Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba yaangukia kwa Pape

Simba imemsainisha mkataba wa mwaka mmoja mshambuliaji Msenegali Pape Aboulaye N’Daw na kukamilisha idadi ya wachezaji saba wa kigeni wa klabu hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SIMBA SC YAANGUKIA PUA KWA MGAMBO SHOOTING

Kikosi cha timu ya Mgambo Shooting ya Tanga wakionekana katika picha ya pamoja wakati wa mechi yao dhidi ya Simba Sc ya Dar es Salaam. Kikosi cha timu ya Simba Sc. Mashabiki wa timu ya Simba Sc wakiduwaa baada ya timu yao kupokea kichapo cha bao 2-0 kutoka kwa Mgambo…

 

9 years ago

Mwananchi

Kerr abebeshwa zigo la Pape Ndaw Simba

Uongozi wa klabu ya Simba umesema  kuendelea kuwapo kwa mshambuliaji, Pape Abdoulaye Ndaw kwenye kikosi chao au kutemwa wakati wa dirisha dogo kutaamuliwa na kocha, Dylan Kerr na siyo vinginevyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Pape agandishwa U/Ndege, Niang ‘out’

Simba imemshusha nchini mshambuliaji wa pili kutoka Senegal ndani ya wiki moja, Pape Abdoulaye N’daw baada ya Papa Niang aliyetua nchini Jumamosi na kucheza dhidi ya Mwadui ya Shinyanga kwa dakika 45 na kiwango chake kutowaridhisha wengi kutemwa rasmi.

 

5 years ago

BBC

Abedi Pele: How Pape Diouf inspired me to greatness

One of Africa's greatest players, Abedi Pele, gives his memories of former Marseille chairman Pape Diouf.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndege ya Taiwan yaangukia mtoni

Ndege inayoimilikiwa na Shirika la Ndege la Taiwan, la TransAsia imepata ajali na kuangukia kwenye mto katika mji mkuu, Taipei.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Gari yaangukia nyumba, yaua

MKAZI wa Oysterbay, Dar es Salaam, Abdul Hashimu (51), amefariki dunia baada ya gari lililokuwa likimwaga kifusi kupinduka na kuangukia kwenye nyumba aliyokuwa amelala. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Bayern yaangukia pua,Barcelona kidedea

Mechi za klabu bingwa barani Ulaya katika hatua ya robo fainali ziliendelea tena usiku wa kuamkia leo kwa michezo miwili kupigwa.

 

9 years ago

Habarileo

Ndege JWTZ yaangukia baharini, marubani wapotea

MARUBANI wawili wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), wanahofiwa kufa maji baada ya ndege yao ya mazoezi, kuangukia katika mwambao wa Bahari ya Hindi eneo la Visiwa vya Mbudya, Kaskazini Mashariki mwa Jiji la Dar es Salaam.

 

10 years ago

GPL

NDEGE YA TAIWAN YAANGUKIA MTONI NA KUUA WATU 12

Waokoaji wakinasua watu waliokuwa ndani ya ndege hiyo. Taswira kutoka eneo la ajali hiyo. Ndege inayoimilikiwa na Shirika la Ndege la Taiwan, la TransAsia imepata ajali na kuangukia kwenye mto katika mji mkuu, Taipei na kuua watu 12. Vyombo vya habari vya Taiwan vimesema watu zaidi ya 50 walikuwa ndani ya ndege hiyo, wakati ajali ilipotokea na idadi kubwa ya watu wameripotiwa kujeruhiwa. Shirika la… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani