Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bonge la Bwana kuzindua ‘Nyongo mkalia ini’

MSANII nyota wa muziki wa taarabu nchini wa  Kundi la Kings Modern Taarab, Hassani Ally ‘Bonge la Bwana’, anatarajia kuzindua albamu yake mpya ya ‘Nyongo mkalia ini’ iliyobeba nyimbo tano....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

INI EDO AFUNGUA BONGE LA UKUMBI!

Mimz Lounge ya In Edo MREMBO asiyechuja kunako filamu Nollywood, Ini Edo amezidi kujiongezea utajiri baada ya juzikati kufungua bonge la klabu na kulipa jina la Mimz Lounge. Staa wa filamu za Nollywood, Ini Edo Staa huyo alizindua mjengo wake huo pande za Lekki, Lagos, Jumatatu iliyopita na umeshaanza kutumika rasmi kuanzia juzi Jumatano. Mbali na klabu hiyo, pia kuna sehemu ya nyumba za kulala wageni… ...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Sis P — Bonge la Bwana

Wimbo mpya wa msanii Sis P unaitwa “Bonge la Bwana”. Studio Amillion Records Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Mwananchi

JB bonge la bwana Kufunga mwaka na ‘Mzee wa Swaga’

Anaigiza, anawaachia nafasi wengine akiwa nyuma ya kamera, anachekesha anapotakiwa kufanya hivyo, ni mnene wa mwili lakini mwongozaji wa filamu akimwamuru kukimbia hana budi kufanya hivyo.

 

9 years ago

Bongo5

Music: Sis P Ft Barnaba – Bonge la Bwana Remix

Mwanadada Sis P ameachiwa Remix ya wimbo wake wa “Bonge la Bwana”. Amemshirikisha Barnaba Boy, Producer Khalidi

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

GPL

WAZIRI WA AFYA KUZINDUA KAMPENI YA HOMA YA INI MACHI 7

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid. Na Mwandishi Wetu
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa kampeni ya homa ya ini (Hepatitis B) ambayo inaratibiwa na Kampuni ya Global Publishers & General Enterprises Ltd inayochapisha Magazeti ya Uwazi, Ijumaa, Risasi, Amani, Ijumaa Wikienda na Championi. Global Publishers, tayari imeshaanzisha mbio za...

 

10 years ago

Bongo Movies

Bonge La Bwana “JB” On Set Kwa Movie Mpya-KALAMBATI LOBO

Mwigizaji na muongozaji nguli wa filamu hapa Bongo, Jacob Stephen aka JB, ameonekana akiwa “On Set”aki-shoot filamu yake mpya ambayo inakwenda kwa jina la  KALAMBA LOBO ambayo hakufafanua inatoka lini.

 JB ambae pia ni mkurugenzi wa kampuni ya utengenezaji wa filamu ya Jerusalem Film Company ambayo ndio inategeneza filamu hiyo alitupia mtandaoni picha hizo hapo juu na kuandika.

“New Movie. Kalambati Lobo.On Set”

Tuendelee kuisubiri!!!!

 

9 years ago

BBCSwahili

‘Ufyatulianaji mkali’ wa risasi Paris

Ufyatulianaji mkali wa risasi umetokea kaskazini mwa Paris katika mtaa wa Saint Denis na ripoti zinasema operesheni ya polisi kuhusiana na mashambulio ya Ijumaa inaendelea.

 

10 years ago

Vijimambo

MWENYEKITI WA TAWI LA CCM NY BWANA SELF AKIDA AENDA KUTOA POLE NYUMBANI KWA BWANA KIBODYA.


Nyumbani kwa Bwana Isaac Kibondya akiongea na watu walioenda kumpa pole nyumbani kwake baada ya kufiwa na mkwe wake, Kifo kimetokea huko Tanzania siku ya Tarehe July, 16. Marehemu ni mzazi wa Mke wa Bwana Kibodya na Kama inakumbukwa wote walikuwa Tanzania kumuona marehemu akiwa anaumwa mwezi uliopita.
Mwenyekiti wa tawi la CCM New York bwana Seif Akida pamoja na Ny Ebra wote kutoka New York wakiwa nyumbani kwa bwana Kibodya Vail, Springfield. MA kutoa pole.




 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani