Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


INI EDO SPENT SUNDAY CRUISING ON BOAT


Monday May 18, 2015 – Pictures: Ini Edo Flaunts Sexy Bikini Body, Spent Sunday Cruising On Boat
Less than a year after her bitter divorce, Nollywood actress Iniobong Edo has decided to take a new lease on life.
With every passing day, the actress seems to be enjoying life more unlike when she was married to her Americana husband.
Yesterday, she spent the whole day cruising with her bestie, Blessing Dim who celebrated her birthday last week.
Check out new photos of Ini taking in fresh air during...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

INI EDO AFUNGUA BONGE LA UKUMBI!

Mimz Lounge ya In Edo MREMBO asiyechuja kunako filamu Nollywood, Ini Edo amezidi kujiongezea utajiri baada ya juzikati kufungua bonge la klabu na kulipa jina la Mimz Lounge. Staa wa filamu za Nollywood, Ini Edo Staa huyo alizindua mjengo wake huo pande za Lekki, Lagos, Jumatatu iliyopita na umeshaanza kutumika rasmi kuanzia juzi Jumatano. Mbali na klabu hiyo, pia kuna sehemu ya nyumba za kulala wageni… ...

 

10 years ago

GPL

UKARIBU WA INI EDO, JIM IYKE MMH!

Staa wa Nollywood, Ini Edo. Lagos Nigeria LICHA ya kutambulika kuwa hawana uhusiano wa kimapenzi, lakini ukaribu wa waigizaji wa Nollywood, Ini Edo na Jim Iyke umesababisha tetesi kuenea kuwa wawili hao wana uhusiano wa kimapenzi au wanaelekea wenye ulimwengu huo. Waigizaji wa Nollywood, Ini Edo na Jim Iyke wakiwa kwenye pozi. Wiki hii, Ini Edo alipiga picha akiwa na Jim na kuandika maneno ya kumsifia na kusema kuwa...

 

10 years ago

GPL

INI EDO AUCHAPA USINGIZI AKIWA UWANJA WA NDEGE

Ini Edo akiwa kauchapa usingizi. MWIGIZAJI wa Nollywood, Iniobong Edo maarufu kwa jina la Ini Edo ametupia Instagram picha yake akiwa ameuchapa usingizi katika uwanja wa ndege wakati akisubiri kusafiri kwenda mapumzikoni. Ini akiwa uwanja wa ndege kabla ya kuuchapa usingizi. Staa huyo wa Nigeria, hakueleza alikuwa anaelekea wapi lakini amesema anakwenda mapumziko na aliwaeleza mashabiki wake kuwa alikuwa na uchovu na usingizi...

 

10 years ago

GPL

INI EDO AKOSOLEWA NA MASHABIKI KWA KUJIREMBA ‘VIBAYA’

Staa wa filamu nchini Nigeria, Ini Edo. Lagos, Nigeria STAA wa filamu nchini Nigeria, Ini Edo, majuzi alijikuta mashabiki wake wakimtoa makosa kutokana na alivyokuwa amejiremba. Mashabiki wake hao wanakumbuka pia kwamba mnamo mwaka 2012 wakati wa kuzindua filamu yake na Emem Isong, mwigizaji huyo alionekana kama alikuwa amejiremba harakaharaka. Jana wakati wa uzinduzi wa filamu za kituo cha televisheni cha MNET jijini Lagos,...

 

10 years ago

TheCitizen

MV Dar ready, set to start cruising to Bagamoyo soon

The minister for Works, Dr John Magufuli, yesterday participated in a test ride of MV Dar es Salaam, which is set to ferry passengers from the City to Bagamoyo District.

 

11 years ago

TheCitizen

Analyse way your time is being spent

“Dost thou love life?” asked Benjamin Franklin. “Then do not squander your time, for that is the stuff life is made of.”

 

11 years ago

TheCitizen

Sh14bn spent, still no new constitution

> After spending a whopping 14 billion for nearly seventy days -- an average of Sh186 million a day, the Constituent Assembly (CA) was finally adjourned last week, with no meaningful results achieved.

 

10 years ago

TheCitizen

Sh1tr per month spent on the mobile

As millions of mobile phone users in Tanzania click the “dial” or “send” button on their fancied mobile phones to text or call their friends, they spend roughly Sh1 trillion ($600 million) in a month, The Citizen can reveal today.

 

11 years ago

TheCitizen

Sh267bn to be spent on gold mine plant

The Bulyanhulu Gold Mine is building a $167 million (about Sh267.2 billion) plant as part of its expansion plan.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani