muda mrefu bila kucheza, ambapo inadaiwa uongozi wake unataka kumtoa kwa mkopo.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Cassilas alisema yupo...

 

10 years ago

Habarileo

Mbunge wa zamani atema nyongo

MBUNGE wa Mpwapwa aliyemaliza muda wake na kushindwa katika kura za maoni alipoomba ridhaa ya wanachama wa CCM kuwania tena ubunge wa jimbo hilo, Gregory Teu, amesema hatakuwa tayari kumuunga mkono mgombea aliyepitishwa na chama hicho tawala kuwania katika uchaguzi mkuu ujao, akidai ushindi huo alioupata ni wa mizegwe.

 

10 years ago

Vijimambo

Happy Birthday Aidan Nyongo

 
Happy birthday Mr. Aidan Nyongo. Nifuraha ilioje kushare siku yako ya kuzaliwa na watu uwapendao. Aidan amezaliwa leo tarehe 23rd March, kipenzi chake, mkewe aliye pendezwa naye amezaliwa 19th of March,  kijana wake mpendwa pamoja na binti yake mpendwa wote wamezaliwa 14th of March! Pia marehemu  baba mkwe wa Aidan (R.I.P) alizaliwa tarehe 19th of March!
                          Happy birthday to you all, the Nyongo’s family. Mbarikiwe...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bonge la Bwana kuzindua ‘Nyongo mkalia ini’

MSANII nyota wa muziki wa taarabu nchini wa  Kundi la Kings Modern Taarab, Hassani Ally ‘Bonge la Bwana’, anatarajia kuzindua albamu yake mpya ya ‘Nyongo mkalia ini’ iliyobeba nyimbo tano....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani