Kigwangalla akamatwa na Polisi
JESHI la Polisi wilayani Nzega, mkoani Tabora limemkamata na kumuachia kwa masharti Mbunge wa Nzega, Dk. Hamis Kigwangallah, kwa madai ya kuongoza maandamano ya wachimbaji wadogo wa dhahabu ambao wanapinga...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
TAARIFA YA JESHI LA POLISI KANDA MAALUM: ASKARI POLISI FEKI WA USALAMA BARABARANI ALIYEKUWA ANATAPELI WANANCHI AKAMATWA


11 years ago
GPL
LEMA AKAMATWA NA POLISI
Mbunge wa Arusha Mjini Chadema, Godbless Lema. Mbunge wa Arusha Mjini Chadema, Godbless Lema amekamatwa na Jeshi la Polisi jijini Arusha na kwa sasa anahojiwa na jeshi hilo!
11 years ago
BBCSwahili23 Jan
Justin Bieber akamatwa na polisi
Mwanamuziki mashuhuri duniani Justin Bieber,amekamatwa na polisi nchini Marekani kwa kosa la kuendesha gari akiwa mlevi.
11 years ago
BBCSwahili03 Aug
Polisi akamatwa kwa wizi wa Cocaine
Polisi wa Ufaransa wamemkamata afisa mmoja wa kukabiliana na mihadarati kwa kuiba kilo hamsini za Cocaine
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Polisi akamatwa akiuza pembe Kenya
Afisa mmoja wa polisi amekamakwa na pembe ya faru ilio na thamani ya dola 40,000.
10 years ago
Mwananchi09 May
Polisi hoi kwa vipigo, mbunge akamatwa
Loliondo. Polisi wawili, PC Isaack na PC Mabrouk wamejeruhiwa baada ya kupigwa na vijana wanaodaiwa kuwa ni Wamasai (morani) katika Kijiji cha Ololosokwani, Tarafa ya Loliondo wilayani Ngorongoro.
10 years ago
GPL
MCHEZAJI WA TIMU YA TAIFA ENGLAND AKAMATWA NA POLISI
Mchezaji wa timu ya taifa ya England na timu ya Sunderland, Adam Johnson. Mchezaji wa timu ya taifa ya England na timu ya Sunderland, Adam Johnson amekamatwa na polisi kwa tuhuma za kufanya mapenzi na msichana mwenye umri wa miaka 15. Polisi katika eneo la Durham wamesema mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 amekamatwa mapema wiki hii kwa tuhuma za kufanya mapenzi na binti mwenye umri wa chini ya miaka 16, na amebaki chini ya...
11 years ago
Michuzi04 Oct
Halima Mdee akamatwa na Polisi walipowatawanya BAWACHA
Jeshi la polisi katika Kanda maalum ya Dar es Salaam limetumia maji ya kuwasha kuwatawanya wafuasi wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA) waliokuwa wakijiandaa KUANDAMANA hadi Ikulu.
Aidha, jeshi hilo limemkamata Mwenyekiti wa BAWACHA, Mhe. Halima Mdee aliyekuwa akiyaongoza maandamano hayo.
BAWACHA walipanga kuandamana hadi Ikulu ya Dar es Salaam kwa nia ya kuonana na Rais Jakaya Kikwete ili kumsishi asisaini Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, ambayo ilipitishwa na...
Aidha, jeshi hilo limemkamata Mwenyekiti wa BAWACHA, Mhe. Halima Mdee aliyekuwa akiyaongoza maandamano hayo.
BAWACHA walipanga kuandamana hadi Ikulu ya Dar es Salaam kwa nia ya kuonana na Rais Jakaya Kikwete ili kumsishi asisaini Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, ambayo ilipitishwa na...
11 years ago
GPLPOLISI FEKI USALAMA BARABARANI AKAMATWA MBAGALA DAR
Kamishna Kova (katikati) akionesha kidole kwa polisi feki aliyekamatwa.
Sura ya ‘karibu’ ya askari huyo feki aliyekamatwa.
Kova akionyesha baadhi ya sare za jeshi la polisi alizokamatwa nazo polisi huyo…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania