Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


INI EDO AKOSOLEWA NA MASHABIKI KWA KUJIREMBA ‘VIBAYA’

Staa wa filamu nchini Nigeria, Ini Edo. Lagos, Nigeria STAA wa filamu nchini Nigeria, Ini Edo, majuzi alijikuta mashabiki wake wakimtoa makosa kutokana na alivyokuwa amejiremba. Mashabiki wake hao wanakumbuka pia kwamba mnamo mwaka 2012 wakati wa kuzindua filamu yake na Emem Isong, mwigizaji huyo alionekana kama alikuwa amejiremba harakaharaka. Jana wakati wa uzinduzi wa filamu za kituo cha televisheni cha MNET jijini Lagos,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

INI EDO AFUNGUA BONGE LA UKUMBI!

Mimz Lounge ya In Edo MREMBO asiyechuja kunako filamu Nollywood, Ini Edo amezidi kujiongezea utajiri baada ya juzikati kufungua bonge la klabu na kulipa jina la Mimz Lounge. Staa wa filamu za Nollywood, Ini Edo Staa huyo alizindua mjengo wake huo pande za Lekki, Lagos, Jumatatu iliyopita na umeshaanza kutumika rasmi kuanzia juzi Jumatano. Mbali na klabu hiyo, pia kuna sehemu ya nyumba za kulala wageni… ...

 

10 years ago

GPL

UKARIBU WA INI EDO, JIM IYKE MMH!

Staa wa Nollywood, Ini Edo. Lagos Nigeria LICHA ya kutambulika kuwa hawana uhusiano wa kimapenzi, lakini ukaribu wa waigizaji wa Nollywood, Ini Edo na Jim Iyke umesababisha tetesi kuenea kuwa wawili hao wana uhusiano wa kimapenzi au wanaelekea wenye ulimwengu huo. Waigizaji wa Nollywood, Ini Edo na Jim Iyke wakiwa kwenye pozi. Wiki hii, Ini Edo alipiga picha akiwa na Jim na kuandika maneno ya kumsifia na kusema kuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

INI EDO SPENT SUNDAY CRUISING ON BOAT


Monday May 18, 2015 – Pictures: Ini Edo Flaunts Sexy Bikini Body, Spent Sunday Cruising On Boat
Less than a year after her bitter divorce, Nollywood actress Iniobong Edo has decided to take a new lease on life.
With every passing day, the actress seems to be enjoying life more unlike when she was married to her Americana husband.
Yesterday, she spent the whole day cruising with her bestie, Blessing Dim who celebrated her birthday last week.
Check out new photos of Ini taking in fresh air during...

 

10 years ago

GPL

INI EDO AUCHAPA USINGIZI AKIWA UWANJA WA NDEGE

Ini Edo akiwa kauchapa usingizi. MWIGIZAJI wa Nollywood, Iniobong Edo maarufu kwa jina la Ini Edo ametupia Instagram picha yake akiwa ameuchapa usingizi katika uwanja wa ndege wakati akisubiri kusafiri kwenda mapumzikoni. Ini akiwa uwanja wa ndege kabla ya kuuchapa usingizi. Staa huyo wa Nigeria, hakueleza alikuwa anaelekea wapi lakini amesema anakwenda mapumziko na aliwaeleza mashabiki wake kuwa alikuwa na uchovu na usingizi...

 

9 years ago

Bongo5

Video: August Alsina akosolewa kwa kitendo cha kumpapasa ‘nyonyo’ shabiki wa kike jukwaani

Mwimbaji wa R&B wa Marekani, August Alsina amekosolewa na mashabiki wengi kwa kitendo cha kumpapasa matiti shabiki wa kike jukwaani mbele ya umati mkubwa tena bila ridhaa yake. Weekend iliyopita Ijumaa ya Sept.25, Alsina alitumbuiza kwenye tamasha la Freebandz Music Fest huko Baton Rouge. Akiwa jukwaani alimuita shabiki wa kike na kuendelea kufanya show huku […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Trump akosolewa vikali kwa kupendekeza kemikali kutumika kama matibabu

Madaktari wasema mapendekezo ya Trump ni "hatari" na "upuuzi".

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge la Katiba mpya tumeanza vibaya, tutamaliza vibaya

UTEUZI  wa wajumbe wa Bunge la Katiba uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete juzi hauonekani kuwa na jambo jipya, umezingatia yale yale yaliyokuwa yanatarajiwa kwa kiwango kikubwa. Ni uteuzi uliowaweka walalamikaji...

 

9 years ago

Michuzi

Hospitali ya ApolloYatoa “Zawadi ya Maisha” kwa Kufanikisha Upandikizaji wa Moyo na Ini kwa Kijana wa umri wa Miaka 30

 Ponnar, kijana aliyefanyiwa upandikizaji wa Moyo na Ini kwa pamoja, katika hospitali ya Apollo akizungumza na waandishi wa habari baada ya upandikizaji huo.Ponnar, kijana aliyefanyiwa upandikizaji wa Moyo na Ini kwa pamoja, akiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa hospitali ya Apollo baada ya upandikizaji. Aliyemkumbatia  ni  Mwenyekiti na Mwanzilishi wa hospitali za ApolloDk. Prathap .C. Reddy.
Na Mwandishi Wetu,
Hospitali za Apollo zimefanikiwa kwa mara ya kwanza barani Asia kufanya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Hospitali ya Apollo yatoa “Zawadi ya Maisha” kwa kufanikisha upandikizaji wa Moyo na Ini kwa kijana wa umri wa Miaka 30

B 1

Ponnar, kijana aliyefanyiwa upandikizaji wa Moyo na Ini kwa pamoja, katika hospitali ya Apollo akizungumza na waandishi wa habari baada ya upandikizaji huo.

Ponnar, kijana aliyefanyiwa upandikizaji wa Moyo na Ini kwa pamoja, akiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa hospitali ya Apollo baada ya upandikizaji. Aliyemkumbatia  ni  Mwenyekiti na Mwanzilishi wa hospitali za ApolloDk. Prathap .C. Reddy.

Na Mwandishi Wetu,

Hospitali za Apollo zimefanikiwa kwa mara ya kwanza barani Asia kufanya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani