Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UKARIBU WA INI EDO, JIM IYKE MMH!

Staa wa Nollywood, Ini Edo. Lagos Nigeria LICHA ya kutambulika kuwa hawana uhusiano wa kimapenzi, lakini ukaribu wa waigizaji wa Nollywood, Ini Edo na Jim Iyke umesababisha tetesi kuenea kuwa wawili hao wana uhusiano wa kimapenzi au wanaelekea wenye ulimwengu huo. Waigizaji wa Nollywood, Ini Edo na Jim Iyke wakiwa kwenye pozi. Wiki hii, Ini Edo alipiga picha akiwa na Jim na kuandika maneno ya kumsifia na kusema kuwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Africanjam.Com

JIM IYKE, STOP MARRYING ME IN MY DREAMS, CLAIMS NIGERIAN - MALAYSIAN STUDENT

Jim Iyke
Jim Iyke has never had it easy with the womenfolk. Most issues he has had with them he never bargained for. Just like last Monday, the actor was doing the regular thing everyone would do after meeting with who you consider your favourite governor in Nigeria. He posted a picture of himself with Governor Godswill Akpabio of Akwa Ibom State, with catchy captions to show how much he respects the governor for his wonderful achievements in his state.His post was as harmless as it could get...

 

9 years ago

GPL

INI EDO AFUNGUA BONGE LA UKUMBI!

Mimz Lounge ya In Edo MREMBO asiyechuja kunako filamu Nollywood, Ini Edo amezidi kujiongezea utajiri baada ya juzikati kufungua bonge la klabu na kulipa jina la Mimz Lounge. Staa wa filamu za Nollywood, Ini Edo Staa huyo alizindua mjengo wake huo pande za Lekki, Lagos, Jumatatu iliyopita na umeshaanza kutumika rasmi kuanzia juzi Jumatano. Mbali na klabu hiyo, pia kuna sehemu ya nyumba za kulala wageni… ...

 

10 years ago

Vijimambo

INI EDO SPENT SUNDAY CRUISING ON BOAT


Monday May 18, 2015 – Pictures: Ini Edo Flaunts Sexy Bikini Body, Spent Sunday Cruising On Boat
Less than a year after her bitter divorce, Nollywood actress Iniobong Edo has decided to take a new lease on life.
With every passing day, the actress seems to be enjoying life more unlike when she was married to her Americana husband.
Yesterday, she spent the whole day cruising with her bestie, Blessing Dim who celebrated her birthday last week.
Check out new photos of Ini taking in fresh air during...

 

10 years ago

GPL

INI EDO AUCHAPA USINGIZI AKIWA UWANJA WA NDEGE

Ini Edo akiwa kauchapa usingizi. MWIGIZAJI wa Nollywood, Iniobong Edo maarufu kwa jina la Ini Edo ametupia Instagram picha yake akiwa ameuchapa usingizi katika uwanja wa ndege wakati akisubiri kusafiri kwenda mapumzikoni. Ini akiwa uwanja wa ndege kabla ya kuuchapa usingizi. Staa huyo wa Nigeria, hakueleza alikuwa anaelekea wapi lakini amesema anakwenda mapumziko na aliwaeleza mashabiki wake kuwa alikuwa na uchovu na usingizi...

 

10 years ago

GPL

INI EDO AKOSOLEWA NA MASHABIKI KWA KUJIREMBA ‘VIBAYA’

Staa wa filamu nchini Nigeria, Ini Edo. Lagos, Nigeria STAA wa filamu nchini Nigeria, Ini Edo, majuzi alijikuta mashabiki wake wakimtoa makosa kutokana na alivyokuwa amejiremba. Mashabiki wake hao wanakumbuka pia kwamba mnamo mwaka 2012 wakati wa kuzindua filamu yake na Emem Isong, mwigizaji huyo alionekana kama alikuwa amejiremba harakaharaka. Jana wakati wa uzinduzi wa filamu za kituo cha televisheni cha MNET jijini Lagos,...

 

9 years ago

Mwananchi

Niang mmh! Mwingine aja

Wakati Papa Niang akishindwa kuonyesha makali yake Simba ikilazimishwa suluhu na Mwadui, leo itampokea mshambuliaji mwingine kutoka Senegal, Pape Abdoulaye N’Daw anayetarajiwa kutua jijini Dar es Salaam akitokea Dakar.

 

9 years ago

GPL

ULINZI CHUO KIKUU MMH!

HUKU kumbukumbu za tukio la uvamizi wa kigaidi lililosababisha mauaji ya wanafunzi 147 wa Chuo Kikuu cha Garissa nchini Kenya zikiwa bado hazijafifia vichwani, hali ya ulinzi Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam ‘Mlimani’ inasababisha mguno kutokana na watu kupita ndani ya chuo hicho bila ukaguzi...Soma zaidi===>http://bit.ly/1IZmrIo

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Mmh!! Hizi Tatu za Wolper Kiboko..

Hakuna anaebisha kuwa mwigizaji Jackline Massawe “Wolper”ni moja kati ya waigizaji warembo na wenye mvuto zaidi wa muonekano pengine sio kwa hapa bongo tu, bali hata Afrika nzima. Siku ya jana bila kuandika chochote alizibandika picha hizi mtandaoni hivyo kuwapa nafasi "followers" wake wafunguke kwa kile anachokiona kwenye picha hizi.

Kila mtu na jicho lake bwana!! Wapo walioona kitenge, miguu,macho,rangi, na nk ilimradi kila mtu alitililika....

Wewe je,umeona nini hapa?!!!

 

10 years ago

Mwananchi

Jimy Iyke: Niko tayari kufanya chochote kwa ajili ya watoto

Muonekano wa sura yake na nafasi ambazo mara nyingi hupangiwa kucheza kwenye filamu humfanya kuonekana mwanaume katili na asiye na chembe ya huruma ndani ya moyo wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani