Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


INI EDO AFUNGUA BONGE LA UKUMBI!

Mimz Lounge ya In Edo MREMBO asiyechuja kunako filamu Nollywood, Ini Edo amezidi kujiongezea utajiri baada ya juzikati kufungua bonge la klabu na kulipa jina la Mimz Lounge. Staa wa filamu za Nollywood, Ini Edo Staa huyo alizindua mjengo wake huo pande za Lekki, Lagos, Jumatatu iliyopita na umeshaanza kutumika rasmi kuanzia juzi Jumatano. Mbali na klabu hiyo, pia kuna sehemu ya nyumba za kulala wageni… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

INI EDO SPENT SUNDAY CRUISING ON BOAT


Monday May 18, 2015 – Pictures: Ini Edo Flaunts Sexy Bikini Body, Spent Sunday Cruising On Boat
Less than a year after her bitter divorce, Nollywood actress Iniobong Edo has decided to take a new lease on life.
With every passing day, the actress seems to be enjoying life more unlike when she was married to her Americana husband.
Yesterday, she spent the whole day cruising with her bestie, Blessing Dim who celebrated her birthday last week.
Check out new photos of Ini taking in fresh air during...

 

10 years ago

GPL

UKARIBU WA INI EDO, JIM IYKE MMH!

Staa wa Nollywood, Ini Edo. Lagos Nigeria LICHA ya kutambulika kuwa hawana uhusiano wa kimapenzi, lakini ukaribu wa waigizaji wa Nollywood, Ini Edo na Jim Iyke umesababisha tetesi kuenea kuwa wawili hao wana uhusiano wa kimapenzi au wanaelekea wenye ulimwengu huo. Waigizaji wa Nollywood, Ini Edo na Jim Iyke wakiwa kwenye pozi. Wiki hii, Ini Edo alipiga picha akiwa na Jim na kuandika maneno ya kumsifia na kusema kuwa...

 

10 years ago

GPL

INI EDO AUCHAPA USINGIZI AKIWA UWANJA WA NDEGE

Ini Edo akiwa kauchapa usingizi. MWIGIZAJI wa Nollywood, Iniobong Edo maarufu kwa jina la Ini Edo ametupia Instagram picha yake akiwa ameuchapa usingizi katika uwanja wa ndege wakati akisubiri kusafiri kwenda mapumzikoni. Ini akiwa uwanja wa ndege kabla ya kuuchapa usingizi. Staa huyo wa Nigeria, hakueleza alikuwa anaelekea wapi lakini amesema anakwenda mapumziko na aliwaeleza mashabiki wake kuwa alikuwa na uchovu na usingizi...

 

10 years ago

GPL

INI EDO AKOSOLEWA NA MASHABIKI KWA KUJIREMBA ‘VIBAYA’

Staa wa filamu nchini Nigeria, Ini Edo. Lagos, Nigeria STAA wa filamu nchini Nigeria, Ini Edo, majuzi alijikuta mashabiki wake wakimtoa makosa kutokana na alivyokuwa amejiremba. Mashabiki wake hao wanakumbuka pia kwamba mnamo mwaka 2012 wakati wa kuzindua filamu yake na Emem Isong, mwigizaji huyo alionekana kama alikuwa amejiremba harakaharaka. Jana wakati wa uzinduzi wa filamu za kituo cha televisheni cha MNET jijini Lagos,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bonge la Bwana kuzindua ‘Nyongo mkalia ini’

MSANII nyota wa muziki wa taarabu nchini wa  Kundi la Kings Modern Taarab, Hassani Ally ‘Bonge la Bwana’, anatarajia kuzindua albamu yake mpya ya ‘Nyongo mkalia ini’ iliyobeba nyimbo tano....

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AFUNGUA UKUMBI MPYA WA MIKUTANO WA CCM, MJINI DODOMA LEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akibonyeza kitufe cha kengere kuashiria ufunguzi rasmi wa Ukumbi mpya na wakisasa wa mikutano wa CCM unaofahamika kwa jina la Dodoma Convention Centre, uliopo njia ya kuelekea Chuo Kikuu cha UDOM, mjini Dodoma leo Julai 9, 2015.Kulia kwake ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein, Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Mohamed Gharib Bilal, Balozi wa China nchini...

 

11 years ago

Dewji Blog

Dkt. Bilal afungua kituo cha tiba, uchunguzi na mafunzo ya magonjwa na saratani za matumbo na Ini cha hospitali ya Taifa Muhimbili, Jijini Dar

01

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake wakati wa hafla ya ufunguzi wa Jengo la Kituo cha Tiba, Uchunguzi na Mafunzo ya Magonjwa na Saratani za Matumbo na Ini cha Hospitali ya Taifa Muhimbili wakati wa Hafla fupi ya ufunguzi huo iliyofanyika Hospitalini hapo jijini Dar es Salaam, jana  Mei 30, 2014. (Picha na OMR).

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, (katikati) Mwakilishi wa Taasisi ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara afungua maonyesho ya bidhaa za China ukumbi wa Diamond Jubilee

katibu_02

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa akifafanua jambo kwa waandishi wa habari wakati wa kufungua maonyesho ya bidhaa za China 2015,  katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam jana. (Picha na Mpiga picha wetu).

katibu_03

katibu_05 fungua maonyesho1

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa (katikati) akikata utepe kufungua maonyesho ya  bidhaa za China 2015  katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam jana.

katibu_06 fungua maonyesho00

katibu_04 tembelea

Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani