Frank Amshushia Lawama Riyama kwa Kumzibia Riziki
Mwigizaji mkongwe wa filamu za hapa Bongo, Mohammed Mwikongi maarufu kama Frank, amedai kuwa mwigizaji mwenzie Riyama Ally anamzibia riziki kiasi kwamba sasa anamsaka ili amweleze kitu gani aliwahi kumkosea.
Akizungumza jijini hivi karibuni, Frank alisema anamtafuta Riyama ili aweze kumwambia ni kwa nini inakuwa hivyo kwa sababu katika filamu zote ambazo yeye anatakiwa kucheza, mwenzake huyo huwepo na ndiye anayependekeza watu watakaohusika na filamu hiyo.
“Tukiacha ile filamu...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YiSShrCcUkr-tScGBek5GPM2HP*gNJTcswFhlngeXl1HTTJdnl5*-5ZNkkIBMsN89brvCu880*NToaNK*ON7fMP/wema.jpg?width=650)
BABA AMSHUSHIA LAWAMA MAMA KANUMBA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9nG191KtIdio-d2kTvwCl7IQ7hGkHwwpL2nRb0Kq*tE10a1k-X-csnxRR0NRQsHdZDKyl79sCx9-JWdmGxOO3e8wcMGBXxi5/frank1.jpg?width=650)
FRANK: RIYAMA ANANIZIBIA!
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Van Gaal akubali kubeba lawama, awataka mashabiki wasiwatupie lawama wachezaji wake
Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal.
Na Rabi Hume
Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amewataka mashabiki wa klabu hiyo ya Manchester United kuacha kuwatupia lawama wachezaji wake na anaestahili kubeba lawama hizo ni yeye mwenyewe.
Van Gaal ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuelekea kwa mchezo wa Ligi kuu ya Wingereza ambapo timu yake inatarajiwa kucheza na klabu ya West Bromwich Albion mchezo unaotarajiwa kucheza katika uwanja wa Old Trafford siku ya...
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Mbowe: Siwezi kumzibia Zitto
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amewataka wananchi wa Mkoa wa Kigoma kuijua historia ya mageuzi ya Mkoa huo ili kuepuka kuwalaumu viongozi wanaosimamia vyama hivyo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-t2lSUMCcByc/VPJJRQuXM8I/AAAAAAAHGq4/-Pd6cap5n6U/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
Mh. Pindi Chana azindua kampeni ya Mpe riziki si matusi yenye lengo la kuondoa lugha chafu na matusi kwa wanawake wa sokoni
![](http://4.bp.blogspot.com/-t2lSUMCcByc/VPJJRQuXM8I/AAAAAAAHGq4/-Pd6cap5n6U/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2rPPy745xUw/VPJJRZYuk7I/AAAAAAAHGq8/ZVCD-U9qGG8/s1600/unnamed%2B(67).jpg)
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Dk. Kigwangalla amshushia tuhuma Sitta
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08cuT-TTxkGKgnaBIpy3BBNskzYv8i6ZBnzSOpDVPwddvzUBfPNL2YZBcyH7KmPr6oTcJWhWjT7WcvhuShmJJrHov/diwani.jpg)
DIWANI AMSHUSHIA KIPIGO DENTI
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Lawama haitoshi kwa ndoa za utotoni
KWA miaka nenda miaka rudi sasa imekuwa ni kawaida panapokaribia mwezi mtukufu wa Ramadhani kuona sherehe za harusi zimetanda karibu kila pembe ya Zanzibar. Watu hufurahi na kula mapochopocho na...
10 years ago
Mwananchi20 Jun
Mechi ya lawama kwa Nooij, Stars