Niang mmh! Mwingine aja
Wakati Papa Niang akishindwa kuonyesha makali yake Simba ikilazimishwa suluhu na Mwadui, leo itampokea mshambuliaji mwingine kutoka Senegal, Pape Abdoulaye N’Daw anayetarajiwa kutua jijini Dar es Salaam akitokea Dakar.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo26 Aug
Simba yamtupia virago Niang, mwingine atua
UONGOZI wa Simba umeamua kuachana na mshambuliaji Papa Niang kutoka Senegal.
9 years ago
Mwananchi26 Aug
Pape agandishwa U/Ndege, Niang ‘out’
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E1SZFmSJIIA*mM-RlnNGMLX9sMxMyvBFkxW06MFGPhB-eEyKo*W2sIfzSwyxslBXGJZj6dCNSZogmwNwPV*BbLJNDptebRPA/ulinzi.jpg)
ULINZI CHUO KIKUU MMH!
9 years ago
Mtanzania25 Aug
‘Niang bado sana Simba’
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
INATIA shaka! Ndivyo unavyoweza kuielezea hatima ya mshambuliaji Msenegali, Papa Niang kusajiliwa na timu ya Simba, kufuatia kuonyesha kiwango kisichoridhisha kwenye mchezo wake wa kwanza ndani ya timu hiyo dhidi ya Mwadui katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam jana.
Niang aliyewasili nchini Ijumaa iliyopita kusaka ulaji wa kusajiliwa na Simba inayosaka straika hatari wa kufumania nyavu, alicheza kwa dakika 45 tu za kwanza za mchezo huo kabla ya kutolewa kipindi...
10 years ago
Bongo Movies24 Dec
Picha: Mmh!! Hizi Tatu za Wolper Kiboko..
Hakuna anaebisha kuwa mwigizaji Jackline Massawe “Wolper”ni moja kati ya waigizaji warembo na wenye mvuto zaidi wa muonekano pengine sio kwa hapa bongo tu, bali hata Afrika nzima. Siku ya jana bila kuandika chochote alizibandika picha hizi mtandaoni hivyo kuwapa nafasi "followers" wake wafunguke kwa kile anachokiona kwenye picha hizi.
Kila mtu na jicho lake bwana!! Wapo walioona kitenge, miguu,macho,rangi, na nk ilimradi kila mtu alitililika....
Wewe je,umeona nini hapa?!!!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHmXNI-tCTqMxzAMLXYaEfC3Rao*O72d5aWQZrA6p22evswJuReG0S5Ij2cfsZWXA3rlNLPHjQGdGUHdUDQW1IqP5HAZEJe4/ExquisiteMagazineIniEdoMarch2012BellaNaija011.jpg?width=650)
UKARIBU WA INI EDO, JIM IYKE MMH!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xEh6B1KdSWSyni*XgmxgOuy*BOg7Z7dYc6xBVyXcozVtntfjTYlFC4YrpIvsEsbLgHEOu0vfGC*5tFGCyD9wI-axWWuzDGqZ/loga.jpg)
Logarusic aja na mabao...
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Sitta aja na ‘falsafa’ ya chura