Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Kigwangalla amshushia tuhuma Sitta

>Mjumbe wa Bunge la Katiba, Dk. Abdalah Kigwangalla, jana alimtuhumu waziwazi Mwenyekiti Samuel Sitta kuwa anapendelea kundi la walio wachache.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DIWANI AMSHUSHIA KIPIGO DENTI

Deogratius Mongela na Chande Abdallah DIWANI wa Kata ya Sinza kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) jijini Dar, Renatus Pamba ‘Mr. Simple’ anadaiwa kumshushia kipigo denti wa Chuo cha Ubaharia cha EMI jijini Dar, Alpha Mohamed (18) mpaka kumsababishia kupoteza fahamu, Risasi Jumamosi  limenyetishiwa. Kijana Alpha Mohamed anayedaiwa kujeruhiwa na diwani huyo. Kwa mujibu wa mjomba wa Alpha,...

 

11 years ago

GPL

BABA AMSHUSHIA LAWAMA MAMA KANUMBA

Stori: Chande Abdallah na Shani Ramadhani BABA wa marehemu Steven Kanumba, Charles Kanumba amemshutumu mzazi mwenziye, Flora Mtegoha, kuwa amekuwa na tabia endelevu ya kumtenga kwenye shughuli za mwanaye. Mama wa marehemu Steven Kanumba, Charles Kanumba Flora Mtegoha, Akipiga stori na waandishi wetu, alisema anamshangaa mama huyo kumtenga mara kwa mara katika ishu za marehemu mwanaye ambapo alitolea mfano wa maadhimisho ya...

 

11 years ago

GPL

BAADA YA KADINDA, WEMA AMSHUSHIA MABUSU MTANGAZAJI

Stori: Mwandishi Wetu
UTAMU kolea! Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu ametengeneza kichwa cha habari kwa mara nyingine baada ya picha inayomuonesha akimshushia mabusu Mtangazaji wa East Africa Television ‘EATV’, Tonny Albert ‘T-bway 260’ kunaswa. Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu akimshushia mabusu Mtangazaji wa East Africa Television ‘EATV’, Tonny Albert ‘T-bway 260’...

 

10 years ago

Bongo Movies

Frank Amshushia Lawama Riyama kwa Kumzibia Riziki

Mwigizaji  mkongwe wa filamu za hapa Bongo, Mohammed Mwikongi maarufu kama Frank, amedai kuwa mwigizaji mwenzie Riyama Ally anamzibia riziki kiasi kwamba sasa anamsaka ili amweleze kitu gani aliwahi kumkosea.

Akizungumza jijini hivi karibuni, Frank alisema anamtafuta Riyama ili aweze kumwambia ni kwa nini inakuwa hivyo kwa sababu katika filamu zote ambazo yeye anatakiwa kucheza, mwenzake huyo huwepo na ndiye anayependekeza watu watakaohusika na filamu hiyo.

“Tukiacha ile filamu...

 

11 years ago

Mwananchi

TUHUMA: Mwamuzi wa Fifa asakwa kwa tuhuma za wizi

>Mwamuzi msaidizi wa soka nchini, Hamis Chang’walu anasakwa na Jeshi la Polisi akituhumiwa kwa wizi wa nguo za kike, maarufu ‘madela’ katika kesi ambayo inahusisha watu wengine watatu ambao wamekamatwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kigwangalla akamatwa na Polisi

JESHI la Polisi wilayani Nzega, mkoani Tabora limemkamata na kumuachia kwa masharti Mbunge wa Nzega, Dk. Hamis Kigwangallah, kwa madai ya kuongoza maandamano ya wachimbaji wadogo wa dhahabu ambao wanapinga...

 

10 years ago

Mwananchi

Kigwangalla: Ninautaka urais

Mbunge wa Nzega, Dk Hamisi Kigwangalla (CCM) ametangaza nia ya kutaka kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu 2015, huku akisema siyo lazima uwe mtoto wa tajiri au kiongozi ndiyo uonyeshe kipaji chako.

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Kigwangalla hatarini CCM

Mbunge wa Nzega (CCM), Dk Hamis Kigwangalla yuko hatarini kuvuliwa uanachama wa chama hicho, hatua ambayo endapo itachukuliwa itasababisha apoteze nafasi yake ya ubunge.

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Kigwangalla: Urais hauhitaji uzoefu

>Mbunge wa Jimbo la Nzega, Dk Hamis Kigwangalla ametangaza kwa mara ya pili  kuwania urais wa Tanzania akitoa vipaumbele vitatu na kufafanua kuwa urais hauhitaji uzoefu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani