Pape agandishwa U/Ndege, Niang ‘out’
Simba imemshusha nchini mshambuliaji wa pili kutoka Senegal ndani ya wiki moja, Pape Abdoulaye N’daw baada ya Papa Niang aliyetua nchini Jumamosi na kucheza dhidi ya Mwadui ya Shinyanga kwa dakika 45 na kiwango chake kutowaridhisha wengi kutemwa rasmi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi25 Aug
Niang mmh! Mwingine aja
9 years ago
Mtanzania25 Aug
‘Niang bado sana Simba’
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
INATIA shaka! Ndivyo unavyoweza kuielezea hatima ya mshambuliaji Msenegali, Papa Niang kusajiliwa na timu ya Simba, kufuatia kuonyesha kiwango kisichoridhisha kwenye mchezo wake wa kwanza ndani ya timu hiyo dhidi ya Mwadui katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam jana.
Niang aliyewasili nchini Ijumaa iliyopita kusaka ulaji wa kusajiliwa na Simba inayosaka straika hatari wa kufumania nyavu, alicheza kwa dakika 45 tu za kwanza za mchezo huo kabla ya kutolewa kipindi...
9 years ago
Mwananchi01 Sep
Simba yaangukia kwa Pape
5 years ago
BBC02 Apr
Abedi Pele: How Pape Diouf inspired me to greatness
9 years ago
Habarileo26 Aug
Simba yamtupia virago Niang, mwingine atua
UONGOZI wa Simba umeamua kuachana na mshambuliaji Papa Niang kutoka Senegal.
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Kerr abebeshwa zigo la Pape Ndaw Simba
10 years ago
Vijimambo05 Mar
NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI AZINDUA SAFARI ZA NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LA NCHINI ABU DHABI LEO MCHANA KATIKA KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA CHA MWL. JULIUS NYERERE (JNIA)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iCGf4QxfWQk/Vl2AkT-en2I/AAAAAAAIJeQ/9_U9wAn22Og/s72-c/TBIIB.jpg)
WATENDAJI WA MASHIRIKA YA NDEGE WATAKA BARABARA YA KUELEKEA UWANJA WA NDEGE IPANULIWE
Rai hiyo imetolewa jana na watendaji wa mashirika 19 ya ndege yanayoendesha shughuli zake katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) walipozuru ujenzi TB III ikiwa ni moja ya...